Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee CLEOPA DAVID MSUYA akihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 amesema CHADEMA ni wazuri na mahiri wa kuchambua mambo kwa kina na lazima tujifunze kwao.
-
Hawa CHADEMA ni wachambuzi wa mambo kwa kina na ni lazima tujifunze kwao, kwamba wao kwanini wanajifunza hivi na bado watu wetu hawawezi kujifunza kiasi hichohicho mpaka tuegemee upande wa pili" - Mzee Msuya
-
Hawa CHADEMA ni wachambuzi wa mambo kwa kina na ni lazima tujifunze kwao, kwamba wao kwanini wanajifunza hivi na bado watu wetu hawawezi kujifunza kiasi hichohicho mpaka tuegemee upande wa pili" - Mzee Msuya