My cup runeth over ~ Na Kikombe changu kinafurika

My cup runeth over ~ Na Kikombe changu kinafurika

Duh, afadhali maana nilikuwa nafikiria kuja kugonganisha magari akiwa ameshayaendesha yote, ila now imejulikana afadhali, ila simuamini sana huyu Maringo, anaweza akagawa mzigo pamoja na kujua kuwa Patric anamla maza wake
 
Duh, afadhali maana nilikuwa nafikiria kuja kugonganisha magari akiwa ameshayaendesha yote, ila now imejulikana afadhali, ila simuamini sana huyu Maringo, anaweza akagawa mzigo pamoja na kujua kuwa Patric anamla maza wake

MMmh ngoja tuone
 
Selina akarudi nyumbani akakuta Oga hayupo, kuangalia nyumba vitu hamna, vimebakia vya kwake na makochi na Tv, nguo za Oga hazipo akachoka akampigia simu inaita tuuu hapokei anajiuliza labda kaenda kanisani nini?! Haelewi! Akamwacha kwa muda akaendelea na kazi zake

Maringo akakimbia bafuni, akatapika kweli kweli moaka matapishi yote yameisha! Mama yake nyuma hakuelewa, akamfuta mikono Patric akakimbia bafuni kumcheki Maringo. Mama vp unaumwa au?!
Maringo: hata sijui mama najiskia tu vbaya
Rasheeda: au una mimba mwanangu?!
Maringo: hapana mama juzi nimemaliza period!
Mamake akampa pole akampeleka chumbani kwake, akaenda kuleta dawa za kuzuia kutapika akampa akamlaza. Kurudi kumhudumia Patric anamwambia mwanangu naona ana malaria pole sana huku anafuta yale matapishi
Patric: eh sikujua una mtoto mkubwa! Hongera sana wala usiwe na wasiwasi naelewa tu mpenzi
Rasheeda akamaliza akamletea msosi Patric akala wakahamia chumbani, mechi mechi na wewe Rasheeda ameshasahau kama mwanae yupo anapiga mikelele na Patric wake Maringo hata hakulala akajiambia najuta mie kuja huku.
Asubuhi akaamka akaoga haraka haraka akaandika kinoti akaweka kitandani kwake akawa anatoka huku ananyata, akagongana na Patric yupo mtupu! Tobaaa! Akawa hataki hata kumwangalia, anafunga macho huku anaondoka, Patric mpenz suburi, Maringo akamfanyia sshhh! Itamwamsha mama huku amefunga macho. Akaenda mdogo mdogo akaufikia mlango akaondoka! Patric akacheeka akarudi chumbani kumkuta Rasheeda amelala fofofo akavaa anataka kuondoka Rasheeda akamwuliza unawahi kwa mkeo leo nilidhania hii ni siku yetu! Patric ikabidi arudi kitandani tu! Akampiga mechi ya alfajiri akijua kuwa keshaharibu kwa Maringo basi tena akazidi kukomaa kwa mama mtu Rasheeda.

Maringo akarudi kwake akamkuta Joe anajiandaa kwenda kanisani akamsalimia akaingia kulala. Joe akaja we umetoka wapi alfajiri yote hii
Maringo: nimetoka kwa mama
Joe: kwa mama ndio unarudi asubuhi asubuhi au ushaanza ujinga?!
Maringo: akataja namba za simu za mama yake akamwambia mpigie mwulize
Joe: akapanda hewani simu haipatikani akicheki jina la Radheeda akajua labda kweli akaanza kumpetipeti pale anamwamsha waende church
Maringo akagoma kabisaa! Akazidi kumbembeleza na nini, Maringo anaona hapa naghasiwa akakubali! Wakaingia church one time

Pendo na Joseph na Caroline wakaonekana wapo kanisani kwenye ibada. Caroline amezidisha mapenzi kwa Pendi ikamfanya azidi kujiamini kuwa Jose hana mtu!

Mchungaji: haleluya! Haleluya!
Waumini: amen
Wakaanza kuimba hapo weee mara ibada ya kuabudu hapo weee mara sadaka likaja neno!
Pastor akahubiri neno toka Zaburi 44:5-7
Kwa Nguvu yako twawashinda adui zetu kwa jina lako twawakanyaga wanaotushambulia, mimi siutegemei upinde wangu wala upanga wangu hauwezi kuniokoa. Wewe ndiwe uliyetuokoa na adui zetu uliwavuruga waliotuchukia. Amen. Akaomba pale akaanza kuhubiri weee Mama mchungaji Neema anamkata jicho utadhani hawajalala kitanda kimoja.
Neema: ndio hajalala kwangu jana shenz type na sijui how long will i take this shit! GOD forgive me but nimechoooka napakumbuka Tz sana, natamani ningeolewa na Mtz sasa huyu mshenzi sijui kwanini nilimkubalia, nisingekuja kufanya kazi hii nisingekutana na hili zimwi, mwanaume kimeo sijawahi ona. Embu waangalie wanakwaya na wamama wa wanawake na wazee wa usharika na huyo mke wa mkuu wa mkoa wanavyomshangilia nyau kabisa hawa!
God knows am tired natamani niondoke tu ngoja nitafute mwanaume nihame, watoto wameshakua sasa wote wameoa na kuolewa Mungu nimechoka natafuta furaha yangu sasa wewe tu ndio utakaenihukumu siku 1 huko juu kuwa nilimwaga mboga wakati mwanao anamwaga ugali nimeshindwa ndoa kwakweli!
Mpaka mchungaji anamaliza kuhubiri mama mchungaji hakuna alilodaka anatunga sheria tu kichwani, akakaribisha kuomba pale, akainuka akaomba kifupi tu
Bwana Yesu tunakushukuru kwa Ibada Njema, wabariki watu wako wote wafike salama nyumbani, nabariki ibada hii nikitukuza kazi zako katika jina la Yesu Amen. Watu Amen. Akaondoka moja kwa moja akaenda ofisini hakutaka kumsalimia mtu!

Wakatoka waumini pale wanasalimiana na nini, akina Oga na Drogba na Didie walikuwepo Oga akamwona Maringo akaanza kuonyesha kaka zake yule demu ndo yule! Eh! Wanashangaa mbona yupo na mwanaume mwengine alafu anamawe kuliko Oga tobaa wanamtania braza unaota ndoto za mchana sasa ee aya wee waanmcheka wakaondoka wakamwacha Oga anamvizia Maringo kumsalimia bila mafanikio!

Kurudi nyumbani Maringo na Joe wapo kimya kwenye gari, Joe anamwuliza mpenzi vepe? Akanyamaza. Nimekuudhi nini tena?! Maringo kimya! Joe anazidi kupeti peti njia nzima mpaka wanafika home Maringo kavimba akaingia ndani akaenda kujifungia chumbani! Jose akaja anambembeleza leo una nini au mama yako amekuudhi!? Hakujibu! Nambie mpenzi wangu unanipa wasiwasi
Maringo akamwuliza weekend iliopita ulilala wapi!? Akamjibu nilishinda ofisini nafanya vimeo acha tu! Maringo akatoa simu yake akamsikizisha audio ya akina Kandi na Mrembo wakiwa wanaongea. Joe akawa mdogo kama piriton.
Joe: Ah huyu demu wangu wa zamani bwana ananitakaga tu mpenz me skuwa nae kweli nakwambia niamnini kweli nakwambia nimetoka kanisani sasa hivi wangu niamini plz!
Maringo: Joe unajua kuwa Kandi ana bwana wake wa ki Nigeria?! Nimefuatilia mpaka nimejua! Sasa kalibebe gonjwa ulilete hapa ndani! Na kitendo ulichokifanya na ex wako nimekusamehe, wewe si umemwaga ugali bila idhini yangu, huu uchungu lazima niupeleke kanisani nikautoe la sivyo nitakumaliza hapa hapa hasara mkubwa wewe ( lakn Joe hakuelewa sentensi ya uchungu naupeleka kanisani kuumalizia ina maana gani akapotezea) maringo akalala kitandani Joe akatoka kwenda kukaa sebuleni anawaaza Maringo kajuaje huyu kandi nae mmbea hatari!

Pendo na Joseph wakaenda beach na Caroline. Caroline anacheza na mchanga anajenga vijumba Pendo na Jose wanaongea zao wamekaa kwenye viti, Caroline akaja zake pale akaanza kumpa baba yake ubuyu kuhusu mwl selina! Akamwaga kila kitu na jinsi alivyofekisha kuumwa akalala pale pale kwao. Jose na Pendo wanashangaa enhe ikawaje wakauliza! Ah ndo ivyo asbh nakuta ameshaondoka ila hajaiba kitu baba usiwe na wasiwasi ila najua anakupenda. He likes you soo much namwona anavyokuangalia kwa kukutamani.
Jose: we mtoto unajuaje kuwa mtu ananipenda?!
Caroline: yule hakupendi anakutamani, anaekupenda ni huyu pendo, she looks evil to me so be carefull. Darada twamaliza next week so akimaliza mpe chake mbele yangu au Pendo! Aende zake sio mtu mzuri
Pendo anashangaa katoto ka muaka 15 kanaongeeea kama filimbi akamwambia usiwe na wasiwasi me na baba yako hatuendi popote tupo pamoja! Ka Caroline kaka smile!

Maringo kaamshwa na simu ya Patric. Hakupokea. Akapiga weee baadae Maringo akapokea unasemaje?!
Patric: nataka kukuona mrembo
Maringo: haiwezekani kabisaa uniambie nini?! Nimeshajua upo na mama yangu unataka kula mpaka mbegu!?
Patric: hapana nataka tu kuongea na weee tuelewane
Maringo: sina muda akakata simu
Baaadae simu nyingine ikapigwa na Oga, akamsalimia pale anamwambia nataka kuonana na wewe akiangalia hamwoni Joe akamwuliza wapi?!
Oga: Royal Livingstone hotel
Maringo: akiwa na mauchungu akamwambia sawa twende out for dinner
Akajireeeembuuuuua na kupodooooka! Kapiga trouser basi mshepu hihaaa! Na kitopu kimebaaanaaaa akaondoka na taxi kufika Oga anashangaa dah! Demu kachongwa balaa Oga kumwona kadinda. Akajikausha kikubwa wakakumbatiana pale baadae wakaenda kula wanaongea weee Maringo anauchungu akakumbuka ya mama yake na nini! Akaanza ku smile, anajichekesha baadae akamwambia Oga unakaa wapi!? Oga akamwelekeza akamwambia najua umenitamani tangu siku ya kwanza na hapo ulipo ushasimamisha najua mpaka kufika kwako itakuwa mbali chukua chumba tukamalizane. Oga anashangaa leo Maringo kapatwa na nini?!
Oga akatii amri, kufika chumbani mtoto kutolewa nguo yupo mwake babake! Maringo akamwambia not so far! Akatoa condom vaa hii la sivyo hupati kitu! Oga akakubali shingo upande akavaa. Piga miti kwa sana, Maringo raha mpaka maskioni, ni mdomo na macho vinaongea, pua na maskio vinapumua! Kweli Nigerians wana miti hatarious! Oga na dozi ya kikwao kwao mara mbele mara kati mara anataka kwenda nyuma kazuiwa akarudi kwenye mechi ya mende! Maringo nae noumer! Anayarudi kama stage show wa Mbili ya Beli! Uuuwi Oga akalizwa! Maringo akahakikisha uchungu wote imeisha moyoni akaitumia ile nafasi kama anapigwa dyu dyu na Joe!

Masoud nae bado yupo town kwenye jumba lake zuuuri hakuna anaemjua zaidi ya security na cleaners wakija kusafisha na kulinda Mary akaja amevaa shungi na dera akaingia kwa Masoud usiku wa saa 4, Masoud kumwona akafurahi, kweli mechi za ukubwani hazina shikaaaaamooo mwaaaalim! Moja kwa moja pindi likaanza Mary nae yumo hasira za kwenye Ibada zote kazimalizia kwa Masoud, Masoud nae mtu mzima lakn mtu mzima hovyoo! Anapeleke dyu dyu kama teenager! Mary kuliangalia lile jumba akawa anajiambia nikijitahidi na huyu Masoud naweza acha mume wangu nikaolewa na huyu bwana nikaja ishi humu asijue kuwa Masoud ana mke ana Mrembo na anamkwida Soya kijijini!

Kipofu akaonekana amekaa kijijini na Ismail, wanaongea mambo ya kijiji na nini, Ismail akamwambia sijakuona we ni mwenyeji huku?!
Kipofu: hapana nimekuja wiki hii. Wazazi wangu walikuwa wanaishi huku wakafariki muda sasa ile nyumba nimekuja kukaa mimi
Ismail: akataka kujua hao wazazi ndio akina nani
Kipofu: akamdanganya! Akamtajia watu waliokufa waliteketea na nyumba yao na familia nzima lakini yeye alipona maana siku hiyo hakulala hapo alilala kwa mamake mdogo mjini, kurudi kukawa na msiba
Ismail: ah ni kweli karibu sana sasa mbona skuhizi we u kipofu! Yule alikuwa mzima!
Kipofu: nilipata ajali nikawa sioni,
Ismail akamkaribisha sana akamwambia ikihitaji kitu wewe niambie mimi kama baba yako mzazi nitakusaidia wazazi wako walikuwa ni watu wazuri na wema sana, umekuwa mdada mkubwa sasa unaushi na nani?!
Kipofu: naishi mwenyewe ila wiki ijayo anakuja dada wa kazi kunisaidia
Ismail: hapana lazima ukae hapa kwangu moaka dada atakapokuja huwezi ishi peke yako we ni msichana watakudhuru we kaa hapa hapa!
Kipofu: akakubali,
Ismail akamweleza mkewake Soya kila kitu mkewe akaguna moyoni tu! Mmh! Huyu nae asione skirt jamani lazima azishambulie, akamwambia kipofu mama karibu sana sana hapa ni kwako kama kwa wazazi wako, huku moyoni anamng'ong'a! Kweli wanawake ni noumeer!

Asubuhi Kipofu kaamka kama kawa anapapasa, akamwita mama mwenye nyumba amwonyeshe pa kuoga, Soya akamwonyesha kufika bafuni anamwambia maji haya utaoga na sabuhi papasa hapa na kopo hili hapa uoge me kukuogesha nashindwa we mtu mzima sasa! Huku anamng'ong'a kichwani kwa nyuma na mikono! Akatoka. Alipotoka kipofu akavua miwani yake meusi akatikisa kichwa akajiambia wanawake wengine bwana anadhania me sioni ndio maana ananing'ong'a ila kitaeleweka tu mpaka mwisho! Alawa anaoga pole pole kama haoni kumbe anaona amemaliza akarudi anapapasa anaelekea chumbani kwake

ITAENDELEA SAA 4 USIKU LEO
 
Hii CD ya sasa hivi, Prison break, 24, zitasubiri miaka 1000!
NI MVURUGANO WA KUFA MTU!
MSOMAJI USICHOKE, TWENDE MPAKA MWISHO, UKIFIKA KATIKATI USICHUKIE WALA KUKIMBIA, NDIO MAISHA!



KIJIJINI:

Kashkash letee, natena letee

Kashkashi letee nasema lete,

Leteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Mdundiko ndani ya nyumba watu wanajimwagaje sasa! Kila mtu kwa sehemu yake, kila mtu na mtu wake, wengine wapenzi humo humo wanadandiana, kiruu, mwenyekiti wa kijiji nae yumoo, anayarudi na mke wake, watoto wa shule ndo kabisaa, wengine wanasaidiana kupiga ngoma na madebe, tobaaaa! Ni vurugu, ni mvurugano, ni vumbiii cha! Sio kwa vurumai lile, kila mtu na upande wake, ingekuwa enzi za mziki Darassa angeimba sio Chui sio Simba sio mamba he!

Ng’ombe mzima keshaliwa, mbwa anatafuta mifupa, sio kwa sherehe lile! Cha! Wanakijiji oyooooooooooooooooooooo, wanakijiji vepeeee! Alikosekana mzee wa sengeli tu maana sio kwa mifuraha ile, kijiji kimeshinda, kimeshinda kabisa, na mwenyekiti wa serikali za mtaa alipewa pongezi na mkuu wa mkoa, akatoa ng’ombe wa 3, soda kreti 30, bia kreti 40 na chibuku, wale wanywe wafurahi, sio kwa ushindi ule!

Mke: Nipe talaka yangu nakwambia, nipe!

Mume: Sikupi hata moja!

Mke: Sitaki kuishi na wewe tena nipe nirudi kwetu

Mume: Nishakwambia sikupi we mama kama unataka kwenda kwenu nenda wasalimie salama

Mke: Yani hapa piga ua talaka utatoa nakwambia, usinichezee ivoo, la sivyo nitakuonyesha wewe nitasahau nimezaa watoto 3 na wewe, mwanaume wa namna gani wewe Malaya mkubwa kabisa, hauna hata maana unatembea na kijiji kizima sa ajabu una ukimwi

Mume: kama mimi nina ukimwi hata wewe unao, mwanamke kukitembeza kama kinalika sasa, haujiheshimu hauheshimu ndoa wala nini! Hata kama watoto hawapo uliambia ufungulie jiko hilo?

Mke: wewe ongea wee ukimaliza andika talaka fasta niende kwangu

Mume: uende kwako au uende kwa huyo mwanaume unaemwona wa maana, hivi mama subira una akili kweli wewe?! Ndoa ya miaka 40 unaipiga teke? Mimi niulivyoozeshwa kwenu nilkiambiwa nisitoe talaka, kama unataka kurudi kwenu nenda mwenyewe nitakauja kuongea na kaka zako, kwanza hata wazazi hawapo

Mke: nakupa dk 10 andika talaka naondoka sina raha na wewe tena mshenzi mkubwa!

Mume: akamwangalia tu anamhurumia, akamjibu nakupa talaka kwa shingo upande, nenda kwa huyo wa maana utaja niambia usishangae ukirudi ukakuta chombo kingine

Mke: fanya haraka kumbe ulishapanga nitoke uingize mwengine aya fanya haraka

Mume: kaandika talaka ndani ya dk 15 kampa, nakutakia maisha mema na huyo bwege wako!

Mke kaingia ndani kafunga virago, ndukiiii, akafika mbele anaona mziki wa kijiji, eh! Leo kwani kuna nini jamani?! Kuangalia burudani na nyama zaliwa kila aina, anajiuliza imekuwaje? Amekuwa buzy sana na kazi za home hata yeye na mumewe hawajui? Katika kuangalia angalia anamwona mshefa wake! Tobaaa na huyu yupo huku tena na mwenyekiti wa kijiji, sasa ntaenda wapi maana huu mguu ndio wake,

Akaona bora ajidibe kwenye mziki, ili aonekane, kabla hajaingia mkuu akamuona, akatoka pale alipokuwa amekaa mke mtu akamfuata kwa nyuma akakuta anaingia kwenye gari nay eye akaingia, wakakaaa weeee huko ndani weeee, bila dereva, mkuu akashuka akaenda kuaga kwa mwenyekiti haooo nduki!

KUNGWI!

"Mapenzi ni kama SWIMMING POOLS usijisumbue kujua NANI aliogelea kabla yako! nani mnaogelea naye kwa wakati huo au nani ataoga ukitoka, WEWE ENJOY KUOGELEA TU MAMA, haina kuremba"

Kungwi akaonekana yupo buzy anaitendea kazi hela yake

Maisha yenyewe ya sasa sheedah tupu, we fanya yako,. Zaa watoto walee, ilimradi bwana anasomesha,a analeta msosi home, we una shida gani? Haya mambo ya kaangalia nani kapita, sijui rosa kapitaaaaaaaaaaaaaaaaa, bwashee kapitaaaaaaaaaaaa, maria kapitaaaaaaaaaaaaaa, Nancy kapitaaaaaaaaaaaaaaaaaaa shogangu ndoa haimalizi mwezi hio utarudi kwenu mwenyewe! We fanya yako, afu tabia za watoto wa dot com mnachungulia simu ya mwanaume sijui mnapokea mtakufa asee!

Kungwi kaendelea na yake yale ya ndani mabayo ni PG 18+ kama kawa kama dawa mrembo akaelewa somo, mashangazi wapo nje wanasubiria mwali amalizwe shangazi nae achukue zamu yake!

Kungwi alipotoka simu na yeye, haloo mpenzi za kwako?

Mume: salama za kushinda?

Kungwi: mbaya, nimekumiss kweli hapa nimetoka kwenye somo

Mume: karibu kwangu

Kungwi: mh! Huyo mkeo hayupo kweli?

Mume: nimeshamtalaka leo asubuhi alipoenda sippajui labda kaliwa na simba msituni ila najua mguu ule alikuwa anaenda kwa Yule boya wake anaemwona wa maana, me saivi bachelor mzee!

Njoo baby nikufanye malkia wa nguvu kwenye hekalu langu

Kungwi: nakuja nipe nusu saa!

Kungwi kakata mitaa na yale mavumbi ya kijijini Zambia , kufika kama chiriku, mavumbi mpaka usoni, dah ama kweli, wengine wanavikimbia kumbe wenzao wanavikimbilia kwa miguu. Kufika haangalikiki utadhani alikuwa anacheza mpira wa miguu kwenye michanga, ikabidi Yule mume acheke tu maana sio kwa mwendokasi ule! Ahahahaha, akaingia ndani akatoka na kiti na maji ya kunywa, pole best yangu, kungwi akakaa chini akapewa maji ya kunywa, wakawa wanapiga stori pale na nini, Mume anajieleza ujinga wa mwana mke alieacha ndoa akikimbilia kwa mkuu wa mkoa! Tobaaa kungwi akazidi kutega maskio, stori stori na wewe, kungwi kimyaaa!

Haya karibu nyumba sasa ni yako, Kungwi mh! Akaguna, asante ila me leo sio mkaaji, watoto nimewaacha mwenyewe lazima nirudi kwanza nikaangalia vepee wasije unguza nyumba na hivi kupika hawajui sijui itakuwaje usiku

Mume: wote mje make hapa me kukaa pekeyangu kama jinni hata sipendelei

Kungwi: sawa ngoja nijipange basi,

Mume: ujipange nini? Me ntakusaidia kuhama

Kungwi: sawa ngoja niwapange kisaikolojia watoto alafu tunahamia siku si nyingi, wakakubaliana pale wakaingia ndani! Mziki ukaanza, kungwi tenaaa! Sio wa masihara!


MJINI:

Meneja: Dada karibu

Dada: asante sana

Meneja: interview ikaendelea pale na nini, dada akajibu maswali kwa ufasaha, ikaingia interview ya vitendo! Dada akaipiga vizuri, akaishia kuajiriwa

Meneja: keshoa subuhi saa 3 uje usaini mkataba wa muda alafu uanze kazi

Dada: asante sana akaondoka kwa furaha akimshukuru Mungu!

HR Office:

Kandi: shogangu leo watu mdebwedo, kha! Nyomi kama ile balaa nina njaa hatarious!

Mrembo: yani acha tu hii interview mwendo kasi ajabu, eh shoga umeona msembwende ulee! Kha! Yule lazima ataajiriwa sio kwa yale mavi

Kandi: nimeona shostito! Kha! Yule kaongeza kama Kim Kardashiana au? Maana haipatikani nchi nzima au Yule mbongo nini maana ndo zao kama sio mbongo basi msoweto!

Wote wakaishia kucheka! Haya tutajionea ya ahera maana ya duniani mengi!

Kandi: Yule pale boss lazima atamuajiri na akimwajiri tu anakuwa sakramenti yake, ai jamani! Acha tu wakaendelea zao na kazi kama kawaida!

Musa: Oya niaaaje mwana,

Oga: Poa tu shega, wapi iyo?

Musa: Ah mie nimetoka hapo mjini mara moja boss alinituma, vipi za nyumbani? Selina hajambo?

Oga: Ah Selina bwana anazingua kweli ila basi tu

Musa: Kuna nini tena mwenzangu mapema hii mshaanza kubutuana?

Oga: Ah acha tu, ila kuna kinu kimoja nimekiona mitaa ya kati acha kabisa weka mbali na watoto!

Musa: eeeeh! Wachaa, sasa umefanyaje?

Oga: yani nilipomwona tu nikajaa! Kama simtanki, nilikuwa kwenye gari na dereva nikamwomba asimamishe, nikashuka kumsalimia, kapolee kanaona aibu chenyewe!, nikamwomba namba yake, akanipa nikambipu pale pale, akaisave nikamwambia tutawasiliana, tukasepa me na dereva, njiani

dereva: mdogowangu utakufa na nyota yako ya chipsi mayai, acha kuvamia chura hao, shauriako!

Oga: sawa kaka, ila si unajua vijana na damu kuchemka!

Dereva: najua ila aste aste we si upon a selina naskia mnakaria kuoana

Oga: ah selina Yule acha kabisa, mambo alionifanyia bora nirudi kwetu tu Nigeria, nikaoe kule ila huyu mdoli wa kibantu ni hatari hii itakuwa namba ya Soweto kama sio Tz! Kha!
Wakacheka pale na dereva wakarudi ofisini.

Musa: eh makubwa we Oga embu tulia na selina kwanza huwezi jua awa vyura wapo tu! Huwezi jua chura ya nani ile

Kufika mtaa wa 3, dada wa watu akapigiwa simu,

SIMU: uko wapi?

Dada: nipo mjini nimetoka interview

SIMU: ok pitia hapa ofisini nataka kuonana na wewe

Dada: sawa

SIMU: ikakatwa

Dada akachukua taxi moja mpaka alipoitwa!

Moja mbili tatu…. Enhe! Moja mbili tatu…. Safiii

Moja mbili tatu…. Enhe endelea ivo ivo, na wewe pia mikono ufanye vizuri unakosea kosea, enhe namna hiyo.

Eh nani we dada, vipi mbona haufanyi mazoezi? Haya njoeni huku upeesi, acheni hayo maongezi, wakaja wakawa wanafanya mazoezi,

Safi sana, leo mmenifurahisha sana kuliko siku zote, kesho tunaendelea na zoezi lingine ambalo litatusaidia stejini kwenye kucheza, sawa? Wakaitikia sawa! Haoo wakaondoka!

Mwalimu Selina nahitaji private class naona siwezi master level hii

Selina: sawa hamna shida, ila itabidi unilipe

Mwanafunzi: ngoja basi niongee na baba atakulipa ni siku gani na gani?

Selina: tufanye jumamosi masaa 4

Mwanafunzi: sawa hamna neno!

Karibuni wageni, karibuni sana,

Wageni: asante, huku wanaangalia bidhaa wanazouza

Hii bei gani, wanatajiwa, hii bei gani wanatajiwa, hii bei gani, wanatajiwa!

Basi wakajaribisha pale wakalipia wakaondoka.

Leo mauzo sio mabaya, afadhali maana sasa sijui ningefanyaje!

Mara simu ikapigwa, Pendo uko wapi shogangu

Pendo: nipo hapa kwenye kibanda change, nambie

Selina: ngoja kwanza nakuja hapo hapo nikupe ubuyu!

Pendo: haya karibu

Mkuu wa mkoa nae alionekana yupo na mke mtalaka, wakafika kwenye nyumba nzuuuri ya chini, mke mtalaka akijia kuwa ndio kwa mkuu wa mkoa, kumbe hamna kitu, kapangiwa fasta fasta kuepusha shari! Akamkaribisha pale na begi lake 1, karibu akamwonyesha vyumba vyote 3, na jiko na sebule, akamwambia kwenye fridge kuna kila kitu, wewe tu ujisevie, mimi natoka nitarudi kesho leo sitaweza si unajua nina shughuli za kiofisi?

Nje kuna mlinzi anakuja saa 12 jioni anaondoka saa 1 jioni, hii nyumba ni yako asikusumbue mtu!

Mke mtalaka akafurahi, akamshumu mkuu wa mkoa, mkuu akampa mil 3 akasepa huyoo, mke mtalaka akasema kweli, nilipomuacha Yule mzee sikuwa nimekosea! Vitu kama hivi ningevipata saa ngapi na uzee huu ningekufa nywele ile nyumba ya miti akhaa! Nimeteseka ujanani na uzeeni pia? Akawa anaiangalia ile nyumba anapanga jinsi atakavyoibadilisha kikwake kwake, ah maisha mazuri.

Mchungaji: Karibu, karibu kiti, karibu sana

Muumini: asante baba mchungaji,

Mchungaji: enhe niambie! Kuna shida gani maana ulisikika vibaya kwenye simu kama kuna dharura

Muumini: yani acha tu baba mchungaji, ndoa inasumbua babaa!, yani nimeshamfuma mume mara 5, nab ado mnaniambia kuhusu kusamehe jamani me ntaweza wapi?

Mchungaji: samehe tu mama dunia hii sio yetu na siku tutarejesha mrejesho kwa Mungu

Muumini: jamani yani sasa ndoa ipo kama kiazi mviringi sasa, hata sina raha ipo ipo tu, watoto ndo hao wadogo basi nakaaga tu mwenyewe!

Mchungaji: vumilia mama haya yanapita

Muumini: yani me siwezi kwa sasa itabidi nitafute furaha zangu tu!

Mchungaji: mama vumilia, tafadhali haya yote ni maisha

Muumini: akainuka fyeee akaondoka bila kuaga analia tu

Mchungaji akabakia anatoa macho tu!

ITAENDELEA
Muda ni Mali , utumie kwa makini.[emoji41]
 
JAMANI NIMECHOOOKA HAPA NILIPO SINA NGUVU
NAOMBA NILETE STORI KESHO SAA 4 ASBH ABEG!
SI KWA KUCHOKA HUKU JAMAA
POLENI SANA
 
Niaaaaajeeeèeeeee!

Patric akawa anajianda akwenda ofisini, Rasheeda akamdaka juu kwa juu! Akamfunga kibao kimoja cha fasta fasta Patric hoi! Kichwani anajisemea mwanamle huyu atanifanya nimuoe kabisaa!
Kufika ofisini kazi hazikaliki anamuwaza Maringo na jinsi alivyoharibu! Sijui hiki picha nalichezaje mtoto hasomeki kwa mamake pazuri mtoto nimemkolea kha! Akampigia maringo simu haipatikan akaendelea na kazi

Selina amekaa j2 nzima ndani hajatoka akijua kuwa Oga atarudi kimya akampigia mpenz wake anataka kumwona leo leo, Oga akamwambia aende ofsini kwake lunch time

Kipofu nae kakolea kakomaa hafanyi kazi, anakaa tu uwani analetewa chai wanakunywa na baba mwenye nyumba, anaondolewa vyombo ananawishwa eh Soya akachoka, si bora kipofu angekuwa mwanaume ningembaka, sasa huyu bibie ndio nini kuniibia show yangu! Kwangu lakini show anataka aimiliki! Kha hii shida ngoja mume asepe mke niende kwa Manoa atajiju anakula wapi mchana


Kungwi akampigia simu Masoud, simu imeita sana ikakata akapiga tena akapokea Mary,
Kungwi: habari mume wangu
Mary: kimya akakata
Kungwi akapiga tena akapokea Masoud. Unasemaje mke wangu
Kungwi: mbona nakupigia unapokea hauongei unakata
Masoud: nilikuwa nimeshika mafuta mkononi, simu ikaanguka chini
Kungwi: haya umefikia wapi naskia upo mjini
Masoud: ndio nimepanga hotelini
Kungwi: nakuja mpenzi wangu nielekeze maana nimefikia kwa pendo hapa
Masoud: me naondoka leo jioni lakini na bus la saa 10
Kungwi: doh haya mume wangu mimi bado nipo wiki nzima. Wakaagana hapo kungwi akabaki amekaa tu anachungulia tv mara afanye usafi mara alale akasikia simu inaingia
Haloo nani mwenzangu
Maringo: me maringo mtoto wa Rasheeda
Kungwi: ah mwanangu jaman karibu sana mwanangu
Maringo: mama yamenifika mie mtoto wa mwanamke mwenzio ninalia tu hapa ofisini sina raha nataka kusema na wewe
Kungwi: karibu muda wowote mwanangu tuongee
Maringo: asante nakuja mama saa 8 mchana nipo hapo
Maringo akaenda kwa meneja kuomba ruhusa, hapo saa 6 mchana akamwambia anaumwa
Meneja akamruhusu, akamshauri kuwa mambo ya kazi yasiingiliane na mahusiano. Maringo akamwambia sawa asante
Akapanda taxi mpaka kwa kungwi. Kungwi kamkaribisha, maringo kamletea ma chocolate ma chrisps matundaa, soda kreti 3, juice, Kungwi akaona dainamooo Yeeess! Akaidaka mizigo kama anadaka maembe toka kwenye mti.
Wakakaa pale wanapiga umbea wanajikumbusha ya kale ya kijijini wakafika main body
Maringo: mama mimi nina mpenz wangu tunaishi nae, akatembea na ex wake nikajua me nipo na huyo ex wake ofisini niliskia anaongea kikaniuma sana mpaka naskia kuumwa
Mungu sio shemeji, nikampata kaka m1 pale ofisini mnigeria nikamweka kiporo
Akatokea kaka mwengine ni mkubwa mkubwa serikalini ananitaka nikamwambja nitamfikiria. Juzi nikaenda kwa mama kumkuta ni mpenz wa mama yangu nikachoka na kutapika kabisaa asbh nikaondoka lakini yule bwana anapiga simu hatari bado anataka tuongee nimuelewe sasa me namwelewaje mpenzi wa mama yangu?!
Kungwi akacheeeeka kama jini pori, muhahahahahahahahahahhahaha haloooooo oooo halo ya paka nyauuuuu! Kweli zimwi likujualo halikuli likakwisha! Yani huyu bwana snataka kuwachanganya mama na mwana kweli wanaume hayawani.
Akamwuliza maringo wewe unasemaje kuhusu huyo bonge la bwana?!
Maringo: me hata sijui si unajua kwenye mapenzi me mgeni?!
Kungwi: mama me naomba nikushauri kama mama yako. Fight for your happiness hawa wanaume mamangu ukiwafukuzia ukawafuatilia utakufa wao wanaendelea na maisha cha muhimu tumia kinga mwanangu hakikisha haitoboi wala haikati wakati mna du!
Maringo: akasogeza maskio
Kungwi: akarudia ule wimbo wake wa kila siku, mapenzi ni kama bahari usiangalie nani aliogelea kabla yako, nani anaogelea na nani ataogelea baada yako, wewe ogelea kivyakoooo
Maringo: kimya kama amemwagiwa maji ya baridi wakati wa winter!
Kungwi: Oga vepe?! Mnaendeleaje?!
Maringo: sio mpenz wangu ila jana nilikutana nae akanipoza kwa hasira nilizokuwa nazo za Joe
Kungwi: maskini Maringo yani upo soooo innocent wakati una opportunity kibao Mungu ameminina Mbele yako! We aya tu. Zitumie nafasi izo wewe mwana na hazipo kila siku hakikisha unanunuliwa nyumba. Gari. Una miliki hata mil 50p bank. Una kazi ya maana sio bank teller! Una maduka ya biashara una hisa una safiri ulaya we mama unataka Mumgu akupe nini tenaa?! Changamka kimwili na kiroho!
Maringo: maskio yakafunguka
Kungwi: usimuache hata m1 hapo ikiwezekana ongeza, ongeza kweli kweli hata wazungu we piga si wamekuja wenyewe kwani unewafuata?!
Maringo: sawa mama
Kungwi: akayanena ya kitanda Maringo akajiona bweeeege kweli kweli! Tobaa! Mengine hayajui wala nini akayajulia hapo. Kungwi akamwambia rudi kwa Joe kama kawaida ishi kama hujui kitu! Haujakasirika upo poa omba msamaha ila yako asiyajue!
Maringo: sawa mama akaaga pale anamdondoshea Kungwi dola 200 kungwi haamini! Kha kweli umbo dodo mtoto jojo atajenga ghorofa 3 kwa Manoa kama atafuata ushauri wangu vizuri!
Maringo anatoka kwa kungwi anatembea kwa miguu mara Patric huyoo kamsimamishia gari, mrembo kama wewe kutembea kwenye jua sio sawasawa. Ingia. Maringo akaingia. Akameuliza unaenda kwa mama nin!?
Patric: hapana naenda kula lunch
Maringo: utanishusha kituoni nipande taxi
Patric: kwani unaenda wapi!?
Maringo: narudi nyumbani nimeomba ruhusa naumwa
Patric: basi twende tukale nitakurudisha kwako
Wakaondoka hao mpaka hotelini

Selina na Oga wanaongea lunch time, Selina anajikausha kwani mpenzi wangu umepatwa na nini mpaka umeondoka nyumbani
Oga: selina unatembea na mkuu wa mkoa hata aibu huoni, nikaona nikae pembeni maana sikuhizi maisha yako hata siyaelewi kabisaa!
Selina: jamaan sio kweli hizo rumors ni za uongo kabisa me sipo hivyo kabisaa!
Oga: ndio na ukitaka prove nitakupa, nimekuachia nyumba endelea kukaa me nakaa kwangu na maidha yangu kwanzia leo atakuhudumia huyo bwege wa nchi
Selina akajiliza pale uongo na kweli Oga akainuka akasepa zake

Maringo akamwuliza Patric ana mpango gani na maisha yake. Patric bado kakomaa pale pale me nataka kuwa mpenz wako wa siri sana nitakulea chochote unachotaka nitakupa!
Maringo akamwambia hivi hauoni hata kinyaa unachanganya mama na mwana?!
Patric: na hivi wote mlivyo watamu! Najua nachonga mzinga kwenye hii familia niondoke na asali mizinga 3.
Maringo akacheka tu. Sasa Patric mimi kazi ya bank imenichosha. Unaonaje ukinitaftia kazi UN.
Patric: chochote mama wewe sema tu akatoa business card yake akampa Maringo nitumie resume yako nitaiforward kwa marafiki ukiitwa interview ukapata kazi u resign masaa 24 pale bank
Maringo akashangaa. Akajibu sawa asante, akijua tu huyu bwege muongo! Akaendeleza maombi
Pia si unajua naishi na mpenzi wangu
Patric: hama nitakupangia nyumba posh places!
Maringo: me siwezi afford kulipa posh places!
Patric: nitalipa kila kitu na kesho tuonane saa 8 mchana ndio nina nafasi, ukaziangalie nyumba na gari nikununulie
Maringo akaona kama anaota vile kha! Kweli Maza anafaidi sio kitoto
Akamjibu sawa wakiwa wanarudi Patric akatoa mil 2 akampatia Maringo hii ya matibabu na matumizi mpaka tutakapoonana, akamshusha nje ya nyumba ya Joe saa 9 alasiri kuingia ndani Joe yupo.
Joe: umetoka wapi?!
Maringo: hospital
Joe: huyo aliekuleta nani?!
Maringo: rafkiangu
Joe: skuhizi una marafiki wa kiume?!
Maringo: wewe mbona una marafiki wa kike sijakulaumu!?
Joe: sikuhizi ushakuwa jeuri
Maringo: kama wewe!
Joe: tutaona mwisho wako
Maringo: akaingia chumbani akapaki mizigo yake yooote akatoka, akamwambia nakushukuru kwa wema ulionitendea mlete Kandi akae na wewe akawa anaondoka Joe akamkimbilia usifanye hivyo mpenz wangu! Nakupenda tafadhali rudi
Maringo akajinyofoa kwa Joe nimechoka niache akaondoka akaenda kupanda taxi. Joe anamchungulia dirishani chura wake kaota pembe maana sio kwa mkia ule aliokuwa nao Maringo! Roho ya Joe inamuuma anamkosaje Maringo labda sasa!

Itaendelea saa 11 jioni
 
Haah haah wee penny eti chura huyo anaondoka taratibu,kweli sie wanaume akili zetu fupi kwa hiyo vyote kwa maringo kaona chura tu?
 
Mimi timu Jose na Pendo!!

Kipofu nae nimempendaa kwa mbaliii

Ahahahaha. Aya bwana ngoja niendelee usije hama team tu!

Hongera sana

una kipaji mno!!

Asante sana boss

Haah haah wee penny eti chura huyo anaondoka taratibu,kweli sie wanaume akili zetu fupi kwa hiyo vyote kwa maringo kaona chura tu?
Wanaume tunawasamehe!

Kuelewa hii lazima uwe makini na uwe huna kazi. Usinihukumu nionavyo mimi.

Kabisaa! Ukikimbia hauna break unadhani una expect nini sasa?!

Baada ya jana saa nne usiku imekua leoo basi na ya leo saa 11 iwee sasa sita ama ninii penny

Tulia Yakhe! Mambo mazuri hayahitaji haraka
 
Maringo akachukua zake taxi; nipeleke Protea Hotel ya Cairo Road. Taxi ikatua hotelini akalipa cash na sanduku lake akaenda kulipia hotel kwa muda wa siku 5. Pazurije sasa, kama uraya! Akakaa wee anakula na kunywa wanakuja wanaume pale wanamtongoza anachukua contacts akiwa na nyege anawapigia wanakuja anapigwa miti akawa anajisemea nimeshakuwa changudoa kwa kuumizwa na mjinga m1 tu ila ataisoma namba sio kitoto.
Joe anampigia simu anaikata, akituma sms hajibiwi, anampigia hapokei, akaona isiwe shida akabadilisha namba ya simu akabakia na contact 4 tu. Ya wazazi wake, ya Patric, Bank Manager na Oga

Selina nae akawa mpweke, kaachwa solemba na Oga. Akimpigia simu Ofa haiingii, akajua ka blokiwa. Akajiambia aende zake bwana asinitaabishe, akampigia simu Patric namba haiendi, mh maini yakashtuka eh! Nimeshablokiwa mie! Na mkuu wa mkoa nitakula wapi sasa?! Anaanza kuhaha akaamua kuacha sms, tangu upate vyungu vipya umesahau vya zamani?! Haujui kuwa old is God?! Message ikawa delivered.
Akakaa wiki nzima hajaona dyu dyuu! Minyege imempanda mpaka anatamani ku basti! Kha akimcheki Pastor hapatikani akasema kweli laana imenijaa nikikaa ndani nitakufa humu akiangalia akaunt yake ina dola 5000, akajiambia nikiizungusha vizuri hii pesa italeta zingine, akaanza sasa kuji pimp, anajimake make anatoka kwenye mahotel makubwa anapata mapedeshee mashefaa mababa ya Lusaka anachukua contact ndio ikawa inamkeep buzy pamoja na ajira. Akawaona akina Patric na Oga na Pastor kuwa mafala tu hawana mpango.
Siku moja amekaa zake Best Wester Plus hotel, akaja mzungu mzee, akampenda bure selina. Selina nae alikuwa mzuri mzuri, kachumbari flavor ma design! Na hivi ni mwembamba kama chelewa wazungu wanaiita size 2, mrefu 5'6 ah zee la kizungu likakolea, Selina kwa mauno yupo mwake kimtindo! Akaona ah Mungu kanionekania, kiiila weeek mzungu anamwachia dola 1000 ya matumizi, kwa mwezi dola 4 akaona hapa hapa sikuwa hata na haja ya kuhangaika na mizambia shenz type. Mzungu akamhamisha kule alipokuwa anakaaa akawa anaishi nae mauno yalivyonoga Selina akanunuliwa gari Prado new model. Eh selina akasema Mungu yu pamoja nami sio kitoto! Akabadilika akawa anapendeza. Mzungu akienda kwao uraya anambeba, maisha yakawaka, hata pendo akawa anamshangaa Selina umetisher umempata nani mfalme wa Morocco nini? Hata gari lipo kwa jina lako kweli we noumer! Selina anajichekesha tu pale maskini kwa raha zake anamkejeli Pendo vipi Jose. Pendo akamwambia sa hivi na mie naishi na Jose na mwanae Caroline ila Jose amesafiri kaenda Lagos Nigeria kikazi kanihamisha kwangu kanileta nimlee Caroline, anakusalimia sana Caroline, Selina akawa anacheka tu kweli mchawi anaelea juu ya American Dollar lakini dawa ya mganga akawa ameificha tu!

Didie na Joseph wakaonekana wakiwa Lagos nigeria kikazi wakafikia hotelini wapo buzy wanatafuta soko la oil and gas wanaongea na wakuu wa nchi wanaongea na experties na consultant waka secure a big deal wakaunga na kampuni yao wakafurahi deal lao limetiki. Wakahama hema wakaruka Accra Ghana! Ivyo ivyo kimwendo kasi mpaka wakapata clients, wakahamisha hema mpaka Dubai na Abudabhi! Mambo yakaenda mwake wakafanikisha. Masoud aliposikia mambo yanaenda mwake kama alivyomwamini Mungu akafurahi sana sana, akamshukuru Mungu mazima mazima akatoka kwenda kumtembelea rafiki yake Ismail.

Kipofu alipoona the close is cleared! Akafunga mlango! Akaanza kubandika vitu kama vibati biduuuchu sana akabandika chumbani kwa Soya na Ismail. Akabandika bafuni, sebuleni, uwani, na jikoni! Akarudi kuvaa miwani yake na fimbo akaufungua mlango akawa anarudi anapapasa anaelekea chumbani

Kufika kwa Ismail, hayupo anamwona msichana anatembea toka choon kwenda chumbani, huku ameshikilia fimbo anashangaa. Akagonga akakaribishwa na kipofu. Akamsalimia kipofu pale anamwuliza wenyeji wapo wapi akajibu wametoka nimebakia pekeyangu Masoud anashangaa imekuwaje umeachwa mwenyewe vp ushakula?
Kipofu: hapana baba
Masoud: akamhurumia sana pole sana mtoto akamwambia basi nakuja akaenda jirani akanunua chips mayai akaleta haya mama kula kula usije fia watu bure humu
Kipofu akafakamia chakula kama hajala mwaka.
Masoud: anashangaa! Akamwuliza haujala tangu lini?!akamwambia jana usiku. Akamwuliza kwani Mama mwenyenyumba yupo wapi!?
Kipofu: hayupo baba ametoka alipotoka mumewe tu kama madakika akaondoka
Masoud: doh! Akachukua simu kumpigia Ismail. Ahaaa bwana! Uko wapi me nipo hapa kwako hamna mtu namkuta binti anahangaika na ukuta tu hapa kama mjusi hajala, kuna nini?!
Ismail: kwani Soya si yupo?!
Masoud: angekuwepo me ningepiga simu na kumnunulia binti chakula?! Mmekuja kumweka hapa mumtoe kafara au mbona hamna ubinaadam?!
Ismail: nakuja Masoud nisubiri hapo hapo
Masoud: ah me nishaka sana hapa nakuja kwako huko ilimradi mtoto keshakula inatosha
Ismail: hapana bwana ngoja nije usiondoke
Masoud: nakupa nusu saa kama hauji narudi kwangu maana na mie nipo mwenyewe natakiwa kupika ivoo!
Ismail: nakuja nakuj simu ikakatwa.


Soya bwana ananing'inizwa na Manoa mchana kweupee! Mikelele kama leba! Ismail akapita zake njia iyo iyo anaskia makelele, mmh! Hii sauti mbona kama ya mke wangu?! Akasogea mh kweli ila nisijichumie dhambi ngoja nichungulie
Kuchungulia lahaulaaa! Mke wangu soya! Akainama chini maini yote yamelegea, pumbu zimesinyaa! Kha! Manoa huyu huyu walahi nitaja mfanya kitu mbovu hatosaua! Akatamani aingie avuruge. Akakumbuka anasimu ya smart phone akaanza kurekodi kideo akasema hapa hapa lazima nipeleke prove me si mwenyekiti wa serikali lazima kieleweke! Karekodi DVD nzima mpaka wanatoka ndani yeye kajificha kwenye kichaka picha lote limerekodiwa! Akazima video simu yake ndogo ikaitwa akina Manoa wanaskia mh simu inaita wapi?! Kuangalia hawaoni mtu wakajua simu inalia ndani! Wakaingia ndani kurudi hamna kitu kumbe Ismail kakimbia! Njiani anakimbia kama kakimbizwa mwizi, kufika kwake anahema Masoud anamshangaa we vipi umekutana na simba njiani au?! Ismail akawa anashindwa kuongea akaomba aletewe maji wa kuleta maji hamna Masoud akaenda ndani akaleta akamwacha apoe, ile anataka kuongea Soya huyoo! Akashindwa kuongea! Akamwambia Masoud tuhamishe hema kwako hapa pabovu akamwambia tu mke wake pika haraka huyu Betty hajala tangu jana usiku pika haraka! Sonya akajibu sawa akaingia ndani anasonya!

Kungwi nae kaachiwa nyumba, akampigia Rasheeda mama tutafia ndani twende tukatembee tushangae na majengo la Lusaka! Wakakubaliana na hivi Kungwi ana kihela kapewa na Maringo na zingine kapewa na mwanae Pendo za matumizi! Akaona kwanini asijichane, akaongeza wiki ya kukaa Lusaka kazi itajiju! Kwanza keshachoka kazi! Wakaenda kutembea Intercontinental hotel, kha! Pazuri kama paradiso wenyewe wamepiga viwalo kungwi kapiga umini na top na hivi hana tumbo ni hatari, Rasheeda na wowowo lake kaweka trouser skinny na top. Wakakaaa weee! Mara akaja baba m1 mtu mzima zaidi yao kampenda Kungwi! Rasheeda anacheeka kweli kweli, haya shoga sema nae, akanyanyuka kwenda kuongea na bwana mtu mzima!
Rasheeda akacheeka! Akasema kweli Masoud anakazi, akaendelea kujinywea zake wine anamsubiria shoga ake!
Akakaa muda wa dk 45 akapata sms toka kwa Kungwi; shoga nenda tu huyu jibaba nipo nae mpaka majogoo maana kachiziiika na mie lazima nicheze kwaya mpaka kieleweke hapa nimemwagiwa pesa kama mvua bye shoga rudi tu mwenyewe nitakupa umbea kesho!

Rasheeda akacheka akampigia Patric; akaja wakawa wanakunywa zao kwa raha zao, baadae wakachukua room wakaenda kuzimua! Mechi mechi na wewe, kwakweli Patric anamu appreciate sana Rasheeda, kwanza kaumbika, hot mama, anajua mauno, akawa yupo tayari kumwacha mke wake Mary kwa ajili ya Rasheeda lakini alipokutana na Maringo direction imechange japo bado hajamnata Maringo!

Kandi akamcheki Drogba, Drogba hapatikani, cheki cheki na wewe hola! Mh sasa nafanyaje akampigia Joe, joe kumalizia hasira za Maringo akamwita Kandi aende kwake! Kandi akakimbia kwa Joe!
Mechi mechi na wewe , nyuma Maringo akaja! Si anaufunguo wa nyumba ya Joe, kasahau mzigo wake mmoja akasema aje aubebe, kufika chumbani kwa Joe! Hamadi! Hakuamini, Kandi na Joe! Akachukua chupa iliopo jirani yake akaipasua paaaa chini, kumbe ndio mchezo wako me kuondoka kukuacha ndio unaleta wanawake hapa ndani?! Uliniambia hauna mahusiano na ex wako hiki ni nini?! Kandi mdomo ukawa mzito Joe domo likawa zege! Akaenda kabatini akachukua mzigo wake akakuta dola 5000 akazichukua bila Joe kujua akatoka akamrushia Joe ufunguo kitandani akampiga na picha! Akaondoka, Kandi akamwuliza huyu ni nani Joe?! Joe nguvu za kuendelea hana! Kandi anarudisha mambo Joe hana hamu akaanza kutapika! Tapika mashukani, tapika kwenye sakafu! Akainuka kwenda kutapikia chooni akaanguka chini pwaaa!

ITAENDELEA SAA 5 USIKU LEO
 
Binti weka mziki acha maneno,maringo na mama ake akili zao the same

Like mother like Daughter ee?!
Chezea Dolari wewe?! Hata Empire mtajenga... umaskini kitu mbaya sana ukizinyaka unasahau utu!
 
Maringo alitoka nje akawa analia sana sana sana, uchungu bin uchungu, akakaa chini kabisa akalia weee kama mfiwa!

mpenzi msomaji mimi kama Money Penny wala nisingelia, kha! Kwani dyu dyu anayo Joe tu huku duniani?! To hell with Joe yow! Lakini Zuzu Maringo likabweeeeeka kama Mbwa Mwitu, awuuuuuuuuuuuu! Au au au awuuuuuuuu! Kisa mwanaume. Kupenda nako kaaaazi! Kweli kupenda ni talent and artistic! Akajizoa zoe akaondoka zake kaenda kupanda taxi,

Joe chini Buuu! Kama gunia la mahindi, maana sio kwa mshindo ule! Kandi kapagawa anashika siku yupo uchi badala ya kupiga no za ambulance za kwao anapiga 911! Sasa kwani apo America au?! Eh akimgusa Joe hapumua tobaaa hii kesi ya mauaji tena akatupia nguo chapu akamzoa Joe kamwingiza kwa Gari akamkimbiza hospital!
Akawa anasubiri nje kajitinda mitambara kama mwanamke wa kiarabu! Kweli Papuchi noumer! Akasubiri mpaka saa 6 usiku dokta ndio anatoka,
Kandi: dokta vepe?! Mgonjwa wangu vipi?
Dokta: inabahati umewahi ungechelewa nusu saa usingempata, tumeweza kuokoa maisha ya Joe ila amepata stroke na pressure yake ipo juu!
Kandi: tobaaaa lailati weee Joe sasa nafanyaje na me sio mzazi wake!
Doctor: mpigie mzazi wake aje, maana mdomo umepinda ameangukia mdomo na mkono pia na mguu vyote hamna mawasiliano vya upande wa kushoto! Kwani ilikuwaje?!
Kandi: hata sijui tulikuwa tumelala usiku akaamka kwenda toilet mara naskia puuu kuamka ameanguka chini
Doctor: basi wasiliana na wazazi tuweke kesi polisi
Kandi: eh polisi tena mbona yupo hai
Doctor: polisi lazima ijue dada. Nakupa masaa 8 uwe umewaleta wazazi.
Kandi akakoma kuvamia vya watu kwa kiburi, hajui anawapata wapi wazazi wa Joe, akaangalia simu yake hakuona kwenda kwenye gari, anaangalia simu ya Joe hajui akaamua kurudi home kwa joe kucheki simu hamna kitu hamna cha baba, mama, dad, daddy, mom, mommy, mzee, bimkubwa, yaya, kacheki all possible names hola! Dah sasa afanyaje akatafuta nambabya Maringo akaona akimpigia na simu ta Joe hapokei akapiga na yake haipo hewani! Dah sasa afanyaje akaenda kujisalimisha polisi ili wapeleke tangazo kwenye redio na tv lakini maelezo akatoa yale yale aliompa docta!
Kandi akakoma kuchakura vya watu! Eh! Kweli Dyu dyu ni noumer! Skia tu kwa jirani yako la sivyo utazua kizaa zaa!

Ismail na Masoud wakaenda nyumbani kwa masoud kupiga umbea. Ismail akaongea maajabu yote ya kumfumania mke! Tobaa Masoud akajisemea. Lakini prove unayo bro!
Ismail: ninayo kaka hii hapa akatoa akamwonyesha. Kama sio simu yako kulia ningeendelea kuchukua uhondo
Masoud: asta kafululahi rwadhim! Tobaaa! Huyu soya kawaje jamani mtume wee!
Ismail: kavimba kama kiazi kitamu, kafuuura kama faru john! Hehe
Wakaongea hapow eee! Masoud akaanza kumpa pole na nini haya mambo yapo tu we mwache kwanza huenda ameteleza si unajua kuteleza sio kuanguka rafkiangu samehe mfanya kosa si kosa kosa kurudia kosa Ismail, msamehe tafadhali. Asijue kuwa Masoud anamla Soya!
Ismail: akapoa kama maji ya mtungi akasema sawa hamna neno me nimemsamehe namhurumia sana huyu mwanamke si ataishia kupata magonjwa ya zinaa tu sasa anakitembeza kama mtoto mdogo nini namma hii. Akaaga kwa Masoud akasema ngoja niende nikahakikishe yule Betty anakula maana sidhani kama chakula kinapikwa leo. Akaaga akaondoka zake njiani anatunga sheria za visasi kichwani mwake lazima nilipize hii sio mchezo mchezo tena kwa mtu ambae itamuuma mpaka roho imtoke akawa anatafuta alipize kwa nani?! Au kwa Kipofu Betty nini?! Ah lakini sio vizuri nikipata jimama kama Soya itakuwa more even na shega! Akafika nyumbani wameshakula wamelala kuchungulia chumbani kwake Soya kalala fofofo anakoroma! Akala zake mwenyewe mwa machungu hata hakumaliza akaingia kulala.

Pendo yupo zake na Caroline maisha yanawaendea vizuri, homework anamsaidia kufanya anamfundisha kupika misosi mtoto ameshajua kupika kufua kideki, anafanya vizuri darasani weekend wanatoka out wanaenda kutembea wawili kweli miezi 6 ya kupotea kwa Jose ilikuwa mingi!

Selina yupo na kibabu chake cha kizungu, mambo ni mwake as usual, sikumoja wanatoka kutembea ilikuwa weekend wakapishana kauli na kibabu, kisa alipita dada mwenye chura kubwa kibabu kikamwangalia selina akavimba kwanini unamwangalia baby akakataa. Kweli ng'ombe hazeeki maini, atazeeka sura na ngozi sio maini, Selina kavimba weee mzungu anambembeleza lakini wapi kafura kama Faru nanihii john sijui! Hehe (me simoo)
Wamefika nyumbani babu kama kawaida saa 3 keshalala, Selina hakulala akawa anaumia sasa kama kila chura inaiba bwana zake yeye ataishia kuwa nani, akaikumbuka dawa ya mganga ilipofika saa 6 usiku juu ya alama akamwekea mzungu, akainenea kuwa asipate asitamani asiwe asione mwanamke mwengine zaidi yake na kila kitu cha mzungu amiliki yeye alipomaliza akarudi kulala.
Asubuhi anashangaa mzungu anamuamsha, Selina get out of my house sitaku kukuona tena mchawi mkubwa sikupendi kabisaa nani kakwam bia uniwekee dawa zako saa 6 usiku haujui kuwa hata me ni mchawi pia tena mchawi wa ulaya akamwonyesha kideo kumbe ana camera pale, Selina tobaa dawa ime expire! Sasa nafanyaje akajaribu kumtuliza kibabu kibabu hakielewi fukuza fukuza na wewe na kachupi chake akarushiwa getini na nguo zake tokaa na mbwa wa polisi wakafunguliwa wamng'ate selina hakuamini akaona kama ndoto imekuwaje anachanganyikiwa yupo na chupi na bra akajiongeza paleee akavaa fasta akakodi taxi akaondoka kwenda kupanga kwenye cheap hotel mpaka atakapopata nyumba. Pesa ikawa inakaribia kuisha akamkumbuka rafkiake Pendo kwenda kwake hayupo yupo mamake Kungwi, mama sliposkia ni selina akamtimua toka mchawi wewe! Eh selina hakuelewa leo nimemakia kuzimu au ahera mbona nafukuzwa kila mahali akaamua kurudi tena hotelini akalipia hela ya wiki 2 akasema ikiisha hii basi bora nife sina maisha tena Lusaka! Maana naona ng'ombe wa maskini hazai,

Rasheeda akarudi nyumbani Patric ofisini kama kawa, Rasheeda keshazoea maisha si ndio haya akaanza sasa uboya wa kutaka kujua mke wa Patric ndio nani, si unajua ule uboya boya wa kike, unataka kuchungulia Paradiso wakati wewe ni mtenda dhambi si utaungua?!akaanza kufanya kampen za kupatafuta kwa Patric akapapata, akawa kila weekend anaenda kujibanza mahali anamchungulia Mary finally akamwona siku moja anatoka akajifanya omba omba kavaa yale manguo yake ya kijijini, mama msaada, Mary akamwangalia akamhurumia akamoa hela nyingi tu sawa na laki 1 ya tz kwa sasa. Rasheeda akashukuru akaondoa. Kurudi nyumbani akaanza kujitandaza kwenye jumba lake kweli Mary haoni ndani kwangu, kwanza mfupi kama kitunguu saumu, alafu chinene kweli hajagawanyika yupo kama michelin out of shape! Akaanza kujaa kichwani anajipa sifa me ndo mimi me ndo mzuri weweeee hakuna kama mimi kumbe hakujua mwenzie kapendewa nini na kwanini mpaka leo haachwi!

Kungwi na mzee mwenzake wakawa wameshazoeana na mawasiliano wameshapeana, skunyingine mpenz wake anakuja kulala wiki nzima na kungwi, wanapigana vipepeo weee mzee wa watu anaondoka, Kungwi anajiongeza, hela anazopewa na lile zee akawa anatembelea sasa mahoteli makubwa makubwa anatafuta serengeti boys! Kha!
Mpenzi msomaji usije hara siku moha ukaoa mwanamke wa kizambia, utadhani wamefungwa Mota kwenye uchi! Kha! Sasa huyu kungwi huo ni uchi au tanuru la moto?! Haridhiki tu?
Siku hiyo anatoka zake akagongana na Drogba! Yeleuuuwi wakasalimiana nae Drogb michezo ya akina Sugar ndo yake, kungwi nae akiwa mwingi na mpana akaanza kumsifia pale Drogba, Drogba akaelewa somo akamwambia follow me mechi ikapigwa chooni kwa wanaume, mara kwenye sinki la hotel mara kwenye mlango wa choo wara kwenye ukuta mara kwenye kiti cha choo! Kweli kungwi ni namba ingine, Drogba kachoka lakini kungwi kama kafungwa mora chini! Dah! Baada ya mechi Drogba kafungwa 4 bila!hakuelewa yule ni mwanamke kweli au jini mahaba! Drogba hafungwagi kizembe zembe ila pale alisalimu amri akamwambia mama nipe no yako ya simu nitakutafuta kwa re-match! Kungwi akacheka akampa wakaachana. Imagine na ule mdushe wa Nigerian, lakini kungwi kapeleka kimwendo kasi zaidi!

Kandi akamtafuta Maringo ofisini akamkosa akamwomba meneja ampigie kwasababu bado alikuwa likizo! Meneja akampigia aje ofisini kuna dharura maringo akatokea,
Maringo: kuna nini meneja
Meneja: akamwita Kandi akaja. Kandi akamweleza yaliompata joe baada ya yeye kuondoka kwa hasira. Maringo akachoookaa! Kandi akamwomba namba za wazazi wa Joe Maringo akampa Kandi akaanza kuwapigia wazazi Maringo hakuongea akatoka nje kufika getini Patric huyoo kaja kumchukua! Wakaenda kuangalia nyumba wee wakaipata moja very posh house kule Roma! Pazurije sasa, Maringo akaona kama ni ndoto! Akamchumu Patric na kumkumbatia. Patric akamwambia nimeshakupatia kazi UN utaanza j3. Akamwelekeza pa kireport akampa resignation letter ya bank ya masaa 24 akamwambia kesho uipeleke wala usiogope. Akaenda kumnunulia na gari Vx V8 Maringo hakuamini akasahau hata kama Joe amepata stroke, akapewa gari aliendeshe, akaliendesha mpaka kwa mama yake Tasheeda anashangaa tu eh huyo bwana uliempata kiboko me sijanunuliwa gari lakini we kiboko haya naona ushauri wangu umeufanyia kazi. Akamwambia mama weekend uje kwangu nimenunuliwa nyumba kule uzunguni pazurije panaitwa Roma. Mama akachoka. Nambie basi mkwe wangu ni nani? Maringo akamdanganya anaitwa Ogabiel! Mama akauliza ni mnigeri, maringo akajibu ndio. Wakawa wanafurahi pale mama anafurahi kivyake mtoto anafurahi kivingine! Baadae akamwadithia mama yake yaliompata Joe, mamake akamwambia twende wote tukamwone na gari yako nzuri, wakawa wanajiandaa kwenda kumwona Joe

Musa akapewa kazi za maringo azifanye wakati maringo yupo likizo. Mara anamwona yule demu aliekutanaga nae kwenye hoteli, akashtuka imekuwaje, mara akaona anaingia na kaka mtu mzima wa makamo kama early 40's wameshikana mikono roho ikampasuka Musa wa watu Mungu si shemeji yule demu akaja dirisha la Musa. Wakasalimiana pale Musa akamwambia sijalipata jina lako vizuri akamwambia naitwa Evelyne. Musa akamwambia nimefurahi kukufahamu mrembo naweza pata no yako?! Evelyne akamwandikia akamwambia usiwr unanipigia usiku wala sms tuwasiliane mchana tu yule pale mpenz wangu.
Musa akamjibu tu sawa lakini alikuwa na jicho la 3 kuhusu Evelyne

Kijijini nako mambo yamewaka mvurugano wa kufa mtu. Masoud akamtext Soya tuonane chini ya mkungu njia ya kwenda mtoni, Soya kutoka kipofu akamfuata kwa mbaLi sana, kufika mahala pale kipofu anashangaa ni masoud na Soya wanakumbatiana mara wana kiss mara wanaanza kutiana tobaa akajificha kwenye majani, akapiga chabo pale weeee baadae akaona wanaongea
Masoud: unajua mumeo hajui kama tuna mahusiano
Soya: najua na wala sitamwambia
Masoud: na wewe unatembeaje na kijiji kizima jana mumeo hakufuma kwa manoa ujue manoa muhuni angalia uwe unatumia kinga mpenz sio unapiga kavu kama kwangu
Soya: sawa mpenz sass nafanyaje issue ya mume wangu?!
Masoud: we kama hajakwambia usiongee, kaa kimya tu jitahidi upate ile simu yake akiwa amelala ufute ile kideo upoteze kumbukumbu kabisaa. Wakakubaliana hapo wakachana kila mtu na njia yake
Kipofu baadae akatoka kwenye majani anatembea kirudi anajisemea tu kweli hawa watu hawafai kwanza malaya pili wanachezea rasilimali za nchi! Akawa anatikisa tu kichwa huku anapapasa na fimbo anatembea

ITAENDELEA KESHO SAA 5 ASUBUHI
 
Back
Top Bottom