Mzee Mtambuzi safarini Selous Game Reserve....!

Mzee Mtambuzi safarini Selous Game Reserve....!

ww na uranium wapi na wapi naokuona umewachukua hao wadhungu unawasaidia kupakia maliasili zetu ole wako????????????????????????
 
ukirudi salama huko sijui!

mtambuzi.jpg
unamaanisha hiyo pink inaweza kumletea utata??
GPRS inasema huyo binti hajamuamkia... kama alijua vile
 
Kumbe kibabu kina madili hivi, nilikuwa nakipoitezea lakini soon nitaanza kujipendekeza, we acha tu miji hapa bila kuwa mjanja hakuna kuushika mpango mzima a.k.a churaaa
 
:nono::nono::nono:we mzee ina maana hicho kipinki na kiblaki hapo nyuma yako na chenyewe kimeenda kufanya uchunguzi wa uranium?ahahahahhahhahahahha nilisema mimi ukirudi salama sijui!!
ila saaaasa haka kapicha umeweka hapakamenivutia basi tu!
images


Selous+Game+Reserve+Tanzania.jpg



attachment.php



attachment.php



attachment.php


Hapa nikitambika kwenye kaburi la Captain Selous, nimeambiwa huyu mzee alijitolea katika Jeshi la Mwingereza ili kumuangamiza Mjerumani... (Picha zaidi nitaweka baadae)


Msinitafute mtandaoni, niko huku Selous Stiglers Gorge nikifanya utafiti wa Uranium.......

CC: Paloma, King'asti, Zion Daughter, Smile, Mrembo by Nature, Lisa, Nivea, Madame B, BADILI TABIA, Asnam, gfsonwin, cacico, Mamndenyi, MadameX, madam Z, Kipipi, amu, snowhite, Asprin, Mwita Maranya, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, Fidel80, Ruttashobolwa, manoah, Eiyer, Kaizer, Vin Diesel, Remmy....
 
Kumbe kibabu kina madili hivi, nilikuwa nakipoitezea lakini soon nitaanza kujipendekeza, we acha tu miji hapa bila kuwa mjanja hakuna kuushika mpango mzima a.k.a churaaa

na ndio lilikuwa lengo lake!
auze sura hapaaaaaa pm yake ijae!
ila Mtambuzi una miwani mizuri
basi tu!
 
Last edited by a moderator:
na wewe huna siri jamani! unajijua wewe selebriti unataka waandishi wa habari waruwekee giza?
Si kuna nyati na swala huko..!?? utaporudi uniletee nyama aisee,anakusalimia mwanao King'asti, wikend hii tuna trip ya kwenda Mbudya Island.

Regards
 
Last edited by a moderator:
mambo ya kuchunuku mawani ya babangu staki. utaanza kusema ana macho mazuri mara ana kiuno kizuri! una hamu ya kugeuzwa da sophy eeeh?

AHAHAHAHHAHAHHAH ndo iliyobaki kuchunuku miwani ya babako tu mwali!
leo nimechafukwaile mby!
yani ndo nimerudi saa hizi humu!
 
naskia harufu ya damu.

mzee bazazi huyu, yaani anaenda kula maisha alone!
umeona lakini kimini cha yule motherfada wa kidhungu pale nyuma ya babako!?
af na katite kanaonekana kwa chini!hiv
sijui kama Mtambuzi atarudi na roho yake!
 
Last edited by a moderator:
Tukifanyie mpango tuinjike maji ya moto tukichune au unaonaje?@Snowhite... si umeona kilivyolipuka na ukizingatia tena kina deal na wazungu tu so miprojekt kibao, ila tuongee taratibu asisikie akatustukia

ahaahahhahhahha maji ya moto kwa huyu mzee!
kwanza hiyo picha unafikir ni yeye!
awe handsome hivi atambe!si tusingekunywa maji humu!
kwanza alienda huko kwa kazi nyingine!mi alinitumia job description yake ,wehuoni hapo kuna wanawake wawilimwanaume mmoja!
STUKA!
 
ahaahahhahhahha maji ya moto kwa huyu mzee!
kwanza hiyo picha unafikir ni yeye!
awe handsome hivi atambe!si tusingekunywa maji humu!
kwanza alienda huko kwa kazi nyingine!mi alinitumia job description yake ,wehuoni hapo kuna wanawake wawilimwanaume mmoja!
STUKA!

Du kumbe changa la macho, so tusikaibukie hakana la maana eehh?basi naipua maji kwani nilishaweka jikoni
 
Du kumbe changa la macho, so tusikaibukie hakana la maana eehh?basi naipua maji kwani nilishaweka jikoni
JIIPULIE MWAYA!
nikupe ramani sasa,
kula size moja na Bishanga .af ndo ukoke kuni ubandike maji!
huyu mzee wala sio wa kuhangaika nae!
 
Last edited by a moderator:
sitaki! umenisubirisha sana! mie ntakuwa kwa mpenzi wangu mpya Cpt. Morgan!
Si nlikwambia achana na Mtambuzi uje kwangu ukakataa? Ona sasa tripu kama hii wala hajakukumbuka.....😛layball:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom