Alikuwa anafanya propaganda.Unategemea JK akupe raha? JPM alionesha jinsi awamu ya 4 na 3 zilivyozingua halafu bado unataka kurudi nyuma.
Alikuwa anapotosha ukweli.
Kama ulikuwa unamwamini,uwezo wako wa kuchanganua masuala utakuwa mdogo mno!
Jambo la kusikitisha,kama ilivyo kawaida ya madikteta,alikuwa amefanikiwa kuwabrainwash wananchi wengi kupitia udhibiti wa vyombo vya habari.