Mbele yake Nyuma yetu.
JEMBE letu hatunalo tena.
Nawapa pole WAFIWA kwenye kipindi hiki kigumu walichonacho/wanachokipitia.
Ndio,
Ni SAFARI ya wote, tunachopishana ni wakti tu.
Mwenyezi Mungu amrahisishie Mzee wetu MAJUTO huko aendako.
Naam,
Pengo lake halitozibika, na SISI tuliobaki tunakumbushwa ya kuwa KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI