Mzee Makamba Pole sana

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
4,206
Reaction score
8,446
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
 
Wazuri hawafi!!!
 
Tabia ya Chura Kiziwi haitofautiani sana na ya American tyrant Donald Trump. Wote wanathamini sana machawa na wana visasi vya kijinga sana!

Ingawa Makamba naye ni mtu wa ovyo, angeachwa akakabiliane na wapigakura wake. Chura Kiziwi is abusing her position!
 
Mze Makamba hafai, ni mnafiki mno. Yule anafaa kuimba taarab tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…