My crazy theory…..

My crazy theory…..

Na wanamtandao ndo waliwafanyia figisu Dr ulisubhisya baada ya kutoa ushauri juu ya lissu kupelekwa Kenya

Yani eneo ambalo alikuwepo waziri Wa nishati na mbunge Wa chato CCTV camera zinaondolewa bado mnasema ni wanamtandao

Mauaji ya Ben saanane,azory gwanda mauaji ya kwenye viroba yote hii ilikua kazi ya wanamtandao

Halafu mnaosema lisu alikua anatumika na mtandao mmeanza kumfuatilia lissu lini???? Lisu Wa mkapa,Wa kikwete na magufuli ni lissu yule yule hajawai pepesa
Ko kipindi cha msoga alikua anatumika na nani?? Mkapa au??? Na kipindi mpaka analazwa ndani wakati anapambani haki za wenye makazi tarime yote hii alikua anatumika au???

Acheni upumbavu!!!
 
Kwa Magufuli na Falsafa zake, kwake Lissu ni sehemu ya Wahuni na Wanamtandao. Lissu alitumika na hao kina Rostam kumuhujumu Magufuli.

Katika michezo yao, wakaamua kumuumiza mwenzao ili kumuharibia Magufuli. Kama Magufuli alibaini hili, kamwe asingeweza hata kuigiza kutoa pole kwa Lissu.

Binafsi naamini, kama kweli hili lipo vile mtoa mada asemavyo, basi LISSU ATAKUWA ANALIJUA VIZURI NA IPO SIKU ATALITAMKA WAZI MWENYEWE, ila tu kama ni mwenye kujali ustawi wa umma.
Mhmm..!! Hebu soma ulichoandika kwa utulivu..!!

Hivi unavyosema ni kwamba wengine hatumfahamu Magu?
Au wewe unamuongelea Magu yupi?

Yule mzee narudia tena, kwa jinsi alivyokuwa na visasi asingekubali kuwaacha wahuni watambe na yeye kuchafuka..!!

Kilichotokea kwenye mipango yake alikuwa anafanya kazi na vibaraka wa wahuni..!!
Ndiomana mara ya mwisho alimshtukia kondakta akampa kikono..!!
 
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
Ua brain works really well.....

I asked myself same qn, However, there is a HUGE possibility on that, How can the late President organised that mission alone? So what? To protect what? His belonging🤣 What did he own personally surely???

Assuarance is not there at all percent, but........

We ll forever miss him.
 
Lakini jiwe mbona alikua anatamka kwa kinywa chake kauli za kudhihirisha ukatili wake. Mfano,alisema kuhusu kuwapoteza hata wale wali misbehave kwenye vikao vya CCM kupitisha mgombea 2015; kauli zake za chuki dhidi ya wapinzani; etc. Naona ilikua ni obvious tu..
 
Mhmm..!! Hebu soma ulichoandika kwa utulivu..!!

Hivi unavyosema ni kwamba wengine hatumfahamu Magu?
Au wewe unamuongelea Magu yupi?

Yule mzee narudia tena, kwa jinsi alivyokuwa na visasi asingekubali kuwaacha wahuni watambe na yeye kuchafuka..!!

Kilichotokea kwenye mipango yake alikuwa anafanya kazi na vibaraka wa wahuni..!!
Ndiomana mara ya mwisho alimshtukia kondakta akampa kikono..!!
Watambe vipi wakati wengine walikimbia Nchi? Rostam alienda Kenya. Aliwanyoosha ndio maana wakaamua kumchafua hata kwa gharama za damu zao wenyewe.

Magufuli hakuwa MTU wa kuigiza, akikuchukia atakuonesha wazi, na hakuna ubishi kuwa alimchukia Lissu. Asingeweza kuhangaika na mwanamtandao kwa kuogopa kuchafuka yeye.
 
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
When late Mchungaji Christopher Mtikila died, everyone knew that he was assassinated. The unsolved question was, who killed him? While Kagame's name came up, phone records of Mtikila's step son revealed that, past 2 days before the incident, he had close communication with Aikael Mbowe, Chairman of CHADEMA who entrusted Lowassa to run for presidency and Mtikila oppossed him openly.

Police hurriedly closed the investigation, concluding that, Mtikila's death was due to a car accident and there was no faul associated to both the accident and death.
 
Watambe vipi wakati wengine walikimbia Nchi? Rostam alienda Kenya. Aliwanyoosha ndio maana wakaamua kumchafua hata kwa gharama za damu zao wenyewe.

Magufuli hakuwa MTU wa kuigiza, akikuchukia atakuonesha wazi, na hakuna ubishi kuwa alimchukia Lissu. Asingeweza kuhangaika na mwanamtandao kwa kuogopa kuchafuka yeye.
Lissu mwanamtandao??!! 😹😹😹

Wewe naona natwanga maji kwenye kinu, hoja zako zimeegemea kwenye mahaba binafsi na sio majadiliano..!!
 
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
La Lissu ni la Magufuli hilo wala msitake kumvua lawama; uzuri adhabu yake alikwishaipata tayari keshakuwa mifupa mikavu katu hatanyanyua bichwa lake tena!
 
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
Hakuna kitu kama hicho, mbona JPM hakuwakamata hao wanamtandao waliohusika? I doubt kama wanamtandao pia walitoa katazo kwa Ndugai kuidhinisha malipo ya matibabu ya Lissu!! N.k

JPM did it, na ukimya wake kukamata mhusika ndio unamfanya kuwa prime suspect
 
Hakuna kitu kama hicho, mbona JPM hakuwakamata hao wanamtandao waliohusika? I doubt kama wanamtandao pia walitoa katazo kwa Ndugai kuidhinisha malipo ya matibabu ya Lissu!! N.k

JPM did it, na ukimya wake kukamata mhusika ndio unamfanya kuwa prime suspect
Hizo ni speculations zako tu.

Hujaweka ithibati yoyote ile kuonyesha na kuthibitisha Magufuli ndiye aliyehusika.

Na wewe na wenzako mnaodai haiwezekani ikawa ni watu wengine waliofanya hivyo ili kumchafua Magufuli, mnaonyesha jinsi mlivyo naive na workings za deep state.

Hata sasa hivi watu wanaweza kumuua Lissu na lawama zote mkazielekeza kwa Samia kwa sababu ya hali ilivyo sasa ilhal waliofanya hivyo ni watu wengine kabisa walioamua kui exploit hali ya kisiasa iliyopo sasa kwa dhumuni la kupoteza lengo.
 
When late Mchungaji Christopher Mtikila died, everyone knew that he was assassinated. The unsolved question was, who killed him? While Kagame's name came up, phone records of Mtikila's step son revealed that, past 2 days before the incident, he had close communication with Aikael Mbowe, Chairman of CHADEMA who entrusted Lowassa to run for presidency and Mtikila oppossed him openly.

Police hurriedly closed the investigation, concluding that, Mtikila's death was due to a car accident and there was no faul associated to both the accident and death.
Lusajo unaona kipi kwenye hi picha ?
FB_IMG_17577997076732388.jpg
 
Lissu mwanamtandao??!! 😹😹😹

Wewe naona natwanga maji kwenye kinu, hoja zako zimeegemea kwenye mahaba binafsi na sio majadiliano..!!
Kama sio basi alikubali kutumika na wanamtandao. Hili liko wazi sana!

IPO siku Lissu atakuja kuombea radhi hili hadharani.
 
Jiwe ndo aliwapa go ahead watekaji na wahuni akina Sabaya na Bashite walitesa watu sana
Ukiuliza unaambiwa maelekezo kutoka juu Qmmae zenu nyie unafkiri tumesahau
 
Hizo ni speculations zako tu.

Hujaweka ithibati yoyote ile kuonyesha na kuthibitisha Magufuli ndiye aliyehusika.

Na wewe na wenzako mnaodai haiwezekani ikawa ni watu wengine waliofanya hivyo ili kumchafua Magufuli, mnaonyesha jinsi mlivyo naive na workings za deep state.

Hata sasa hivi watu wanaweza kumuua Lissu na lawama zote mkazielekeza kwa Samia kwa sababu ya hali ilivyo sasa ilhal waliofanya hivyo ni watu wengine kabisa walioamua kui exploit hali ya kisiasa iliyopo sasa kwa dhumuni la kupoteza lengo.
Sasa kama JPM hahusiki mbona wauwaji hawakukamatwa? Hivi JPM alivyokua anaogopwa vile na mkatili vile angeshindwa mfahamu muuaji wa Lissu?
 
Back
Top Bottom