Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Tatizo la mshika kofia ni Mtu wa Visasi sana ,ana beba mambo meengi sana ya Watu Mwisho ankuwa kama ame wehuka.Hata yale ya kawaida kabisa ana yawekea alama ya kuuliza ...Karma ita mtafuna sana Maishani mwake.
 
A name or username or user ID can mean a lot in our life.. And it can affect us in a very strange way... Just like word crippled... Direct Swahili translation is kilema... If in any case this word appears in your name or username it may lead to a crippled mind....
Mzee wa ndele ntumie tafsiri pm
 
CC Mshana jr:
Pokea gwala kwanza!
Kisha nikuombe jambo. Nalo ni " tafadhali punguza hekima katika mabandiko yako kwani lumumba fc huwa haambulii hata chembe!".
Sababu unaijua kuwa wengi wa upande ule ama ni wale tuliowaita wasaka nyoka kwa maana ya kujichimbia vichakani wakati sisi wengine tukiisaka elimu! Pole yao lakini!
Sasa nikuulize swali: hivi, ngoswe alilewa nini kati ya pombe, kazi yake au mvuto wa yule muuza pombe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom