usisahau kunibebea paja la swala mkuu
wewe muongo,
mama ngina nimemuacha home analea, huku hawezi kuja, kuna wanyama wakali.....
niko na wadada wawli ma-trainee wa mambo ya uranium kutoka wizara ya nishati na madini... nawafundisha kazi....
Tafwazali wafundishe kazi tu na si vinginevyo.. Hatutaki uje na thread ya UPT tena hapa!!!
Hahahahaahahah! najua ukirudi huko umechokaaaaaaaaaaa ile mbaya na kaka Mtambuzi atakuwa ametepeta kwa kutumika sana Loh! ama kweli ingekuwa choki hiyo wengine humu wasingekuwa nazo, maana zingekuwa zimeisha.wewe muongo,
mama ngina nimemuacha home analea, huku hawezi kuja, kuna wanyama wakali.....
niko na wadada wawli ma-trainee wa mambo ya uranium kutoka wizara ya nishati na madini... nawafundisha kazi....
Binti mshakunaku weye....Hahahahaahahah! najua ukirudi
huko umechokaaaaaaaaaaa ile mbaya na kaka Mtambuzi atakuwa ametepeta kwa
kutumika sana Loh! ama kweli ingekuwa choki hiyo wengine humu
wasingekuwa nazo, maana zingekuwa zimeisha.
Hahahahahaah!!! Hapana kaka Mtambuzi mimi nilikuwa nakutania tu, nafuta usemi wangu.Binti mshakunaku weye....
shida yako ni kunichafua humu wanangu wapoteze imani na mimi......
samahani jirani, jana nilisahau kukuaga maana safari yenyewe ni ya ghafla mno, na ni ya siku moja kwa hiyo kesho tutakuwa pamoja pale LEO TUPO HAPA PUB....
Nakufuata huko huko..Upo na mama Ngina ??
Nakufuata huko huko..Upo na mama Ngina ??
nani kakwambia kuwa nataka kupunguza uzito...? uzito nilio nao wanitisha mie....