Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,996
Waziri Mkuu mstaafu Cleopa Msuya, leo amefika kwenye Kikosi Kazi cha Rais cha kukusanya maoni yanayohusu Katiba Mpya, ambapo mzee huyo hakumung'unya maneno, amewapasulia wazi wajumbe wa kikosi kazi hicho kwamba Katiba Mpya ni sasa hivi.
Mzee Msuya amesema kwamba ifike wakati sasa tuhitimishe jambo hili ili tuendelee na mambo mengine, badala ya kila mwaka kuzungumzia jambo hilohilo tu.
Chanzo: Mwananchi
Ujumbe: Kama hawa wazee wamechoshwa na danadana hizi za akina pinda na mukandala, wewe ni nani hata upinge Katiba Mpya
Mzee Msuya amesema kwamba ifike wakati sasa tuhitimishe jambo hili ili tuendelee na mambo mengine, badala ya kila mwaka kuzungumzia jambo hilohilo tu.
Chanzo: Mwananchi
Ujumbe: Kama hawa wazee wamechoshwa na danadana hizi za akina pinda na mukandala, wewe ni nani hata upinge Katiba Mpya