afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,152
- 9,268
Source pliz
The Finest
Source pliz
Somehow vipi tenaSome how!!!!
Hili sredi limenishinda kuchangia kwa sababu kinglish is not pandaring. Hebu niitien Kaizer aje anisaidie kuchangia,... Source? ODM
Hahaha! Lawyer umemuacha wapi i was about to sue someone lol!The Finest
Kaizer sio lazima kiinglish banahivi hommie kumbe masharti hapa ni kuchangia kwa ki english? daaamn
Halafu wewe TF sijui nisemeje. Ngoja nikapate castle lite mbili halafu nitakudefine na kukupa jina lakoHahaha! Lawyer umemuacha wapi i was about to sue someone lol!
Hahaha! Lawyer umemuacha wapi i was about to sue someone lol!
Hahaha! Mimi natafuta supu lol!Halafu wewe TF sijui nisemeje. Ngoja nikapate castle lite mbili halafu nitakudefine na kukupa jina lako
Ungejua Afrodenz muda huu amekaa na lawywer wake sijui ungesemaje. Ngoja nimtetee TF japo kimeo
Hahaha! Mimi natafuta supu lol!
Hiyo supu haina tena ladha ishawekwa maji kibao na wanakudanganya na pilipili na ndimu ionekane mpyaHahaha! Mimi natafuta supu lol!
Mi si natafuta kazi bana bora hata huyu kimeo TF kanipa kazi naweza pata hata mia kwakeduhhhh
haya bana naona unajipa kazi , kila lakheri....
Mi si natafuta kazi bana bora hata huyu kimeo TF kanipa kazi naweza pata hata mia kwake
Nimeona aise. Duh jamaa mchungu mbaya.Tf mchungu wa pesa zake....
anagawanya shilingi ishirini na tano mara mbili..(ndo mshahara wako)
Anapenda sana kupindisha sheria yule ndio maana simuwezi lolmmmhhh
mweee lawyer wangu humuwezi .....jaribu..
Dah!!! Aisee ngoja nijaribu kupika nyumbani leo wewe si umegomannayo ya makongoro....
Hahahaha!! Fitina hizo Rocky umeanzaHiyo supu haina tena ladha ishawekwa maji kibao na wanakudanganya na pilipili na ndimu ionekane mpya
Kazi tapata ila ipo ya kufanya masaa 15Mi si natafuta kazi bana bora hata huyu kimeo TF kanipa kazi naweza pata hata mia kwake
Duh!!! Nimekoma umeniumbua hadharani lol!!!!Tf mchungu wa pesa zake....
anagawanya shilingi ishirini na tano mara mbili..(ndo mshahara wako)
Kwa ubahili wako sitaki tena hiyo kazi bora nikalime nyanya kijijini kwangu huku Hungumalwa tuu lol
Hahaha!!! Wee kwa fitina sikuwezi hivi yule mshikaji alitokomea kule alikoenda hakurudi?? Sisi vijana banaa lol!!!Tf si ulikuta supu yenyewe ina mende ndani si umeamini kuwa nilikuwa nasema ukweli wanaongeza maji na ndimu na pilipili ionekane mpya