Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,034
- 2,656
Niwie radhi kwa ujinga wangu pia nkupongeze kwa uwereve wako wa kuona mnagombana na familia yako unamchukua ex WA mke / Mme wako aje akushauri matatzo yako!hivi ujinga huwa ni mazingira ama wa kurithi ...
kwa kua sehemu nyingine mauaji yanafanyika na Tz yakifanyika basi ni sawa
mbona wengine wanaomba waombewe kwa nini tusiwaombee kifo kwa kuwa sehemu nyingine pia wanakufa
acha ujinga, ushoga ni mbaya na hatuungi mkono ila maazimio mengine yote tunayaunga mkono.