Mzee Mtambuzi in MWANZA...!

Mzee Mtambuzi in MWANZA...!

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,441
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL

UP DATE:

Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.

Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL


Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ
 
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL

Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ

Umeanza lini tabia ya kuzurura? Ole wako tusikie kesi...................................
 
Baba Ngina hivi unakumbuka ile tarehe 23/3 au ulikuwa unanisanifu.

Tena usisahau kuniletea mapanki.

hahahahhaaaaaa umenikumbusha mbali sana na "mapanki" nakumbuka jinsi cheyo alivyokuwa anaitamka hiyo mapanki kwa lafundhi yake....hahahahhaaaaaa

Shikamoo bi mkubwa!
 
Mtambuzi mbona siku hizi unatembea tembea sana mikoani?? Au unatafuta mahali pa kuwekeza baada ya biashara kuchanganya??

Utakaporudi usisahau kuja na "furu".
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom