Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #121
Nashukuru kwa ushauri wako,nitaendelea kumuheshimiwa mshkajDemu wa mshikaji wako,, hana heshima we muheshimu jamaa yako then usimgonge huyo demu,,,, wa kazi gani mdau,,, unajua makazini uswahilini kuna mademu wanagongwa kushinda wauza K hapa mjini,,, km from monday to sunday anakula dudu,,,hafai huyo brooo hat km anafaaa ni wa mshikaji wako.
Hapo ulipo ni support ya mshikaji why dont you appreciate,,,,, tatizo vijan mnatak mtelemko,,,,unataka uweke history mbona mimi nishgonga huyu demu,,,utakuwa kwenye list ya walioukwaa nawewe!!!!