Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,460
Kama unajua viwango vya comedy, huwezi kusema Majuto ni comedian mzuri.
Unaongelea viwango vya nchi gani? Kwa Tanzania, Majuto anakidhi soko, anawapa watu kile ambacho wanataka.
Comedy za Bollywood na Hollywood ni tofauti kabisa na za Nollywood na Bongo.