jamani ukiwa na mama kama wa maringo ni sheeeeda
bora hata ya mama yake pendo, si kwa rasheeda mmmmh
awa wamama waliruka stage sio bure awa.
we bi mkora its 17:15hrs Money Penny Heheheh
Nimekupenda Bure best!Watu mnajua kuita tu, ulizia ana bundle?
Hii hatari zaidi ya salama,familia yote ipo town,mbaya zaidi wote wazee wa kutembeza papuchi na dudu,mchezo ndo kwanza unaanza,big up penny
hahahaaaa majibu ya rasheeda kwa mtalaka wake manoa ni sheeeda,
mwanamke uyu sijapata kuona, eti kama wewe ni mwanaume panga nyumba hahahaaa ka namuona vile anavomshushua manoa jamani na ile hali yake ya ukijijini
niko on nasubiriNi sheedah!