Ulivyompiga umefaidi nini sasa??kama una nguvu kapigane na wanaume wenzio! Shame on you..
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Blue, unahitahitaji kupevuka akili. Kwa vitendo vyako huafai kuitwa mume wala kiongozi wa familia. Huwezi ukatatua matatizo kwa kupiga mkeo. Ubaya ni kwamba huwezi fahamu matokeo ya kipigo hicho. Unaweza ukafikiri umemweka mkeo mahala pake na atakuheshimu zaidi au labda atakuogopa ila hujui umepunguza pendo lake kwako kwa sehemu kubwa sana. Naomba nikupe mfano mdogo sana na labda hili litakusaidia wewe.Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Think twice kabla ya kuandika. Mke siyo sawa na mali yako unayoweza kutupa na kudharau kisa unakimiliki. Mke ni idhaa adimu. Kua uyaone.Mpotezee, ukichukulia bado ni mke wako.
Analeta wivu wa kubomoa huyo na anataka akupande kichwani,pigaaaaaaa.....
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Anakushuhudia uwongo vipi wakati umeandika mkeo kakuharibia siku yako? Kwani alikushika mkono akauinua na akajipiga kwa raha zake? Mkeo saa hizi anamtafuta mungu ampe moyo wa uvumilivu hata asikumbuke kipigo ulichompa, asikuone mbaya kwake na asiamini kuwa ulikusudia kufanya hivyo. Anautafuta uso wa mungu umwongoze asifanye maamuzi yenye kuiharibu familia yake na wewe upo hapo nyumbani and you even dare say amekuharibia siku!!!!! Kijana shika adabu yako! Wewe bado mtoto kumbe. Rudi kwa wazee wakueleze namna ya kuishi na mke.Mkubwa mbona unanishuhudia uwongo?