Mzee Majuto: Tanzanian Movie and Comedy Legend

My point my dear ni kwamba I find Majuto very funny!!


Anaitwa Amri Athuman...al maarufu kama mzee Majuto.
Kila mchezo anaoigiza ni lazima mwishoni majuto yamkute na ndio maana ya jina lake.
Akicheka utacheka.
Akinuna utacheka.
Akiongea utacheka.
Akilia utacheka.
Akifoka utacheka.
Akiongea kibaasha baasha utacheka.
Akimchamba mtu utacheka.
Akisutwa utacheka.
Akiongea huku kabana pua utacheka.
akitembea utacheka.

Blad baaskut huyu mzee ni khabar nyengine
 
kwangu11 Majuto and Small are real comedians in Tanzania, jinsi walivyo tu mimi nilianza kumuona majuto kwenye 70's akiwa anacheza ngoma na kuchezea nyoka akiwa na DDC Ngoma group (kama sikusahau kundi lao lilivyokuwa likiitwa).

Na kwa mara ya kwanza nilimuona by then ITALIAN CLUB sasa SALENDER BRIDGE CLUB akifanya vitu vyake na niliendelea kumfuatilia na kwa kweli jamaa anabadilika kulingana na nyakati licha ya kuwa na umri mkubwa.

Kila binadamu ana test yake tusilazimishe mtu apende,na kama hupendi huna haja ya kuchangia it is better to close your mdomo inatosha.
 
Last edited by a moderator:
nguluvisonzo

Wee acha nakumbuka sana siku za sikukuu ya idd lazima ilikua tupelekwe kama si vijana social hall ama ccm mwinjuma kuwaona hawajamaa na ngoma zao na maigizo that tim was ril funny days,since then i love them coz i grow up seen them perfoming till today they're my no1 comedians.

Kama majuto akipata mwandishi mzuri wa jokes babu yule watu watakaa chini wapasuke hebu picture majuto ana smile...! Nuff said.
 
Last edited by a moderator:
Mwendawazimu flani wa Milembe alipanda juu mti wa mwembe asubuhi sana, akakaa mtini hadi kitu saa kumi. Njaa ikamkaba mpaka penyewe...mara...chali akadondoka chini kutoka kwenye mti.

Daktari akaja akamwuliza: Nini kinaendelea, kulikoni?
Mwendawazimu akamjibu: wala usijali sana hata mi nashangaa au ndo kusema "NIMEIVA!"?
 
Ogopa mtu anachekesha watu kwenye kipindi cha radio, enzi hizo. Anaongea tu na wewe humuoni lakini unavunjika mbavu.............He rocks, the dude!
 
Ogopa mtu anachekesha watu kwenye kipindi cha radio, enzi hizo. Anaongea tu na wewe humuoni lakini unavunjika mbavu.............He rocks, the dude!


jamaa anaitwa King Majuto...
Hakujipa yeye huo ufalme, ni sisi watazamaji.
 
kuna kipindi alikuwa anausifia sana Mgahawa wa Aljawaz..

Akidai kuwa pale unaweza pata Mahalat na Mahanjumati.

Dah basi alivyokuwa anayasifu madikodiko ya Aljawaz utasema hata Muheshimiwa Mzee Mwanakijiji huenda kupata mlo wake wa jioni pale.

Majuto ni Noma.
 
patamu pakafika.
Majuto akaanza kuisifia bendi ya Njenje...
La la la la laaaa unataka utacheka hutaki utatabasamu.
 
hitimisho ilikuwa ni palee alipokuwa akipapaisha Mikadi beach.

Teh teh watu walikuwa wanatoka Bunju, Boko, Pugu, ukonga, Maji matitu, Kibamba, Kiluvya kwenda kupigwa na upepo ambao King Majuto alikuwa anausifia ile mbaaya
 
huyu babu ni noma bwana, kama wewe humpendi hulazimishwi minoitie katika jamii yoyote hawakosekani
 
Wenye maduka ya filamu za bongo wanasema mikanda ya Mzee Majuto ndio inaongoza kwa kuuzwa ktk maduka yao!uzuri huyu hukubali kwenda na wakati
 
Huyu Mzee mwisho mwanzo,akiwa na Kingwendu na Mtanga raha kumoyo,hao akina marehemu na wengineo wote ni vituko tu
 
mzeeee Majuto anatisha hana mpinzan bongo afu hatumii nguvu nyingi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom