Mzee Mtambuzi safarini Selous Game Reserve....!

Mzee Mtambuzi safarini Selous Game Reserve....!

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,441
images


Selous+Game+Reserve+Tanzania.jpg



attachment.php



attachment.php



attachment.php


Hapa nikitambika kwenye kaburi la Captain Selous, nimeambiwa huyu mzee alijitolea katika Jeshi la Mwingereza ili kumuangamiza Mjerumani... (Picha zaidi nitaweka baadae)


Msinitafute mtandaoni, niko huku Selous Stiglers Gorge nikifanya utafiti wa Uranium.......

CC: Paloma, King'asti, Zion Daughter, Smile, Mrembo by Nature, Lisa, Nivea, Madame B, BADILI TABIA, Asnam, gfsonwin, cacico, Mamndenyi, MadameX, madam Z, Kipipi, amu, snowhite, Asprin, Mwita Maranya, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, Fidel80, Ruttashobolwa, manoah, Eiyer, Kaizer, Vin Diesel, Remmy....
 

Attachments

  • DSCF0818.jpg
    DSCF0818.jpg
    1.5 MB · Views: 182
  • DSCF0815.jpg
    DSCF0815.jpg
    1.6 MB · Views: 181
  • DSCF0816.jpg
    DSCF0816.jpg
    1.7 MB · Views: 171
Maskini wanyama wetu!! Kesho utasikia twiga wamepakiwa kwny dege la jeshi, meno ya tembo, pembe za ndovu!! Hivi Mtambuzi hiyo ajira kwa sekretare jenero hujui ni laana? Aggrrrrrh.
 
Last edited by a moderator:
Mama Ngina yuko busy na kuhesabu kura za Odinga kule kwao Kenya, anadai wanamchakachua Odinga
wewe muongo,
mama ngina nimemuacha home analea, huku hawezi kuja, kuna wanyama wakali.....
niko na wadada wawli ma-trainee wa mambo ya uranium kutoka wizara ya nishati na madini... nawafundisha kazi....
 
wewe muongo,
mama ngina nimemuacha home analea, huku hawezi kuja, kuna wanyama wakali.....
niko na wadada wawli ma-trainee wa mambo ya uranium kutoka wizara ya nishati na madini... nawafundisha kazi....

Huamini kama yuko Kenya, jana nimemuona kwa macho yangu, tena alikuwa na muuza ubuyu. remember him..!??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom