Mzee Kikwete, leo ndiyo leo; msituangushe

Mzee Kikwete, leo ndiyo leo; msituangushe

Ni wewe unayetamka haya🤔🤔🤔⁉️

Haya ni maneno ya mwuungwana aliyetukuka mwalimu Nyerere (rip):

IMG_20210322_100812_260.jpg


Mjifunze ni uungwana. Uungwana ni kitu cha bure.

Kutofautiana mawazo hakuhalalishi kutishana, kufokeana wala kuuwana.

Siri kubwa ya kupendwa kwake!
 
Huo ni mfano wa outsiders ndani ya CCM isiyokuwa ya sasa.

Tunahitaji mabadiliko kamili.

Wote hao wanaweza kuwa bora kuliko hawa:

1. Majaliwa
2. Ndugai
3. Simbachawene
4. Chenge
5. Mwigulu
6. Kabudi
7. Nk.nk

Na wa namna hiyo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Msiangaike atatolewa huko ubalozini ndiye makamu wa rais
 
Msibani tulikusikia ukiunguruma. Tukafarijika mno.

Dakika ndiyo hizo zinayoyoma. Tunaamini kwa mara nyingine hukutuangusha.
 
Bashiru tu! hakuna mwingine anaeweza kujaribu alichofanya mwenda zake Mh. JPM
Mkuu, ni watu wachache tu watakuelewa - hivi sasa kuna crusade kubwa yenye lengo la kumzuria mambo, kumpaka matope and all sorts of innuendos!! Hawataki mzalendo mwenye msimamo, ambaye hana vikundi,hana simile na mafisadi waliokuwa wamepora mali za chama (hao ndio wanampiga vita kweli kweli) kwa kumzulia story zisizo kuwa na kichwa wala miguu.

Hali ilivyo sasa Taifa letu lina itaji Makamu ambaye anafuata to the letter filosofia za JMP na Kambarage,mwenye msimamo tajwa hapo juu ndie angekuwa ideal wa kusaidiana na Rais S. S. Hassan kunyoosha nchi ili tusirudi tena kwenye zama za awanu zilizopita.
 
Mkuu, ni watu wachache tu watakuelewa - hivi sasa kuna crusade kubwa yenye lengo la kumzuria mambo, kumpaka matope and all sorts of innuendos!! Hawataki mzalendo mwenye msimamo, ambaye hana vikundi,hana simile na mafisadi waliokuwa wamepora mali za chama (hao ndio wanampiga vita kweli kweli) kwa kumzulia story zisizo kuwa na kichwa wala miguu.

Hali ilivyo sasa Taifa letu lina itaji Makamu ambaye anafuata to the letter filosofia za JMP na Kambarage,mwenye msimamo tajwa hapo juu ndie angekuwa ideal wa kusaidiana na Rais S. S. Hassan kunyoosha nchi ili tusirudi tena kwenye zama za awanu zilizopita.

Ungesema kuwa taifa linahitaji Chatto Inc ungeeleweka vizuri tu. Hao wana muishi JPM na Chatto kuwa mkoa ni moja ya maono yao.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kudos rais Kikwette.

Kwa mara nyingine - kwa hakika kama nchi umetundea haki kabisa.

Itikadi za genge la wasukuma au wanachato, habari ndiyo hiyo.

Ikumbukwe: Ipo una tofauti kubwa baina ya itikadi za magenge hayo na makabila wanayojaribu kujinasibu nayo.

Mola akujalie maisha marefu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom