<br />
<br />
Nimefunga sita, nifuturishe movenpick jioni...lol!
Nothing gives me joy in the heart as being in an understanding with my man...si najiskia dunia ni mali yangu?!!
Kinyume na hapo, I tell you hakuna hata kinachoshuka aisee....ndio maana mm nasema hayo mambo ya hela and stuff haviniingii akilini!
Hata nikila tembele na dagaa kama nina furaha akhaa sina shaka mie, sasa ww mwenye kila kitu chako na moyo umegubikwa na wimbi la simanzi kuna manufaa gani?
Anyway, tunatofautiana sana aisee! Wengine nyumba zao hazijengengeki bila faranga za kutosha (that is their happiness may be)