The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Kuna Mambo ukiangalia utagundua Chadema ni werevu zaidi ya CCM.
Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.
Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.
Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.
2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.
3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.
4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy
Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya
Masikitiko ni kwamba CCM ni chama kikongwe kina wataalamu wa kila aina lakini mipango yao ni ya hovyo sana.
Je wataalamu na wanazuoni hawataki kukiambia ukweli hiki chama. Au wenye chama hawataki kusikiliza ushauri wa wataalamu.
Mfano
.
1. Unawakamata watu kwa kosa la Uchochezi
Baadae unageuza uhaini afu unawaachia kwa dhamana. Crazy.
2. Unamwambia Mwambukusi asitoke nje ya Mbeya bila kibali anakaidi agizo na anaendelea kudunda mtaani kwa sababu maagizo yapo kinyume cha sheria Crazy.
3. Police anamzuia Lissu kufanya Mkutano Ngorongoro. Lissu anapokelewa kwa nderemo na vifijo kwa sababu zuio lipo kinyume na utaratibu. Huyu aliaandika anajisikiaje .Crazy.
4. Ni wataalamu gani wa serikali walisaini.ule mkataba IGA na DPW. maana ni ujinga mtupu umejaa mule. Crazy
Kiufupi mambo ni mengi sana yanayoonesha Chadema pamoja na udogo na uchache wao wana hoja nzito kuzidi genge looote la CCM kama alivyosema waziri mkuu mstaafu Msuya