CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
mchome vizuri hiyo sindano.....
We umesahau ile wewe ndiye doctor wangu utakayetibu maradhi yangu ya mapeeenzi njoo unipe raha za dunia mimi sina pa kukimbilia zaidi yako mpeenzi.hebu tulia mtoto baibe Nasty kama ni doctor nakusuburi uje utibu maradhi mwili, naomba usichelewe ninakusubiri wewe hakuna mwingine wee zaidi yako wewe na dawa unipe nafuu japo nipate ujee fanya haraka uje wewe nafsi ipate tulia. chorus. Judgement akajibu doctor nimeshaingia kwenye chumba cha kutibia mbona mmemlaza jamvini mpelekeni kitandani sikai mahala pa kuchoma napajua mie ondoa acha uoga uoga uoga kama sijakuchoma umeshalegea je ni kikuchoma si utazimia ondoa acha uoga uoga uoga baibe nasty anajibu mbona doctor mchokozi wanishikashika kichokozi na hizo zako pozi sijui nitamaliza dozi nahisi kuchanganyikiwa sijui pa kukuanzia nahic umeshanielewa siumwi tena tumbo .nilipoyasikia hayo nikamwacha na doctor wake yaliyoendelea siju vipi mpenzi baibenasty unaendeleaje?doctor judge mgonjwa vipi
my doc leo nimeamka na maumivu ya naniliuuu
my doc leo nimeamka na maumivu ya naniliuuu
heeh! we doctor na mbwembwe zote zile bado anaumwa tena naniliuu mi siagizi kinywaji naenda direct kumchukua mgonjwa hautamkuta tena jamvini utamkuta kitandani na wewe beibenasty toka huko buswelu nikukute buzuruga doctor kasema utamkuta seokotoureThe Katibu! Umenikunaje kunako !
Maeneo yangu yote ya misisimko, yamesisimka !
Nau'dedicate mwimbo huu to my patient beibe nasty.
Also my patient sh's much well already.
Nawe Secretary kuta unaagiza kinywaji.
Mie namalizia shughuli ndogondogo.
My Patient , katika hali inayoonekana leo shughuli itakua pevu, hata mie Doc wako nimeamka na tatizo la naniliuu kama ulivyo wewe leo!
Ndiyo kusema leo tunatibishana, their is no further dialogue so far!
Barter treatment system itahusika tu leo !
Sawasawa ?
No mediation! No reconciliation !
heeh! we doctor na mbwembwe zote zile bado anaumwa tena naniliuu mi siagizi kinywaji naenda direct kumchukua mgonjwa hautamkuta tena jamvini utamkuta kitandani na wewe beibenasty toka huko buswelu nikukute buzuruga doctor kasema utamkuta seokotoure
heeh! we doctor na mbwembwe zote zile bado anaumwa tena naniliuu mi siagizi kinywaji naenda direct kumchukua mgonjwa hautamkuta tena jamvini utamkuta kitandani na wewe beibenasty toka huko buswelu nikukute buzuruga doctor kasema utamkuta seokotoure
The Katibu unadhania mie Dr Judge nna tatizo? Na my patient wangu ndiyo mwenye tatizo, hakubali tiba ya awae yeyote.
We si jaribu kujipendekeza kwake uone kama utasikilizwa!
Nahisi haumjui vema celebrity to be huyu!
Sanasana umenikumbusha ile maneno inasemwa "kwenye ngoma hapakosi watazamaji" nawe nakushukuru kua mtazamaji kiherere, unashangilia sana! Unashabikia pia mdundo wa ngoma.
Nachukua bajaj naja hali yangu tete the secretary
Hee!
Mabwaku!
Mgonjwa! Doc nnajinakshi !
Nnajimisifacamp!
Najiestablish !
Unaniumbua in front of ze pipo laik zis ?
Umeupeleka wapi msimamo wa awali?
Kwamba utadedi na Doc wako!
Mara tena kwa Secretary !
Haya katibiwe .
In bad shape utanionea huruma etii nipo kwa bed
In bad shape utanionea huruma etii nipo kwa bed
Hee!
Mabwaku!
Mgonjwa! Doc nnajinakshi !
Nnajimisifacamp!
Najiestablish !
Unaniumbua in front of ze pipo laik zis ?
Umeupeleka wapi msimamo wa awali?
Kwamba utadedi na Doc wako!
Mara tena kwa Secretary !
Haya katibiwe .
Nani kakudanganya huruma inahusika kunako tiba ?
Hatukufundwa hivyo! Kule ujerumani.
Huruma zikihusika zawezapoteza mgonjwa!
Na kwa vile tulipoteza doz ya dawa, leo nikifika tu nakudunga sindano mbili za harakaharaka, ni mikito tu kwa kwenda mbele.
In bad shape utanionea huruma etii nipo kwa bed
mianaume ndivyo tulivyo (source: Nyani Ngabu)maskini @Husynino alijidai kuondoka akidhani mumewe atabembeleza, kumbe where ndo kwanza kaoa kabisa.
mianaume ndivyo tulivyo (source: Nyani Ngabu)