Oooooopppssssss ngoja nipake mafuta kidogo
BHT huyu TF anafaa kabisa kuwa mkwe wako si unaona busara zinavyomwagika hapa
Thank you a Lot AshaDii
Well said and ready to fulfil it in my own marriage
Tatizo liko hapo kujua kuwa taasisi ya ndoa ina umuhimu gani na je anayeingia humo anajua umuhimu wake na anajua wajibu wake
Unaposhindwa kujua umuhimu wako kwenye taasisi hii ni lazima utakuwa unapwaya na utakua hujui wajibu wala dhima nzima ya kuingia humo
Jiangalie wewe je ni mkamilifu
Je wewe una mapungufu gani na je uko tayari kuambiwa kuwa haya ni mapungufu yako na uko tayari kuishi kulingana na mapungufu yako na kujitahidi kukabiliana nayo hata kuyaoindoa ikibidi
Je unajua mwenza wako ana mapungufu haya na haya na uko tayari kuyaelewa na kukabiliana nayo
Hapo ukishaelewa sema sasa kwa Shida na Raha till death do us apart na usisome kama maandishi bali maanisha
Hii mamii nimeipenda....
Ukijitambua tu kuwa hata wewe una mapungufu yako basi unaweza kumvumilia mwenzio na yake (ofcoz yapo yasovumilika)
Wadada wengi ni mabingwa wa kutoa 'risala' (sijui ni asili yetu) ila binafsi huwa inanipa nafuu sana (sipendi kuweka kutu kwenye moyo). Na hilo linasaidia kuimarisha upendo wangu kwa mwenzangu kwa kweli.
(mada ni nini tena TF?)
Well, binafsi naona msingi mkuu hapa ni upendo, uvumilivu na heshima baina ya wawili. Hii naamini intani guarantee furaha ya kweli.
Kuna watu wana fedha na mali na hawana furaha kwenye ndoa na mahusiano yao. Sasa pesa ni ya nini hapo?
Najaribu kuikumbuka lakini bado sijaipata
aiisee kweli wana JF leo MNAHASIRA na ndoa zinazopuzwa... Mara hii mko page ngapi vilee??
hii taasisi inapoteza maana kwa kweli...
hii taasisi inapoteza maana kwa kweli...
Everything is possible kabisabht... naona imefika wakati turudishe maana yake... Sio kazi ndogo but yawezekana with time na energy...
Duh!!! Ngoja nikumbuke lol!!!halafu huyu huyu TF ni mkwe wa mama wa kwanza...sasa sijui ana nia gani na mabinti zetu huyu!!
Duh!!! Ngoja nikumbuke lol!!!
Hahaha!!! Unataka kuiniumbua lol!! Isije ikawa mambo ya I LOVED YOU NOW I HATE YOU na dedication juu lol!!!lol...
afu mama wa kwanza (FL1) ni bestiledi wangu...utajiju!!
unataka kutuchangyia madesa eeh?
are those also your thoughts???
Hahaha!!! LolSi unamuona TF alivyo nafikiri anaongea kama mtu mwenye experience na ndoa yake kwa miaka kadhaa
Hahaha!!! Lol
Usijali mkuu kwenye taasisi hiyo nami nitajiunganakusifia hapo na uwe tayari kuthibitisha hilo utakapoingia kwenye taasisi hii
Afu sijui unasubiri nini maana naona uzee unakaribia utaitwa babu sasa hivi na watoto wako mwenyewe
Usijali mkuu kwenye taasisi hiyo nami nitajiunga
. It is sad some people tend to take their careers more seriously than their marriage
What are u trying to insinuate here
Kwa maana naamini kuwa marriage ni marriage na carrier ni carrier
Ukiwa ofcn mambo ya huko yanaishia huko huko na ukishafika nyumbani another institution inatake place
Au mi nimeelewa kivinngine
<br />In a successful marriage home is your favorite place to be. Not that "home" here is not the same thing as house', house is where you live; home is what you live in. A house is built by sand, cement and water while a home is built by Love, peace and joy. So, how do we go from having 'manages' to have 'marriages'? Its just not the capacity to get people to stay together that is the important thing, but also the capacity of get people to love being together. And so if we can build strong marriages, we will build strong families. It is sad some people tend to take their careers more seriously than their marriage, but the truth be told; there can hardly be any true career success if your marriage has failed. Marital changes have be know to ruin the best career opportunities<br />
<br />
I think that in the course of marriage, there is nothing that cannot change. But to bet that something will change may be asking for much. Always ask yourself , what if it doesn't change? If the situation remains the same, what are you going to do? People after marriage they usually say, 'He/She saw me the way I was and he/she married me that way, now he/she is demanding that I change'.<br />
<br />
This is the most critical time to stand in integrity and ask, 'Can I really live with this?'. Marriages do not fail because of the things you can live with, marriages fail because of the things you can't live with. Most times, people knew they couldn't live with certain things but they said maybe they could.
Ashadii ni wengi na hilo ni tatizo maana unakuta akirudi nyumbani anaingia kwenye laptop kufanya kazi wakati huo muda alipaswa awe na wife wake wakijadiliana
Hii ipo sana
<br />QUOTE=AshaDii;2443988]Bora sasa awe anafanya kazi... akiingia kanuna na kujifanya yupo busy na L-top kumbe yupo JF...