Mzee Kikwete, leo ndiyo leo; msituangushe

Mzee Kikwete, leo ndiyo leo; msituangushe

Tanzania mpya inakuja jombi macho yetu kwa mzee wa kaya JK anayo nafasi ya kutupa raha.

Sasa hivi mnampenda!? Watanzania mna kiwango cha STG CHA UNAFIKI[emoji23][emoji23] matusi yote mlomtukana Leo kawa Mzuri
 
Sasa hivi mnampenda!? Watanzania mna kiwango cha STG CHA UNAFIKI[emoji23][emoji23] matusi yote mlomtukana Leo kawa Mzuri

Wapi ulisikia tunapenda watu? Hata huyu subiri tusikie VP ni Bashiri.

Kwanini magumu kuelewa nyie?
 
Huo ni mfano wa outsiders ndani ya CCM isiyokuwa ya sasa.

Tunahitaji mabadiliko kamili.

Wote hao wanaweza kuwa bora kuliko hawa:

1. Majaliwa
2. Ndugai
3. Simbachawene
4. Chenge
5. Mwigulu
6. Kabudi
7. Nk.nk

Na wa namna hiyo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Dah...Change? [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli kilichompa nguvu kuwa na MISIMAMO YA PEKE.
hata mimi mwanzo nilikuwa simkubali kabisa.kutokana na maamuzi yake.
Alichagua mtu anayemtaka hata kama watu watachukia.
Nani alijua kuwa doroth gwajima yule mama atakuwa WAziri wa afya?
Huyu mama ka-prove failure hata mwaka haujaisha. Anatakiwa afyatuliwe haraka
 
HUYU KAZI YAKE KUCHEKACHEKA TUNATAKA RAIS DIKTETA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430]

Chatto Inc. muda wa kuishi kama mashetani huo.

Mlikiwa mwajengewa CIA imeisha hiyo.
 
Tunataka mwanzo mpya. Utakaotambua nchi ni yetu sote. Utakaotambua tuna janga la Corona. Utakaotambua katiba mpya ni agenda yetu muhimu.

Mwanzo utakaotambua maendeleo ya watu nayo ni muhimu tena zaidi ya maendeleo ya vitu.
Naunga mkono hoja yako kwa 100%
 
Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwette tunayo matumaini makubwa kwenu kuwa ule muda ambao taifa hili limeusubiri mno hatimaye umewadia.

Ni wazi kuwa kila mtu katika nchi hii angalipendelea tuishi sote kwa usawa na haki. Utashi wa viongozi wa juu katika kufanikisha hayo ni jambo la muhimu sana.

Kufanya maamuzi magumu yatakayorejesha imani ya wananchi kwa nchi yao itakuwa jambo la msingi mno kwa sasa labda kuliko jambo lolote lile.

Pana watu wakiwamo watia nia wengi waliojaribu kuutaka urais na kura kuwa hazikutosha hali nafasi ni moja wakiwamo akina:

1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula
9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk

Watu ambao hawakuwamo ndani ya establishment ya sasa au wale waliokuwa na maoni tofauti kuhusiana na establishment ya sasa kwa hakika wangetufaa sana.

JK tupeni raha kwa kuandaa mustakabala mwema utakaotuletea mwanzo mpya.
Leo JK KAWA WA KUWAPA RAHA DU RSHA BILA KAZI
 
Watu wanataka mwizi arudi ikulu, halafu baada ya wiki mbili waanze kulia tena tunaibiwa rasilimali zetu, hili taifa bora tukawaombe waingereza warudi kututawala.
 
Tunataka atakae shikilia pale alipoishia magufuri, tulisha zoea kuchapa kazi tulisha zoea kulipa kodi, teyar tunajua sisi ni matajiri na vijana wamejityuni kukaa na kuchapa kazi hivyo hatutaki kurudi nyuma tunahitaji atakae tupeleka mbele zaidi na Sio kurudi nyuma
Hakika tena msemaji umesema vyema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom