Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

In every action there is equal and opposite reaction..what goes around comes around!
Karma is a bitch!
 
Ni mwendo wa kufyatua tuu... ... Neno linasema.. Basi zaaneni mkaongezeke muijaze dunia.... Ilikuwa ni pale bustani ya Eden
Hahaa umenifurahisha na hlo neno FYATUA. nilikowah kulisikia sasa
 

Eti da Mange kasemaje kwani??
Ndio Dada namba 1 hapa nchini, maana yeye ndie alietuletea habari ya MAMA wa 1 kupewa kichapo kutoka kwa MZEE BABA hadi kusababisha apelekwe kulazwa MUHAS kwa MGANGA eti kwa kisingizio cha UZALENDO
 
Ndio Dada namba 1 hapa nchini, maana yeye ndie alietuletea habari ya MAMA wa 1 kupewa kichapo kutoka kwa MZEE BABA hadi kusababisha apelekwe kulazwa MUHAS kwa MGANGA eti kwa kisingizio cha UZALENDO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom