My Open Letter to Eric Shigongo

My Open Letter to Eric Shigongo

Ndg nmesoma uzi wako kwa Eric Shigongo nikabaki nashangaa tu!!

Kwahyo EU wataondoa haya uliyoyaropoka???? Yani wakusaidie ww mtanzania kwa kipi???? Hivi unajua the northers agendas in African countries??? Je unayoyasema sjui Mawazo kauawa na watu wanaozania kuwa CCM Kwahyo kwaumri wako hata hao Eu hakuna mwanasiasa ama mtu wa kawaida anayeuawa kama ya Mawazo????? Kwamba Africa nzima hayapo haya ila TZ pekee?????? Unajielewa kweli au unaropoka tu????

Au unasema wapinzani wanakandamizwa hv ww hebu niambie hali ya upinzani ilivokuwa hapo nyuma kabla ya Magufuli???

Unataka kusema wakat huo wapinzani walifanya siasa kwa uhuru???? Umesahau ya DKT Slaa???? Lipumba??? Acha unafiki ndg usizani sie hatujui


Unasema tangu Magufuli aingie madarakni hali imekuwa ngmu unachekesha saaaa!!! Kwmba Magufuli kaingia madarakani watu hawafanyi biashara,, watu hawalimi kwa sababu kuna vita nchini??? Kwamba watu hawatembeleani koz hqki hamna!!! Watu hawqfungi ndoa koz no haki??? Kwmba watoto hawaendi shule koz no haki???? Kwqmba wanafunzi vyuo vikuu vimefungwa kwqmba no Haki na nchi haikaliki???? Watalii hawaingiii??no wageni koz tz haikaliki?????

Acha kumnafikia Eric katoa maoni yake binafs kama hujayapemda kaa kmya acha kupotosha watu tz bado iko moja na imeshkamana haijalishi kelel zenu za kinafiki wananchi wanajua tukp pamoja na Magufuli hadi mwisho wa Safari????

Kwanza umeshndwa kusema namna mnavyotumika na mabeberu unaegemea kutoa mmbo ya ajabu!!!

Yaaani unataka kusema watu waache kufanya kazi eti kisa hakuna demokrsasia ya mbowe kusimama jukwaani kuitukana serikali eti???? Kwmba mtu hana ajira,,, aache kwenda kulima,,, mtoto asiende Shule kisa wapinzani hawasimami majukwaani kuitukana serikali?????

Na kama ndo hvyo kwann EU hawakutoa matqmko juu ya kinachofanywa na Trump kuhusu kuwafukuza CNN kwenye mikutano yake mbona hujaongea hilo???? Mbona ww unatia soni hivyo?????

Rais wangu Baba yetu sisi tuko pamoja mungu atakupigania achana na wanafiki hawa wachache mungu yu pamoja nawe najua kazi uliyonayo Baba ila kamwe naomba usikate tamaa baba simama imara mungu atakulinda!!!

VivaShigongovivamagufulivivatanzania
Nafikiri ww ni Bendera fata upepo, wewe watu kupotea kwako kawaida, kupigwa risasi kawaida, maiti kukutwa kwenye viroba na kuzikwa bila kupima DNA wakati watu wamepotea kwako ni kawaida, vyombo Vya hbr kuzuiwa kuzungumzia uchaguzi na matumizi mabaya ya uchaguzi kwako kawaida, kuzuia mikutano ya vyama vya siasa kinyume na katiba kwako kawaida, haki ya binti kuendelea na shule kisa ujauzito kwako kawaida,viongozi wa upinzani kubambikizwa kesi za uchochezi kwako kawaida, Akili ya kuambiwa changanya na zako, Mikataba yote ya hovyo bila shaka ya ushoga alisaini upinzani? 7bu tunawasiwasi maana alipotangaza makonda vita dhidi ya ushoga serikali ilimkana,, hapo huitaji degree kujua km walisaini ushoga au lah,, Yapo mambo mazuri anafanya, lkn haki za binadamu hajali hilo ndio tatizo kubwa, Ndg yangu acha ushabiki, na akili za kuku, kwa jinsi ulivyosapoti ujinga wa shigongo, nimekutoa maana,
 
Good analysis!!!
Eti good analysis!
Hapa duniani kosa vyote,lakini usikose akili,ukikosa akili hata kinyesi chako unaweza kukila na ukajenga hoja kutetea uchizi wako,kama ulivyokomaa humu tangu asubuhi kumtetea Magufuli,mtu ambaye uwezo wake wa leadership ni zero kabisa,EU isn't a single country, it's a Union of the great nations of Europe,nyie watu ni wapuuzi hasa, vichwa vyenu vimejaa funza,na mnastahili kunyongwa kwa kuandaa kuliua taifa kwa sababu ya ukilaza wa mtu mmoja asiye na sifa ya urais,China,The US,and Canada bow for EU and one another, ije kuwa nyie mbu?msio na mbele wala nyuma ?Duniani tunaishi kwa kutegemeana,hakuna aliyejiweza kwa yote,mlivyo wajinga mnawalaghai wajinga wenzenu eti siye ni sovereign state, ulaya isitutishe,meantime mnatumia ndege zao,madawa yao,pesa zao,silaha zao na nk,what a grotesque mind? Ni bora ukae kimya kuliko kuharisha humu ujinga wako.
 
Swala ni kuwafungua ufaham mliofungwa kuwa shida sio democracy shida ni MASLAI YAO YAMEBANWA.
Huna unalojua dogo,inafikia hatua nawaonea huruma sana,mkila mkashiba,mkanywa bia,mkavaa mkapendeza,mkaweka pocket money mfukoni ,tayari mnaona nchi nzuri sana,siku inakuja mtaomboleza
 
Ndugu yangu Eric,imefika wakati sasa nikueleze wazi kwamba wewe ni mnafiki na huna hofu ya Mungu bali una hofu ya serikali kwa sababu ya kuogopa maslahi yako kuguswa.

Taifa lipo pabaya tangu rais Magufuli aingie madarakani 2015.

Magufuli ni rais wetu sote,haitakiwi tumwogope bali tumwambie ukweli halisi bila kujali madhira yanayotukuta.

Lakini wewe unataka kutufanya siye hatuipendi nchi yetu ila wewe unaipenda sana.

Umeandika waraka wa hovyo mno kupinga maazimio ya EU juu Tanzania, kwamba EU inatuonea kwa sababu eti Rais anatetea raslimali Kama dhahabu baada ya kuzuia makinikia.
Waraka wako umejaa vichekesho kweli,ni waraka wa mtu muoga anayejipendekeza kwa serikali.

Tujadili kuhusu Raslimali,Rais hapigani vita ya raslimali bali anapigana kufuta amani ya nchi ambayo Mungu ametupatia kwa miaka mingi,anavunja katiba aliyoapa kuilinda kwa kunyanyasa wapinzani,mikutano ya kisiasa ipo kwa mujibu wa sheria na shughuli zote za kidemokrasia,lakini yeye anawaona wapinzani ni maadui wakubwa wa nchi.

1. Alphonce Mawazo aliuawa na watu wanaodhaniwa kuwa wana ccm hadi Leo hakuna aliyekamatwa kwa matukio hayo.

2. Ben Saanane alitekwa na kupotezwa na watu wanaodhaniwa TISS,lakini hadi Leo jalada la kesi yake limefungwa na Police

3. Tundu Lissu alipigwa risasi

4. Kanguye wa Kigoma alitekwa na kupotezwa

5. Azori Gwanda alitekwa na kupotezwa

6. Kijana Eric wa Sinza alitekwa na kupotezwa

7. Daniel wa kinondoni alitekwa na kuuawa

8. Makumi ya maiti zikiwa zimefungwa kwenye viroba zimetupwa baharini

9. Akwilina alipigwa risasi na Police kesi kapewa Mbowe

Yote hayo kwako ni sifuri halafu unajiita mcha Mungu, are you serious? Hujawahi kuandika waraka wowote kuumizwa na hayo matukio na wala kuitaka serikali iwajibike.

Umekuja kuibuka unaandika waraka kusema upo pamoja na Rais, unadhani ni nani yupo kinyume na Rais? Sote tupo pamoja naye lakini hili la serikali kukiuka haki za binadamu hatupo naye,na ndo msingi wa maazimio ya EU.

Suala la ushoga, lisiwe kiki, EU haijawahi kuipangia nchi yoyote mambo yake wala kuilazimisha ikubali ushoga.

Inachopinga EU ni tabia ya serikali ya awamu ya tano kutenda ukatili dhidi ya watu wake.

Hii nchi ni yetu sote, unadhani siye tunapenda iharibiwe?

Kwanini EU ionekane mbaya Leo hii na siyo awamu zingine zote? ina maana marais wengine walikuwa hawafai?

Yaani Dunia itazame tu unyama ukifanyika eti wasiseme kwa sababu we're the sovereign state, being a sovereign state doesn't mean you're free to practise inhumanity,tusijifiche kwenye kichaka cha taifa huru kutenda unyama.

Kama kweli una uhakika na waraka wako, mwambie rais pia azuie gesi isiende China, maana gesi ina thamani kuliko dhahabu, acha kujipendekeza simamia ukweli, mwogope Mungu na siyo binadamu, Duniani tunapita tu, our permanent shelters are in heaven.
.
tapatalk_1544903719371.jpeg
 
Ndugu yangu Eric,imefika wakati sasa nikueleze wazi kwamba wewe ni mnafiki na huna hofu ya Mungu bali una hofu ya serikali kwa sababu ya kuogopa maslahi yako kuguswa.

Taifa lipo pabaya tangu rais Magufuli aingie madarakani 2015.

Magufuli ni rais wetu sote,haitakiwi tumwogope bali tumwambie ukweli halisi bila kujali madhira yanayotukuta.

Lakini wewe unataka kutufanya siye hatuipendi nchi yetu ila wewe unaipenda sana.

Umeandika waraka wa hovyo mno kupinga maazimio ya EU juu Tanzania, kwamba EU inatuonea kwa sababu eti Rais anatetea raslimali Kama dhahabu baada ya kuzuia makinikia.
Waraka wako umejaa vichekesho kweli,ni waraka wa mtu muoga anayejipendekeza kwa serikali.

Tujadili kuhusu Raslimali,Rais hapigani vita ya raslimali bali anapigana kufuta amani ya nchi ambayo Mungu ametupatia kwa miaka mingi,anavunja katiba aliyoapa kuilinda kwa kunyanyasa wapinzani,mikutano ya kisiasa ipo kwa mujibu wa sheria na shughuli zote za kidemokrasia,lakini yeye anawaona wapinzani ni maadui wakubwa wa nchi.

1. Alphonce Mawazo aliuawa na watu wanaodhaniwa kuwa wana ccm hadi Leo hakuna aliyekamatwa kwa matukio hayo.

2. Ben Saanane alitekwa na kupotezwa na watu wanaodhaniwa TISS,lakini hadi Leo jalada la kesi yake limefungwa na Police

3. Tundu Lissu alipigwa risasi

4. Kanguye wa Kigoma alitekwa na kupotezwa

5. Azori Gwanda alitekwa na kupotezwa

6. Kijana Eric wa Sinza alitekwa na kupotezwa

7. Daniel wa kinondoni alitekwa na kuuawa

8. Makumi ya maiti zikiwa zimefungwa kwenye viroba zimetupwa baharini

9. Akwilina alipigwa risasi na Police kesi kapewa Mbowe

Yote hayo kwako ni sifuri halafu unajiita mcha Mungu, are you serious? Hujawahi kuandika waraka wowote kuumizwa na hayo matukio na wala kuitaka serikali iwajibike.

Umekuja kuibuka unaandika waraka kusema upo pamoja na Rais, unadhani ni nani yupo kinyume na Rais? Sote tupo pamoja naye lakini hili la serikali kukiuka haki za binadamu hatupo naye,na ndo msingi wa maazimio ya EU.

Suala la ushoga, lisiwe kiki, EU haijawahi kuipangia nchi yoyote mambo yake wala kuilazimisha ikubali ushoga.

Inachopinga EU ni tabia ya serikali ya awamu ya tano kutenda ukatili dhidi ya watu wake.

Hii nchi ni yetu sote, unadhani siye tunapenda iharibiwe?

Kwanini EU ionekane mbaya Leo hii na siyo awamu zingine zote? ina maana marais wengine walikuwa hawafai?

Yaani Dunia itazame tu unyama ukifanyika eti wasiseme kwa sababu we're the sovereign state, being a sovereign state doesn't mean you're free to practise inhumanity,tusijifiche kwenye kichaka cha taifa huru kutenda unyama.

Kama kweli una uhakika na waraka wako, mwambie rais pia azuie gesi isiende China, maana gesi ina thamani kuliko dhahabu, acha kujipendekeza simamia ukweli, mwogope Mungu na siyo binadamu, Duniani tunapita tu, our permanent shelters are in heaven.
Ngoja waje wale wanaofikiria kwa kutumia tumbo
 
Nafikiri ww ni Bendera fata upepo, wewe watu kupotea kwako kawaida, kupigwa risasi kawaida, maiti kukutwa kwenye viroba na kuzikwa bila kupima DNA wakati watu wamepotea kwako ni kawaida, vyombo Vya hbr kuzuiwa kuzungumzia uchaguzi na matumizi mabaya ya uchaguzi kwako kawaida, kuzuia mikutano ya vyama vya siasa kinyume na katiba kwako kawaida, haki ya binti kuendelea na shule kisa ujauzito kwako kawaida,viongozi wa upinzani kubambikizwa kesi za uchochezi kwako kawaida, Akili ya kuambiwa changanya na zako, Mikataba yote ya hovyo bila shaka ya ushoga alisaini upinzani? 7bu tunawasiwasi maana alipotangaza makonda vita dhidi ya ushoga serikali ilimkana,, hapo huitaji degree kujua km walisaini ushoga au lah,, Yapo mambo mazuri anafanya, lkn haki za binadamu hajali hilo ndio tatizo kubwa, Ndg yangu acha ushabiki, na akili za kuku, kwa jinsi ulivyosapoti ujinga wa shigongo, nimekutoa maana,
Nenda mahakamani ndg naona una mengi
 
jamaa kaandika waraka wa kishoga sana

Hadi mwanangu swalehe amemshangaa
 
Ndg nmesoma uzi wako kwa Eric Shigongo nikabaki nashangaa tu!!

Kwahyo EU wataondoa haya uliyoyaropoka???? Yani wakusaidie ww mtanzania kwa kipi???? Hivi unajua the northers agendas in African countries??? Je unayoyasema sjui Mawazo kauawa na watu wanaozania kuwa CCM Kwahyo kwaumri wako hata hao Eu hakuna mwanasiasa ama mtu wa kawaida anayeuawa kama ya Mawazo????? Kwamba Africa nzima hayapo haya ila TZ pekee?????? Unajielewa kweli au unaropoka tu????

Au unasema wapinzani wanakandamizwa hv ww hebu niambie hali ya upinzani ilivokuwa hapo nyuma kabla ya Magufuli???

Unataka kusema wakat huo wapinzani walifanya siasa kwa uhuru???? Umesahau ya DKT Slaa???? Lipumba??? Acha unafiki ndg usizani sie hatujui


Unasema tangu Magufuli aingie madarakni hali imekuwa ngmu unachekesha saaaa!!! Kwmba Magufuli kaingia madarakani watu hawafanyi biashara,, watu hawalimi kwa sababu kuna vita nchini??? Kwamba watu hawatembeleani koz hqki hamna!!! Watu hawqfungi ndoa koz no haki??? Kwmba watoto hawaendi shule koz no haki???? Kwqmba wanafunzi vyuo vikuu vimefungwa kwqmba no Haki na nchi haikaliki???? Watalii hawaingiii??no wageni koz tz haikaliki?????

Acha kumnafikia Eric katoa maoni yake binafs kama hujayapemda kaa kmya acha kupotosha watu tz bado iko moja na imeshkamana haijalishi kelel zenu za kinafiki wananchi wanajua tukp pamoja na Magufuli hadi mwisho wa Safari????

Kwanza umeshndwa kusema namna mnavyotumika na mabeberu unaegemea kutoa mmbo ya ajabu!!!

Yaaani unataka kusema watu waache kufanya kazi eti kisa hakuna demokrsasia ya mbowe kusimama jukwaani kuitukana serikali eti???? Kwmba mtu hana ajira,,, aache kwenda kulima,,, mtoto asiende Shule kisa wapinzani hawasimami majukwaani kuitukana serikali?????

Na kama ndo hvyo kwann EU hawakutoa matqmko juu ya kinachofanywa na Trump kuhusu kuwafukuza CNN kwenye mikutano yake mbona hujaongea hilo???? Mbona ww unatia soni hivyo?????

Rais wangu Baba yetu sisi tuko pamoja mungu atakupigania achana na wanafiki hawa wachache mungu yu pamoja nawe najua kazi uliyonayo Baba ila kamwe naomba usikate tamaa baba simama imara mungu atakulinda!!!

VivaShigongovivamagufulivivatanzania
Foolish fool...maelezo marefu ujinga mtupu wa kutetea kitumbua
 
Ndg nmesoma uzi wako kwa Eric Shigongo nikabaki nashangaa tu!!

Kwahyo EU wataondoa haya uliyoyaropoka???? Yani wakusaidie ww mtanzania kwa kipi???? Hivi unajua the northers agendas in African countries??? Je unayoyasema sjui Mawazo kauawa na watu wanaozania kuwa CCM Kwahyo kwaumri wako hata hao Eu hakuna mwanasiasa ama mtu wa kawaida anayeuawa kama ya Mawazo????? Kwamba Africa nzima hayapo haya ila TZ pekee?????? Unajielewa kweli au unaropoka tu????

Au unasema wapinzani wanakandamizwa hv ww hebu niambie hali ya upinzani ilivokuwa hapo nyuma kabla ya Magufuli???

Unataka kusema wakat huo wapinzani walifanya siasa kwa uhuru???? Umesahau ya DKT Slaa???? Lipumba??? Acha unafiki ndg usizani sie hatujui


Unasema tangu Magufuli aingie madarakni hali imekuwa ngmu unachekesha saaaa!!! Kwmba Magufuli kaingia madarakani watu hawafanyi biashara,, watu hawalimi kwa sababu kuna vita nchini??? Kwamba watu hawatembeleani koz hqki hamna!!! Watu hawqfungi ndoa koz no haki??? Kwmba watoto hawaendi shule koz no haki???? Kwqmba wanafunzi vyuo vikuu vimefungwa kwqmba no Haki na nchi haikaliki???? Watalii hawaingiii??no wageni koz tz haikaliki?????

Acha kumnafikia Eric katoa maoni yake binafs kama hujayapemda kaa kmya acha kupotosha watu tz bado iko moja na imeshkamana haijalishi kelel zenu za kinafiki wananchi wanajua tukp pamoja na Magufuli hadi mwisho wa Safari????

Kwanza umeshndwa kusema namna mnavyotumika na mabeberu unaegemea kutoa mmbo ya ajabu!!!

Yaaani unataka kusema watu waache kufanya kazi eti kisa hakuna demokrsasia ya mbowe kusimama jukwaani kuitukana serikali eti???? Kwmba mtu hana ajira,,, aache kwenda kulima,,, mtoto asiende Shule kisa wapinzani hawasimami majukwaani kuitukana serikali?????

Na kama ndo hvyo kwann EU hawakutoa matqmko juu ya kinachofanywa na Trump kuhusu kuwafukuza CNN kwenye mikutano yake mbona hujaongea hilo???? Mbona ww unatia soni hivyo?????

Rais wangu Baba yetu sisi tuko pamoja mungu atakupigania achana na wanafiki hawa wachache mungu yu pamoja nawe najua kazi uliyonayo Baba ila kamwe naomba usikate tamaa baba simama imara mungu atakulinda!!!

VivaShigongovivamagufulivivatanzania
Acha upumbavu wewe mzee
 
Eti good analysis!
Hapa duniani kosa vyote,lakini usikose akili,ukikosa akili hata kinyesi chako unaweza kukila na ukajenga hoja kutetea uchizi wako,kama ulivyokomaa humu tangu asubuhi kumtetea Magufuli,mtu ambaye uwezo wake wa leadership ni zero kabisa,EU isn't a single country, it's a Union of the great nations of Europe,nyie watu ni wapuuzi hasa, vichwa vyenu vimejaa funza,na mnastahili kunyongwa kwa kuandaa kuliua taifa kwa sababu ya ukilaza wa mtu mmoja asiye na sifa ya urais,China,The US,and Canada bow for EU and one another, ije kuwa nyie mbu?msio na mbele wala nyuma ?Duniani tunaishi kwa kutegemeana,hakuna aliyejiweza kwa yote,mlivyo wajinga mnawalaghai wajinga wenzenu eti siye ni sovereign state, ulaya isitutishe,meantime mnatumia ndege zao,madawa yao,pesa zao,silaha zao na nk,what a grotesque mind? Ni bora ukae kimya kuliko kuharisha humu ujinga wako.
Poole sana ndg!!!

Sasa Kati ya watu wenye nchi na wewe unayelalamika kila siku nani mjinga????

Kama hoja zako ni kuntu kwanini huna wafuasi sasa???? Kwann chama chako kisiingie madarakani??? Hapa nani mjinga???

Hv kichaa aje akukute uko unaoga then achukue nguo zako halafu ww uanze kumkimbiza ukiwa uchi nayey akiwa na nguo kichaa na mwehu hapo ni nani?????

Jifunze kuwa mstaarabu kwenye mijadala kama hii utakufa mapema ndg!!!! Kuwa na hekima ili uweze kupunguza uwezekano wa kuwaudhi watu wastaarabu wengne kwenye uzi wako?!!

Pia elewa wapo wanaokuzidi umri hvyo lugha hii syo Sawa ila hasra ztakuja kukuponza siku moja!!!!

Pia nashangaa kumtukana Magufuli kwamba ni dikteta wakat kwa maelezo yako haya ww ni booooonge la dikteta!!!

Wewe ni dikteta mkuuubwa mwache Magufuli apige kazi ndg
 
"There is no free lunch".
Nashangaa wanaopingana na rais wetu na kuunga mkono sela au matamko ya nchi za ulaya EU, sidhani kama hawa wana lengo jema kwa tawala zote zilizopita hapakuwa na kutofautiana je nini tulinufaika nacho toka kwao zaidi ya kuondoka na raslimali zetu? Kutuachia mashimo ya baada ya kuchimba dhahabu zetu, kacha marundo ya mchanga mwadui na kuondoka na almasi zetu? Kuondoka na maliasili zetu na kutuachia neti na kondom,.
To be honest watanzania inabidi tuaimame na rais wetu na tuwe tayari kwa lolote hapo ndipo tutapata economic freedom. In economic there ia no free lunch, we must be lead to pay for all bills.
 
Poole sana ndg!!!

Sasa Kati ya watu wenye nchi na wewe unayelalamika kila siku nani mjinga????

Kama hoja zako ni kuntu kwanini huna wafuasi sasa???? Kwann chama chako kisiingie madarakani??? Hapa nani mjinga???

Hv kichaa aje akukute uko unaoga then achukue nguo zako halafu ww uanze kumkimbiza ukiwa uchi nayey akiwa na nguo kichaa na mwehu hapo ni nani?????

Jifunze kuwa mstaarabu kwenye mijadala kama hii utakufa mapema ndg!!!! Kuwa na hekima ili uweze kupunguza uwezekano wa kuwaudhi watu wastaarabu wengne kwenye uzi wako?!!

Pia elewa wapo wanaokuzidi umri hvyo lugha hii syo Sawa ila hasra ztakuja kukuponza siku moja!!!!

Pia nashangaa kumtukana Magufuli kwamba ni dikteta wakat kwa maelezo yako haya ww ni booooonge la dikteta!!!

Wewe ni dikteta mkuuubwa mwache Magufuli apige kazi ndg
Stop advertising your foolishness
 
hivi ujinga huwa ni mazingira ama wa kurithi ...

kwa kua sehemu nyingine mauaji yanafanyika na Tz yakifanyika basi ni sawa

mbona wengine wanaomba waombewe kwa nini tusiwaombee kifo kwa kuwa sehemu nyingine pia wanakufa

acha ujinga, ushoga ni mbaya na hatuungi mkono ila maazimio mengine yote tunayaunga mkono.
Huyu jamaa Lucas philipo kanikera sana haf bado anajiita mwanaume
 
Poole sana ndg!!!

Sasa Kati ya watu wenye nchi na wewe unayelalamika kila siku nani mjinga????

Kama hoja zako ni kuntu kwanini huna wafuasi sasa???? Kwann chama chako kisiingie madarakani??? Hapa nani mjinga???

Hv kichaa aje akukute uko unaoga then achukue nguo zako halafu ww uanze kumkimbiza ukiwa uchi nayey akiwa na nguo kichaa na mwehu hapo ni nani?????

Kifunze kuwa mstaarabu kwenye mijadala kama hii utakufa mapema ndg!!!! Kuwa na hekima ili uweze kupunguza uwezekano wa kuwaudhi watu wastaarabu wengne kwenye uzi wako?!!

Pia elewa wapo wanaokuzidi umri hvyo lugha hii syo Sawa ila hasra ztakuja kukuponza siku moja!!!!

Pia nashangaa kumtukana Magufuli kwamba ni dikteta wakat kwa maelezo yako haya ww ni booooonge la dikteta!!!

Wewe ni dikteta mkuuubwa mwache Magufuli apige kazi ndg
Maelezo yako hayafuti uhalisia kuwa wewe huna akili,umri wako haunihusu,mwombe Mungu akupe hekima kama mfalme Suleiman, Magufuli anapiga kazi ya kuvuruga uchumi wa nchi na kuua wote wanaompinga,na wewe juha muuaji una tetea.
Amefikia hatua ya kuuza nchi kwa Rwanda na kupewa ulinzi na Rwanda, sasa hivi kagame ana m remote atakavyo,na kwa sababu huna akili usiyefikiria kesho yako ndo maana kinyesi unaita keki.
 
Back
Top Bottom