johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,445
Ni katika Kipindi cha Dakila 45 ITV, hakika mambo ni moto
Mzee Msuya ambaye ni waziri mkuu mstaafu anasema Chadema bado ina Watu makini na Wenje uwezo mkubwa wa kujenga Hoja
Kuhusu CCM Mzee Msuya anasema bado ina udhaifu katika kujenga Hoja na kuaddress mambo kwa Wananchi yaani bado ina mizigo kama alivyosema Kinana so inawapasa kujitazama vizuri
Source ITV
Mzee Msuya ambaye ni waziri mkuu mstaafu anasema Chadema bado ina Watu makini na Wenje uwezo mkubwa wa kujenga Hoja
Kuhusu CCM Mzee Msuya anasema bado ina udhaifu katika kujenga Hoja na kuaddress mambo kwa Wananchi yaani bado ina mizigo kama alivyosema Kinana so inawapasa kujitazama vizuri
Source ITV