A. TEAM HAPPINESS
Shoga kalamba dume bila kutarajia! Kuhudumia koote hospital kumezaa matunda, sio wewe mpenz msomaji ukisikia ex anaumwa unaenda kumwombea afe! Akufi na cha moto utakiona! Hehe
Maringo akaanza kuwaza kha!mbona kila nikikata shingo watu wanaolewa sasa nisije funga macho na kufungua kila mtu keshaolewa na kuzaa. Hapa lazima nidai ndoa basi tu niondoe nuksi ngoja msimu wa harusi uishe na mie nianze zangu drama kwa Patric mpaka anioe
Kurudi nyumbani Neema na masoud wakazama chumvini, kila mtu anamnyonya mwenzie basi tu mechi ya BuuuBaaaa! Buuuuubaaa! ( i hope mpenz msomaji unaelewa maana ya Buubaa!)
Kutoka pale watu wazima wapo hoi! Hou bin taaban, Masoud akajiambia kuwa hajafanya makosa kumchumbia Neema.
Neema alajiri akajiiba akasepa, akaenda kuonana na Lawyer amwandikie Divorce kwa mumewake, Lawyear aka draft Divorce kweli mbongo Mbongo tu, akatoka kwa lawyear saa 5 asbh akaenda church, akamkuta Pastor anajianda kwa notes! Kufika akampa divorce! Naomba usaini mahakama itaamua custody ya watoto kama utapinga iyo talaka! Nakupa mimi talaka kwasababu ninekufumania na udhibitisho ninao! Neema akamwambia me naenda kubeba kila kilicho changu, nitakuja baadae baada ya talaka kuchukua wanangu, Pastor akachoka Neema huyoo nduki akaingia kwake kapaki kila kitu kaita taxi wakaingiza mzigo akasepa watoto wapo shule boarding!
Kesho yake ikawa ni j2 harusi ya Joseph na Pendo, Caroline ndio msimamizi kama mtoto, akapata na beibe wa kusimamia nae! Harusi ilifanyika Cresta Golfview! Pastor aliepewa talaka akaja akawafungia, akina Maringo na Suzana wakaplay part yao,wamependeza sio kitoto! Bank Manager anamshangaa Suzana alivyowaka. Patric hakuwepo ila akina Didie na Oga walikuwepo wanamtolea macho Maringo alivyolipuka na lile shepu! Ni sheedah!
Baadae wakaenda kupiga picha wakarudi pale pale kufanya sherehe! Sherehe na wewe mziki kwa saana ratiba chache, zawadi zapokelewa getini, ni keki, msosi, mziki mziki mziki mziki, utambulisho wa wazazi wa Joseph mziki mziki blues kila kitu yani harusi ya mziki tu sio kama harusi zetu za bongo maharusi wanakaa viti vya mbele wakisubiri kusujudiwa kama wafalme, ile haikuwa hivyo ni mziki, bi harusi anacheza na wagen waalikwa, mara baba mkwe mara mama mkwe mara caroline mara maids yani mixer ma flavor faln hivi amazing!
Kungwi akajibwida kucheza na Manoa, Rasheeda anawaangalia tu ndio maana walifumaniwa, Ismail akaenda kumwinua Rasheeda akacheza nae blues, Neema yupo na Masoud wanabluezika, sherehe ilipendeza sana
Baadae maharusi wakafungua wimbo wao wanaoupenda toka kwa tiner turner! Let's stay together, wakaingia wakwe wakaunga na akina Masoud wakaunga na akina Manoa wakaunga basi raha tupu hata Maringo alicheza na Oga sikuhio chezea Patric kujificha wewe?! Ni sheedah!
Baada ya harusi kuisha wakaondoka zao kwenda Honeymoon kila mtu akajikusanya kusepa na chake kasoro Rasheeda na Maringo walipeana lift since hawana mabwana lkn hawakujua kuwa wanashare bwana!
Luwi akafunga safari na Manoa na Rasheeda na Evelyne na Hachicoco mpaka Buki na Faso kutoa mahari, mambo yakaenda vizuri Eve akaona kama ni a dream come true, kha! A side chic kuwa main chic costs alot! Na yeye akajiambia kama i cost alishazilipa, sio bure kujisadaka kwa Mume wa Mtu hujui utaipata linj, akashukuru Mungu kajibu maombi yake, protocals zikafuata wakatema tarehe ta harusi na mahali ambapo wazazi wa eve watafikia
Kandi aneshazoea maisha ya kumhudumia Joe, huduma huduma na wewe na mechi za hapa na pale, siku kaamka na kipanda uso cha nguvu kupelekwa hospital mjamzito wa miezi 2! Tobaaa joe akafurahi finally anaenda kuitwa baba! Akamsahau kabisa Maringo aka concentrate na Kandi na mtoto na wedding yao
Mrembo akiwa idle aka contact michepujo yake yooote! Masoud kamkaukia kamwambia ye ni mume wa mtu hataki kuskia ameshatubu dhambi zake, Patric nae kamtemba sana akawa ana stress kuona shogake anaondoka ikamla sana, wakawa wamekaa na Musa pale wanapiga stori baada ya kazi, wakijiandaa kufunga funga! Musa nae akafunguka jinsi Eve alivyomtema na Mrembo akafunguka jinsi alivyotoswa! Wakaamua waondoke kwenda kupata lager!
Lager lager na wewe gari ya Musa hamna dereva zaidi ya Musa wapo maji kinyama, wakakodi taxi dereva taxi haelewi anawapeleka wapi akasikia tu Mrembo anamwambia nipeleke kwangu akamtajia wakashuka wakalipa wakaingia kwa mrembo, wanaanguka kila mtu anamdaka mwenzake yani taabu tupu! Waka manage kuingia ndani, kufika wakaanguka wote hapo chini kwenye sakafu mwingine katapika mwingine kajikojolea wakalala hapo mpaka asubuhi
Suzana na Bank Manager wako buzy wanavaa nguo wakafunge ndoa, kufika church wedding ya watu 15, akina Oga walikuwepo, akina Maringo ndo usiseme, Maringo kamganda Patric mpaka akamsindikiza, akina Mrembo na Musa wamo, Kandi na Joe walikuwepo
Joe anashangaa kumbe huyu ndo mwanaume Maringo ameniacha nae! Akachoka mkuu wa mkoa ndio kaniibia Maringo?! Ama kweli akawa anawashangaa wanavyojishaua kwenye mziki
Blues ikafunguliwa Suzana ni mke rasmi wa Bank Manager na mimba yake imeanza kuchomoza kimtindo kwasababu ya nguo alioivaa! Kila mtu na bwana wake kasoro Mrembo na Musa. Wakaona isiwe tabu ngoja tuinuke tuchezege, wakawa wanacheza wenzao wanawaangalia! Mh new couple in town kumbe hamna kitu!
Oga anambashia Maringo kumbe ndo huyu fala kaniibia Maringo, kha! Akawa anajilia tu kwa macho! Hii mbona kali Maringo nimempenda Bure kafuata Pesa?! Akawa anameza machungu huku anapata wine
Harusi ikaisha kila mtu akaondoka na wake Musa akaondoka na Mrembo, alipomshusha Mrembo, Mrembo na minyege yake akamkaribisha Musa ndani, wote team abandoned! Kufika Musa akamrukia mrembo, kwichi kwichi kwichi kwichi! Mpaka asubuhi, all night long wanafanya break nusu saa wanaendelea, uzuri kesho yake ilikuwa j2 so hakuna kazi!
Maringo na Patric wakarudi kwa Maringo, njia nzima Maringo amekuwa turn off anadai nayeye ndoa,
Maringo: si umeshakuwa bachelor now hakuna anaetuzuia kuoana tuoane basi na mimi nahitaji ndoa! Patric akachoka kwanza hajapona vidonda vya kwenye ndoa yale iliopita tena aje aoe Gold Digger kama Maringo si atafilisika mpaka aombe poo?!
Maringo na maombi yake ya ndoa ikamfanya Patric apaki ndani ya hoteli moja karibu akamshusha Maringo akamlaza juu ya gari, akampiga pumbu wee Maringo haelewi kuna nin, alidhani akimaliza hapo atapewa pete kumbe hola, mechi imeisha wakaingia kwenye gari Patric anamwambia hiyo ndio ndoa yake cha ziada kwa sasa sijajipanga! Maringo na ile mechi ikayeyuka mwilini akajaa uchungu akaviiimba wakafika home Maringo akalala room kwake, Patric akalala guest room chezea m zambia wewe?!
Selina wako vizuri na Drogba wake, Drogba akasafiri kwenda kwao Nigeria akamuacha Selina mwenyewe nyumbani, Oga na miupwiru ya kutoswa na Maringo akaenda kwa Selina kudai chochote kitu, ufunguo anao maana Drigba hakubadilisha kitasa, akaingia moja kwa moja chumbani akamkuta Selina amelala, akaanza kumfukunyua, fukunyu na wewe selina ana defend, staki staki, ila mwanaume ni mwanaume akamshinda nguvu akaanza kumla juu anaelekea chini, Selina akaona isiwe shida akamsukuma Oga akaanguka chini ya kitanda, akawa anashuka ili akimbie nje, Oga akamkamata Mguu, njoo hapa we malaya mkubwa, Selina anajinasua kwa oga atoke nje! Oga kamkamata akawa sasa anavua suruali amwingie, selina kampa teke la uso akaanguka, selina akaamka haraka haraka anakimbilia nje anapiga makelele majirani nisaidie nakufaa, amefika tu mlangoni akafungua akateleza chini nje ya mlango kumbe Oga katapika matapishi yake pale, majirani wakaskia wakawa wanakuja, kuja wanamkuta selina ameanguka chini damu zinamtoka kwenye kichwa na sehemu za siri kuingia ndani wanamkuta Oga nae kaanguka ametapika pombe wakawawahisha hospital,
Asubuhi Jirani anamwuliza docta niaje hapa, akaulizwa we nani akadanganya me jirani nimeachiwa huyu dada nimwangalie
Dokta: Oga hajambo hajaumia sana nadhani alilewa tu ila pombe ndio zinatoka
Ila selina anepoteza damu nyingi sana sehemu za siri na mtoto aliekuwa nae amekufa, alikuwa na mimba ya miezi 2, ila Selina tupo vizuri ingawa kichwa chake bado tunasubiri tuone maana hata kichwani nako alipoteza damu!
Jirani akachoka na kuchanganyikiwa akawa hajui anampataje mumewe maana simu yake haipatikani! Akaamua kwenda kumpiga picha Selina akaweka facebook yake akamtag mumewe kuwa Selina is Sick Help wanted! Call me akaweka no yake
ITAENDELEA KESHO SAA 5 ASUBUH