The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #41
Why do you think so daughter???ivi ni sahihi mtu a-sacrifice career for the sake of the marriage?
mi nadhani bora u-sacrifice career for the sake of love
Why do you think so daughter???ivi ni sahihi mtu a-sacrifice career for the sake of the marriage?
mi nadhani bora u-sacrifice career for the sake of love
mhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!bado natafakari,
tatizo kalugha
FB na wewe vipi au tuje tujadili hapo MAC ELIES, A TOWNmhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!
no unakwepa ukweli...........
nyoosha maelezo..........
Nielekeze chuo kizuriPole xana Asprin,nenda english coz hata ya mwez mmoja
Wakati tunasoma kiingereza wewe ulikuwa busy unatongoza wajukuu, hela ya ada uliyopewa ukalipie British Council ukawa unahongaNatamani kujua kingledha....... nami labda ningechangia.
Kiinglish is not richabo aisee....!
Natamani kujua kingledha....... nami labda ningechangia.
Kiinglish is not richabo aisee....!
Na wale wanaosema kabla ya kuoa/kunioa ulinikuta hivi kwanini unataka kunibadilisha hao unasemaje??Most times, people knew they couldn't live with certain things but they said maybe they could
Do u think in marriage kuna kujaribu
I don think so
Marriage ni kitu kingine na hakuna kujaribu au kuhisi kuwa hii inaweza kuwa hivi
Kama umeamua kujitumbukiza just do it and never make hypothesis that hiki kinaweza kuwa hivi au kikiwa hivi kinaweza kuwa vile
Jitayarishe kuvaa uhusika haswa na kuwa halisia wa kile unachokiamini
Natamani kujua kingledha....... nami labda ningechangia.
Kiinglish is not richabo aisee....!
Wakati tunasoma kiingereza wewe ulikuwa busy unatongoza wajukuu, hela ya ada uliyopewa ukalipie British Council ukawa unahonga
Babu kuna secondary school ya shule ya sekondari ya kata inatoa english course ya kiingereza hapa mtaa wa kaloleni street karibu sana
Nyie vijana wawili hapo juu, kama mlifikiri ni mimi pekee umombo unanipiga chenga, hebu msomeni na mai fellow tablet hapa chini ambaye ndo alikuwa kichwa darasani kwenye somo la kiinglish wakati tunasomea filosofia ya uchanganyaji wa madawa...Dah! nilikuwa najihisi najua kiingereza balaa, baada kusoma hii sredi nimegundua kumbe najua alphabeti tu, Kulaleki! acha nisepe nisije kuazirika mbele ya Keren Happuch
Na wale wanaosema kabla ya kuoa/kunioa ulinikuta hivi kwanini unataka kunibadilisha hao unasemaje??
Fellow tablet huu mjadala usiuendeleze sana, CV yangu ya PM anytime inaweza ikaasirika na huu mjadala.Nyie vijana wawili hapo juu, kama mlifikiri ni mimi pekee umombo unanipiga chenga, hebu msomeni na mai fellow tablet hapa chini ambaye ndo alikuwa kichwa darasani kwenye somo la kiinglish wakati tunasomea filosofia ya uchanganyaji wa madawa...
Nyie vijana wawili hapo juu, kama mlifikiri ni mimi pekee umombo unanipiga chenga, hebu msomeni na mai fellow tablet hapa chini ambaye ndo alikuwa kichwa darasani kwenye somo la kiinglish wakati tunasomea filosofia ya uchanganyaji wa madawa...
Nimecheka mpka machozi yamenitoka lol!!! Kuna watu wamepindaNyie vijana wawili hapo juu, kama mlifikiri ni mimi pekee umombo unanipiga chenga, hebu msomeni na mai fellow tablet hapa chini ambaye ndo alikuwa kichwa darasani kwenye somo la kiinglish wakati tunasomea filosofia ya uchanganyaji wa madawa...
Unajua uchanganyaji wa madaw lazima uendane na lugha za kimombo vinginevyo unawzea kusababisha sumu...... sasa hiki kiinglishi mnachokiweka hapa bado hakijafika kwenye silabasi zetu....Tuoneeni huruma watu wa madawa....Sasa babu kuchanganya madawa na kiinglish wapi na wapi
wewe shika formula ya kutengeneza panadol na qloroquine achana na kiinglish bana
Fainest Utuhurumie, keren Hapuch Utusikie. Fellow tablet kama hatujasikilizwa tuhamie Tripoli kwa waasi.... Maandamano ya chadema hayatatusaidia katika kudai haki yetu ya kukienzi kilugha chetu cha kinyerere.Fellow tablet huu mjadala usiuendeleze sana, CV yangu ya PM anytime inaweza ikaasirika na huu mjadala.
ee Mungu twakuomba na utusikie!
Unajua uchanganyaji wa madaw lazima uendane na lugha za kimombo vinginevyo unawzea kusababisha sumu...... sasa hiki kiinglishi mnachokiweka hapa bado hakijafika kwenye silabasi zetu....Tuoneeni huruma watu wa madawa....
Fainest Utuhurumie, keren Hapuch Utusikie. Fellow tablet kama hatujasikilizwa tuhamie Tripoli kwa waasi.... Maandamano ya chadema hayatatusaidia katika kudai haki yetu ya kukienzi kilugha chetu cha kinyerere.