VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,943
- 14,165
Sielewi anazungumzia nini huyu?kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Sielewi anazungumzia nini huyu?kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Hakuna aliyekuja kuishi mileleWewe kumamalako utazikwa tu sijku moja
Kwa kumwaga damu za watoto na wajawazito na watu wasio na hatia kisha kwenda kuwafukia kisa kupoteza ushahidi hao miungu watu labda inayotaka damu za watusoma kitabu cha wafalme ndio utaelewa hata viongozi wabaya huwekwa na Mungu
"Na wewe, Ewe mtu mwovu, uliyetiwa jeraha kiasi cha kukuua, mkuu wa Israeli, ambaye siku yako imekuja, katika wakati wa uovu wa mwisho; Bwana MUNGU asema hivi; Kiondoe kilemba, livue taji; haya hayatakuwa tena kama yalivyo; kikweze kilicho chini, kakishushe kilichoinuka.Kuna vitu ni principal, hamuwezi kubishana kwa hivyo, Mungu ndie Muumba wa mbingu na nchi na kili kilichomo ikiwemo serikali za mataifa, yaani The Almighty God, the creator!, shetani, the devil, can not create anything, ila ni the destroyer, to destroy everything God has created!, ila ili shetani aweze ku destroy, ni lazima Mungu amruhusu!. Ni Mungu alimruhusu shetani kumtempt Eva akamega lile tunda!, ni Mungu alimruhusu shetani kumtempt Cain amuue Abel, Ayubu,, Isaka akaiba uridhi wa Essau, Daudi akamtamani mke wa Uria, akamuua Uriah na kumtwaa mkewe kumfanya mke wake.
Ni Mungu alimruhusu shetani kumtempt Lutu akawalala binti zake B, akawa B, na kuwatundika wote wawili!. Kila ubaya unaofanywa na shetani ni Mungu anaruhusu!, Ni Mungu ndio huweka serikali za mataifa na kumruhusu shetani kuwaingia hao viongozi na kufanya ushetani.
Kukubaliana kutokubaliana ni very healthy kwenye mijadala.
P
Aliona hizi pichaMkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Butiku ametoa kauli hiyo leo Machi 4, 2026, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza.
Akizungumza katika hafla hiyo, amesema kuwa tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongezewa muda hadi mwezi Aprili, na kuwataka wananchi kuwa na subira.
“Nimesikia tume iliyoundwa na Rais Samia imeongezewa muda mpaka mwezi wa nne (Aprili). Tukubali tusubiri aje atuambie jambo na lije litusaidie kwenye mazungumzo,” amesema Butiku.
Aidha, amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhimiza haki na amani kwa wakati mmoja, akisisitiza kuwa hakuna amani ya kweli bila haki.
Huyu babu naye sasa chawa wa wazi wazi tena ndumilakuwiliMkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Butiku ametoa kauli hiyo leo Machi 4, 2026, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza.
Akizungumza katika hafla hiyo, amesema kuwa tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongezewa muda hadi mwezi Aprili, na kuwataka wananchi kuwa na subira.
“Nimesikia tume iliyoundwa na Rais Samia imeongezewa muda mpaka mwezi wa nne (Aprili). Tukubali tusubiri aje atuambie jambo na lije litusaidie kwenye mazungumzo,” amesema Butiku.
Aidha, amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhimiza haki na amani kwa wakati mmoja, akisisitiza kuwa hakuna amani ya kweli bila haki.
Kabla haujamuita mzee butiku mhuni, jitafakari maswali haya
1. Babako au wewe mmewahi kupata nafasi kama ya mzee butiku?
2. Ni lini ulimuona mzee butiku mhuni? Akiwa anakusapoti uhayawani wako ni mzee mwenye busara, akienda kinyume anakuwa mhuni, sasa kati yako wewe anayekutangisha tangisha mawazo au yeye nani mhuni?
3. Tabia za nyumbu ni kutangishwa tangishwa tu! Yoyote mnafuata mkumbo
4. Wahuni ni wale walioenda kutafuta katiba kule kwenye miundo mbinu ya sgr, dart, tra tanesco halafu wakakutana na wenye wajibu wa kulinda hvo vitu.
5. Wahuni ni wale walienda kutafuta tume ya uchaguzi kwenye maduka ya simu na cafetaria ya shilole
Anyway
Achana na mzee butiku
Heshimu maisha yako
Tii sheria na mamlaka za nchi
Fanya kazi ujiongezee kipato
Acha kuzungumzia wale wahuni waliokula misumari, hao walisha umaliza mwendo salama.
Acha kulilia vibaka waliozikwa, inawezekana hata wewe wangekufikia, wenye wajibu wakakusaidia kuzuia uharifu huo.
Unafiki usizidi sanaMkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Butiku ametoa kauli hiyo leo Machi 4, 2026, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza.
Akizungumza katika hafla hiyo, amesema kuwa tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongezewa muda hadi mwezi Aprili, na kuwataka wananchi kuwa na subira.
“Nimesikia tume iliyoundwa na Rais Samia imeongezewa muda mpaka mwezi wa nne (Aprili). Tukubali tusubiri aje atuambie jambo na lije litusaidie kwenye mazungumzo,” amesema Butiku.
Aidha, amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhimiza haki na amani kwa wakati mmoja, akisisitiza kuwa hakuna amani ya kweli bila haki.
Akaushauri uchi wa mamake huo Useng€ huyu kvma mzee ,kvma LA mamakeMkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Butiku ametoa kauli hiyo leo Machi 4, 2026, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza.
Akizungumza katika hafla hiyo, amesema kuwa tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongezewa muda hadi mwezi Aprili, na kuwataka wananchi kuwa na subira.
“Nimesikia tume iliyoundwa na Rais Samia imeongezewa muda mpaka mwezi wa nne (Aprili). Tukubali tusubiri aje atuambie jambo na lije litusaidie kwenye mazungumzo,” amesema Butiku.
Aidha, amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhimiza haki na amani kwa wakati mmoja, akisisitiza kuwa hakuna amani ya kweli bila haki.
We naye mseng€ uliyeleta huu uzi kanyonye uchi wa kahaba samia wenu huyo mnayemuita rais ,kum@ LA mamakoMkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Butiku ametoa kauli hiyo leo Machi 4, 2026, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza.
Akizungumza katika hafla hiyo, amesema kuwa tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongezewa muda hadi mwezi Aprili, na kuwataka wananchi kuwa na subira.
“Nimesikia tume iliyoundwa na Rais Samia imeongezewa muda mpaka mwezi wa nne (Aprili). Tukubali tusubiri aje atuambie jambo na lije litusaidie kwenye mazungumzo,” amesema Butiku.
Aidha, amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhimiza haki na amani kwa wakati mmoja, akisisitiza kuwa hakuna amani ya kweli bila haki.
Ngoja baraza LA waandishi wa habari wa ccm na vibaraka wa huyo Malaya wako unayemwita rais wakushughulikie ,kum@ ILIYOOZA WEWE.Naunga mkono hoja, hili hata mimi, nililisema!, GE2025 - Fact: Samia ndiye Rais wa JMT!, Uwe ulimchagua, hukumchagua, hukupiga Kura, uko Tanzania au Ughaibuni, unamtambua, humtambui, SSH ndiye Rais wako!
P
Rais wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni aibu sana kutoka na kusema kwa watuSi,alijiapisha kwenye kambi ya jeshi Bado tu anajiona si rais? Kuna tatizo mahali ndani ya taifa hili.
Ogopa sana kukataliwa na watu.
Kusamehe sio lazima kama angekua ametubu angekua angesamehewaHuu ujumbe wapewe wale wa kanisa la mitume maana hawana Cha kumfanya na huyo ndio Rais Hadi 2030.
Utawasikia wanahubiri msamaha harafu wao Wameshindwa kusamehe 😂😂😂😂😂
Bora na mara 100 wale wa kulipa kisasi wako real kuliko Hawa waigizaji.
Kila siku nakwambia hizo dini zenu ni miradi kama biashara zingine
Hawana hata aibu pumbavu kabisaWabaridhiana na nani wakati Wrngine wapo jela kwa ushahidi kutoka kwenye maboxi watu wanatoa ushahidi wapo kwenye vibanda vya njiwa..
Watu wa Butiama hawajawahi kuwa ma Chawa, huyu imekuwaje?Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano.
Butiku ametoa kauli hiyo leo Machi 4, 2026, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maridhiano (Maridhiano Day) yaliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza.
Akizungumza katika hafla hiyo, amesema kuwa tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongezewa muda hadi mwezi Aprili, na kuwataka wananchi kuwa na subira.
“Nimesikia tume iliyoundwa na Rais Samia imeongezewa muda mpaka mwezi wa nne (Aprili). Tukubali tusubiri aje atuambie jambo na lije litusaidie kwenye mazungumzo,” amesema Butiku.
Aidha, amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhimiza haki na amani kwa wakati mmoja, akisisitiza kuwa hakuna amani ya kweli bila haki.