Inakuwaje CHADEMA wanakuwa smart zaidi ya CCM?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,299
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
 
Tatizo ni kuweka akili pembeni na kusikiliza maagizo kutoka juu,ambapo kimsingi huko 'juu' ndio kuna akili ndogo kuzidi chini
Ni hivyo mkuu, ujinga mtu kuangalia juu kutaka mvua bila kujua mvua inaanzia chini, then juu kisha chini na kuleta neema.
Nina maana wachini huwapeleka wachache juu kisha hao walio juu kutimiza watakayo wachini, nani mkuu kiuhakisia?
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Naamini neno smart' unamaanisha wana akili. Lakini vigezo vyako unavyohisi huo u-smart Kwa mtu mwingine anaweza kutumia kukupima wewe uwezo na kiwango cha akili yako na akajua udhaifu au ubora wako.

Na pengine akakutumia wewe ku-sample u-smart wa wafuasi wengine wa ChAdeMa na akapata jibu kwa nini wengine wanakuja na dhana ya tabia za mnyama nyumbu na wafuasi wa hicho Chama.
 
Dawati la siasa lishapwaya, wajitafakari maana meli ndio inazama hivyo.
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Wataalam wengi wapo CCM ila wamekata tamaa kwasababu wanaothaminiwa ni akina Bambo n.k
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Hayo yote hapo yanahusuje CCM kama Chama?
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Akili zetu wanaccm tuazijua wenyewe
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Ukisimama nchale, ukikaa nchale ukitembea nchale!! Amin nakwambia mwisho wa jambo fulani haujalishi kuna wakongwe wala wazoefu!! Ishi humo!!!
 
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.

Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.

Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.

Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la. Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.

2. Unamwambia mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.

3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.

4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy

Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Imagine hata propaganda tu wamefeli mnoo 🤣🤣👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20230906-091832.png
    Screenshot_20230906-091832.png
    174 KB · Views: 2
Ni hivyo mkuu, ujinga mtu kuangalia juu kutaka mvua bila kujua mvua inaanzia chini, then juu kisha chini na kuleta neema.
Nina maana wachini huwapeleka wachache juu kisha hao walio juu kutimiza watakayo wachini, nani mkuu kiuhakisia?
Kiuhalisia wa chini ndiye mkuu(wananchi),
 
Back
Top Bottom