Hadi pale Corona itakapotokomezwa au pale tutakapo kuwa nasi tumekuwa wahanga wa ugonjwa huu, ikiwa hatua zinazochukuliwa haziridhishi, tunapinga kelele.
Kwamba nyungu, maombi au ushirikina gani, hiyo mkawaambie ndege.
Uzi huu ulimhusu sana mpendwa wetu huyu ambaye kwa ujinga wako unadhani tulimchukia:
Huu ni waraka wa wazi kutoka kwetu tulio wahanga watarajiwa wa covid-19 kuja kwenu nyie tuliowapa mamlaka na sasa mnatutoa kafara wakati nyie mko pema. Ninaandika waraka huu kwa kudra za mola nikiwa ningali hai na nikiwa na imani ya dhati kuwa marehemu wengi mliowatoa kafara wangeandika waraka...
www.jamiiforums.com
Tatizo ni kuwa wengi wanakuja kutambua uliwahusu wakati ni too late.