Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #41
Hakuna shaka nitamtanguliza muumba ktk hilimpotezee huyo mwanamke,usiwe cheap kihivyo.....heshimu uhusiano wako na rafiki yako,ilinde roho yako na mateso ya baada ya wewe kufanya hivyo kama hofu na woga na zaidi utumwa.....ukimwi bado upo......Mungu akusaidie najua mwanamke akidhamiria ni mtihani.....be strong!:hand: