Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
wakuu...
first of all ngoja niweke mambo uwazi zaidi ili m-weigh in hii ishu kwa uzuri..ni mimi ndo nilimtendea ubaya kwa ku-dump,thinking the "grass is greener on the otha side", ofcourse ukichangia na utoto wa akili basi nikajua demu analeta za kuleta.
nikaanza kuwa na ishu nyingine,my ex found out and she was willimg to work things through but mimi kijogoo nikampiga chini for good.
how wrong was i to think the grass is greener.....nimezunguka na kuzunguka,and now i know for sure she was ONE OF A KIND!!!!!!ALINIPENDA FROM HER HEART AND I LET HER GO,AND NOW IM IN PAIN UNIMAGINABLE...
WILL SHE FORGIVE ME AFTA THIS LONG? i love her na i miss her daily
...typical! dah, bro hapo kazi ngumu unayo... unatarajia yeye aokote every single piece of broken glasses (which symbolizes BROKEN HEART) kisha aziunge unge tena mpaka kila single piece ya glass ikae sehemu yake,... mnh... bado hiyo chupa/glass itakuwa ina nyufa nyingi kadhaa ambazo ni wewe itakuwa jukumu lako ku handle with care!
Kwakweli umemtenda vibaya sana Bro, duh!, inasikitisha, maana unasema ulim dump, akafanya jitihada mrudiane, uka cheat, kisha uka m dump tena...after 4YEARS!!! ndio unakuja kubaini you were wrong?! Sijui...
Ninaloweza kukushauri sasa ni KUMUOMBA MSAMAHA KWANZA kwa yote yalotokea, mueleza ukweli kuhusu feelings zako kwake,... then mpe yeye uamuzi wa kuamua nini analotaka kuhusu uhusiano wenu. It may take time, kwani tayari Scars ulizomuachia zilishaanza ku heal (labda) na ili kuepusha wewe kumtonesha tena, atataka kukujua tena Upyaaaaaaa....
Speak with her, lakini mpe muda wa kutosha kutoa uamuzi wake, hata akikataa, kumbuka ni haki yake baada ya mateso na machungu makubwa uliyompatia...
Be brave, ndio uanaume huo kunyenyekea na iwapo kweli unaamini ulikosea, anastahiki msamaha wako.