Mzee Kikwete, leo ndiyo leo; msituangushe

Mzee Kikwete, leo ndiyo leo; msituangushe

Hatuhitaji mtu yoyote kwenye orodha hoyo. Tunachohitaji ni mtu kutoka wsyeule wa magufuli. Makamu wa rais atoke kwenye baraza la mawaziri wa jpm. Binafsi naona kabudi atafaa nafssi hiyo.
Sijaona mwenye sifa hiyo
 
Mkuu mvivu wa kufikiri utakuwa ni wewe. Kusoma kwingi kunatoa uwanda mpana zaidi wa kuona. Ungekuwa umejinafasi zaidi labda.

Hakuna anayesema JK akawe VP. Tunataka mabadiliko. Kimsingi tunajua hata katika hali tuliyopo sasa washukuriwe sana ambao kiutaratibu kama wangekaa kimya kuna genge la hatari lililojizatiti kuendeleza tusiyoyataka.

Zipo njia nyingine nyingi za kupambana na genge hilo. Ungekuwa wewe si mvivu ungekuwa umetambua kuwa JK anaweza kufanikisha kupambana na genge la namna hii kwa gharama nafuu zaidi.

Tatizo letu liko pale pale. Watanzania walio wengi ni wajinga sana. Huenda wewe ni mmoja wa wajinga hao.

Kumbuka ujinga siyo tusi.

Pole lakini mkuu.
Ww ni kiazi tulia
 
Hoja mufu hizo kwa sababu Serikali muda wote, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari kuhusu kinga ya magonjwa mbalimbali, ukiwemo COVID-19.

Katiba mpya siyo jawabu la mimi na wewe kutimiza wajibu wetu. Majirani zetu zetu walibadilisha Katiba, upinzani Tz wakawa wanaisifia sana. Sasa hivi wako kwenye mchakato wa Katiba mpya tena.

Uzalendo ndio msingi wa kuheshimu na kutimiza tunayokubaliana

Zama zile za nyungu na porojo za NIMRI tunategemea zimefika mwisho.

Tunategemea na kimsingi tunataka mwanzo mpya.

Ndiyo maana Chatto Inc ni bora ya ukoma!
 
Hawa
Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwette tunayo matumaini makubwa kwenu kuwa ule muda ambao taifa hili limeusubiri mno hatimaye umewadia.

Ni wazi kuwa kila mtu katika nchi hii angalipendelea tuishi sote kwa usawa na haki. Utashi wa viongozi wa juu katika kufanikisha hayo ni jambo la muhimu sana.

Kufanya maamuzi magumu yatakayorejesha imani ya wananchi kwa nchi yao itakuwa jambo la msingi mno kwa sasa labda kuliko jambo lolote lile.

Pana watu wakiwamo watia nia wengi waliojaribu kuutaka urais na kura kuwa hazikutosha hali nafasi ni moja wakiwamo akina:

1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula
9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk

Watu ambao hawakuwamo ndani ya establishment ya sasa au wale waliokuwa na maoni tofauti kuhusiana na establishment ya sasa kwa hakika wangetufaa sana.

JK tupeni raha kwa kuandaa mustakabala mwema utakaotuletea mwanzo mpya.
HAWA NOOOOOOO. Zama zao zilishapita kabisa we need new people new strategies hatutaki ndiyo mzee hza wafia chama hapa. tunahitaji watu watakaoweka maslahi ya watanzania mbele na siyo ya chama
 
Namshangaa huyu bwana ina maana hii nchi mika 30 iongozwe na watu hao hao kana kwamba hakuna wengine waliozaliwa?

Ila hata mmoja wa kupendekeza huna.

Hiiiiii bagosha!
 
Hawa

HAWA NOOOOOOO. Zama zao zilishapita kabisa we need new people new strategies hatutaki ndiyo mzee hza wafia chama hapa. tunahitaji watu watakaoweka maslahi ya watanzania mbele na siyo ya chama

Wanaoweka maslahi ya taifa mbere ni Chatto Inc.?
 
Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwette tunayo matumaini makubwa kwenu kuwa ule muda ambao taifa hili limeusubiri mno hatimaye umewadia.

Ni wazi kuwa kila mtu katika nchi hii angalipendelea tuishi sote kwa usawa na haki. Utashi wa viongozi wa juu katika kufanikisha hayo ni jambo la muhimu sana.

Kufanya maamuzi magumu yatakayorejesha imani ya wananchi kwa nchi yao itakuwa jambo la msingi mno kwa sasa labda kuliko jambo lolote lile.

Pana watu wakiwamo watia nia wengi waliojaribu kuutaka urais na kura kuwa hazikutosha hali nafasi ni moja wakiwamo akina:

1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula
9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk

Watu ambao hawakuwamo ndani ya establishment ya sasa au wale waliokuwa na maoni tofauti kuhusiana na establishment ya sasa kwa hakika wangetufaa sana.

JK tupeni raha kwa kuandaa mustakabala mwema utakaotuletea mwanzo mpya.
1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula

9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk
 
1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula

9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk

Yajayo yanafurahisha!
 
Kwani kama CCM ingekufa na Tanzania ingekufa?

Tunataka viongozi wanaoheshimu utawala wa sheria na demokrasia.

Hatutaki kutawaliwa kibabe, kutukanwa na kufokewa kama watumwa.

Hatutaki kutawaliwa,tunataka kuongozwa.
Si mngeanza basi na kutuonyesha uongozi wa demokrasia usio wa kibabe ndani ya chama chenu kwanza, ili tuone mtakavyotufanyia huku nje tukiwapa hayo mamlaka?
 
1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula

9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk
9. Anna Mgwira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom