Weweeeee, mbona leo mnachonga sana nyie...
Si nlikwambia achana na Mtambuzi uje kwangu ukakataa? Ona sasa tripu kama hii wala hajakukumbuka.....😛layball:
hahaha! ya kusugulia masefuria ama utatengeneza mkorogo?
hahahaaa! Andindilile huyoooo!Si kuna nyati na swala huko..!?? utaporudi uniletee nyama aisee,anakusalimia mwanao King'asti, wikend hii tuna trip ya kwenda Mbudya Island.
Regards
Huamini kama yuko Kenya, jana nimemuona kwa macho yangu, tena alikuwa na muuza ubuyu. remember him..!??
mkuu Andindilile, hunitendei haki ndugu yangu! Chakutoa siri hii kwa mwenye mali si unanijengea mazingira magumu! Acha hizo bana na ninaomba Mtambuzi na binti yangu King'asti wasiione hii komenti !