Whaaat? Iraq stands against America 😃😃Magufuli alikuwa Christian kwa sababu nilimuona Kanisani mara nyingi sijui sana khs Tundu Lisu lkn najua siyo muslim, hivyo ukiangalia patterns za matukio nchi hii tangia uhuru, utaona victims wote (karibia) ni Christians tu hakuna muslims hata mmoja ukiondoa labda Kibao ambaye ni mtu mdogo sana hata hivyo kuweza kumjumuisha, na nijuavyo muslims wako vitani against the so called "mfumo Kristo" tangia uhuru na wala hawafichi kama tu unaweza ku -read between the lines na ndiyo maana hata husema (muslim) kwamba uhuru wameleta wao na wao ndiyo waliomkaribisha Nyerere plus pendulum sasa hivi imelalia upande mmoja tu, power yote karibia 100% iko kwao (muslims), hivyo kuamini kwamba ni coincidence tu wanaofariki wote wametokea tu kuwa Christians kuwa naive.
war on Christianity is real ...
Huyo anajulikana, ni zaidi ya mpumbavuMleta mada ni mmoja ya mifano ya watu wa ovyo nchini. PUMBAV kabisa
Ukweli mtupu,!Mkuu umechanganya mafaili.
Magufuli is on record kwa kusema, mtu anayetusaliti katika mapambano yetu ni fair game.
Na hardly 24hrs late risasi zilimmiminikia Lissu.
Mtandao wana madhambi yao makubwa, lakini hili la kupigwa risasi Lissu, its in Magufuli’s court!
Kwa Magufuli na Falsafa zake, kwake Lissu ni sehemu ya Wahuni na Wanamtandao. Lissu alitumika na hao kina Rostam kumuhujumu Magufuli.Kwa hilo la Lissu ni mwenyewe alifanya, kwa jinsi Magu alivyokua anapenda sifa lazima angewaumbua hao wana mtandao..!!
Na Magu adui zake wakubwa walikuwa wahuni kuliko hata upinzani. Sasa ingetokea fursa kama hiyo sidhani angeiachia..!!
Sema wahuni walimjaza akajaa kisha wakamgeuka..!!
Na wahuni walifanikiwa kuchomeka watu wao ili kumuharibia kwa wananchi.
🖕🖕Huyo anajulikana, ni zaidi ya mpumbavu
dos.2020 kaka nyani anakutukana huku 😹😹😹
Ndivyo ilivyo fanyika kwa Ben saa8 Chini ya mbowe akishirikiana na wana mtamndaoWhat if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?
Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.
Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.
What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
💯%.Ndivyo ilivyo fanyika kwa Ben saa8 Chini ya mbowe akishirikiana na wana mtamndao
Sasa nae Magu alifeli vipi kuhakikisha anawajua wahuni wanaomchafulia utawala wake. He blessed every bad action.What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?
Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.
Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.
What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
Mtu mmoja hawezi kujua kila kitu.Sasa nae Magu alifeli vipi kuhakikisha anawajua wahuni wanaomchafulia utawala wake. He blessed every bad action.
Alikuwa na nafasi bora sana ya kuwadhibiti wahuni kwa ushahidi wa baadhi tu ya matukio tunayohisi yalifanyika kumhujumu.
Kama alipotezea, he was among wahuni.
wanamtandao ndio walimnyima Lissu hela ya matibabu? ndio walimfukuza ubunge? ndio walimnyima mafao? ndio walikataza asichangiwe damu? ndio walikataza wana ccm kumjulia hali? ndio walimkaripia yule mwanamke aliyeenda kumjulia hali? ndio waliotoa cctv camera kwenye yale makazi? ndio waliozuia polisi kufanya uchunguzi?What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?
Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.
Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.
What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
Magufuli hakuwa MTU wa kuigiza wema kwa watu anaowachukia. Tuseme kwa vile alionekana kufurahishwa na mabaya yanayowakuta wapinzani wake, Mtandao ulitumia fursa hiyo kumgombanisha na RAIA wengine.
Hata Mimi binafsi ukiwa adui yangu siwezi kujihangaisha kukupa msaada pale unapofikwa na baya, nitaacha ujipambanie.
Hili linalosemwa lina uwezekano mkubwa sana!
Kwani Magufuli ndo alikuwa anawajibika na matibabu ya Lissu?wanamtandao ndio walimnyima Lissu hela ya matibabu? ndio walimfukuza ubunge? ndio walimnyima mafao? ndio walikataza asichangiwe damu? ndio walikataza wana ccm kumjulia hali? ndio walimkaripia yule mwanamke aliyeenda kumjulia hali? ndio waliotoa cctv camera kwenye yale makazi? ndio waliozuia polisi kufanya uchunguzi?
Em tupe ushahidi mkuu 😎Kwa hili naamini Magu alihusika, tena 100%
ukiachana na hayo sijui kuondoa walinzi area D, ambalo ni suala dogo sana, mbona hamshangai ilikuwaje hao wanamtandao kumfyekelea mbali jpm?..Jpm alifanya zaidi ya kumuacha TL apambane na hali yake.
..kwa mfano, aliyezuia TL asitibiwe na Bunge ni Jpm, sio Spika Ndugai.
..kwa hiyo hata kama Jpm hakutuma wauwaji kwenda kumshambulia TL, alimuongezea machungu kwa kuzuia matibabu yake, pamoja na uchunguzi wa tukio.
..lakini pia kuna swali ambalo halijibiwi. Je, ni nani aliyeondoa walinzi wa area D ili kuwezesha shambulizi dhidi ya TL? Je, ni genge lipi, kati ya Mtandao, na genge Jpm, inawezekana ndilo lililoondoa walinzi eneo la tukio?
Kasema anaamini. Unamwomba ushahidi wa nini sasa ilhali hiyo ndo imani yake?Em tupe ushahidi mkuu 😎
😂 N sawa na wanaoamini kuna pepo na jehanamu, ukiwaambia walete ushahidi wanakupa vifungu vya Biblia na QuranKasema anaamini. Unamwomba ushahidi wa nini sasa ilhali hiyo ndo imani yake?
Imani huwa haina ushahidi. Unaweza kuamini chochote kile.