Kwenye hizi zote sidhani kama Start TV inampinzani, hasa kipindi chao kile cha asubuhi, msikilizaji na mtazamaji huwa wanaruhusiwa kupiga simu, tena line yao haina jam kama ITV, mkuu jaribu kufuatilia hasa Jumamosi wakati wanachambua magazeti, kuanzia saa 1:30-9:00 hakika roho yako hadi itasuhuzika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.