Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,441
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL
UP DATE:
Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.
Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL
Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL
UP DATE:
Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.
Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL
Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ