ngeseKamoooooooniiiiiiiiii, yeuwiiiiiiiiiiiie
Nadha asugua sufuriaHahahahahaha wanasugua nini??
Una hamu Si bure, nyokongese
acha kuwa negative braza , watu wanakula maisha , yaani mengi awe na mjukuu kama kylin, u must be kiddingInavutia nini hapo couples gani babu na mjukuu duh!!
..And will never be. Mungu kaweka makusudi mfumo huo. Assume kila mtu angekuwa na pesa, nani angemheshimu mwenzake?Life is not fair....Wacha watu wafaidi
View attachment 341454 View attachment 341456 View attachment 341458 View attachment 341460 View attachment 341462 View attachment 341463 View attachment 341464 View attachment 341465
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.
Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...
View attachment 341454 View attachment 341456 View attachment 341458 View attachment 341460 View attachment 341462 View attachment 341463 View attachment 341464 View attachment 341465
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.
Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...
mama yake atakua ashaakufaga mkuu maana ni kizee na atakua amezikwa MachameHivi mama Mengi original yupo wapi?
Ungekua wewe ndo Mzee, nahisi Leo ungekua Jela kwa kosa la kutoa roho ya Mkeo!Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
endelea kuvumisha tu huku ukingoja afeHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?