Hiyo njia ya "MAZUNGUMZO", ni mbinu tu ya kuendeleza maovu, bila ya kufanya marekebisho popote.Mazungumzo hayajawahi kuwa nyenzo ya upatanishi na ujenzi wa amani popote pale. Mazungumzo yanachelewesha amani na kuimarisha uovu. Amani inaletwa na kurekebishwa kwa kile ambacho kinamakosa kisiporekebishwa lazima industrial action itumike.
Ukute ametumwa na muuaji kutafuta vichwa, watakaosimama na kuongelea HAKI watekwe na kupotezwa.Mzee Butiku awaita wazee kujadili amani, haki na maendeleo
Katika maneno haya yaliyonukuliwa hapa, sioni mahali popote panapomhusisha Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa viongozi waliolenga kuyatimiza hayo maneno kwa mmmanufaa ya taifa letu.asubuhi, unalenga kutoa nafasi kwa wazee kujadili na kutoa maoni kuhusu misingi iliyoundwa na kudumisha Taifa la Tanzania kuwa nchi ya amani, umoja, haki na yenye matumaini ya maendeleo endelevu ya watu
Huyu yumo kwenye mipango tu ya kutumika kusafisha uchafu wa Samia, hana heshima tena huyu.Butiku ni anachekesha sana, badala ya kuita wanaopigania haki na wale waliondoa haki anaita wazee. Wazee watasaidia nini? Rubbish
Mzee makoti eti naye yumo.Kila la kheri wazee wetu....