My crazy theory…..

My crazy theory…..

Kama sio basi alikubali kutumika na wanamtandao. Hili liko wazi sana!

IPO siku Lissu atakuja kuombea radhi hili hadharani.
Alitumika kisa nini? Kwani JPM alikua hana mpinzani zaidi ya "mtandao" pekee?

Lissu alikua na interest zake, mtandao interest zao na JPM interest zake. Wao kutokuelewana doesn't mean wote wana agenda moja!! Ndio maana Membe alienda ACT na bado Lissu hakumuunga mkono
 
Sasa kama JPM hahusiki mbona wauwaji hawakukamatwa? Hivi JPM alivyokua anaogopwa vile na mkatili vile angeshindwa mfahamu muuaji wa Lissu?
Nani angewakamata? Yeye mwenyewe Magufuli?

Na kwa nini asishindwe kuwajua? Magufuli alikuwa anajua kila kitu?
 
Alitumika kisa nini? Kwani JPM alikua hana mpinzani zaidi ya "mtandao" pekee?

Lissu alikua na interest zake, mtandao interest zao na JPM interest zake. Wao kutokuelewana doesn't mean wote wana agenda moja!! Ndio maana Membe alienda ACT na bado Lissu hakumuunga mkono
Tunachofanya ni kujadili possibilities.

Binafsi naamini mengi aliyoyaimba Lissu before Magufuli era, yalitekelezwa na Magufuli. Shaka inakuja pale Lissu alipoamua kusimama kinyume na Magufuli hata kwa mambo ambayo mwanzoni aliyakemea. Mbaya zaidi eti kwa kujaribu kuturubuni kwa hoja ya Demokrasia na Haki.
1. Kama hakulambishwa asali na Wanamtandao, basi alikuwa miongoni mwao.
2. Kama hakuwa mwanamtandao, basi utimamu wake kichwani na hata uaminifu wake una shaka kubwa.

3. Kama Lissu ni mwerevu na mzalendo wa kweli, binfsi bado naamini IPO siku ataomba radhi hadharani juu ya nyendo zake wakati wa Magufuli.
 
Shaka inakuja pale Lissu alipoamua kusimama kinyume na Magufuli hata kwa mambo ambayo mwanzoni aliyakemea.
Realistically lissu ni chadema na JPM ni CCM ulitaka Lissu amuunge mkono mwenyekiti wa chama pinzani na chake? Hell no hata CCM kuna mazuri iliiga chadema ila haijawahi pongeza hadharani kwa hofu ya kuwapa umaarufu wapinzani wao!! So I don't expect hata siku moja Kamala kumsifia Trump hata akitekeleza yote aliyotaka maana ni chama pinzani.

1. Kama hakulambishwa asali na Wanamtandao, basi alikuwa miongoni mwao.
Angelambishwa asali angekua kinyume na Mbowe? Unadhani kwanini Mbowe alikua kipenzi cha watawala kuliko Lissu? Nani ni mtandao hapo? Lissu alikua na malengo ya urais na moja wapo ni kutompongeza mshindani wako period.
2. Kama hakuwa mwanamtandao, basi utimamu wake kichwani na hata uaminifu wake una shaka kubwa.
Kumbe kumpinga hasimu wako kidemokrasia ni kukosa akili? Tanzania hatuelewi demokrasia kabisa. Ni hivi ukienda USA, UK, Afrika Kusini, Kenya n.k kuna majimbo ambayo chama tawala haiwezi kushinda hata ingejenga lami mpaka sebuleni. Ndio maana hata Mandela licha ya umaarufu wote alishinda urais wa Afrika kusini kwa 62% pekee maana yake karibu nusu ya nchi haikumchagua!! Nao walikua hawana akili?

3. Kama Lissu ni mwerevu na mzalendo wa kweli, binfsi bado naamini IPO siku ataomba radhi hadharani juu ya nyendo zake wakati wa Magufuli.
Amuombe radhi wa nini? Hata mimi namuona Samia hafai kuongoza hata kwa siku moja, na pia naamini JPM alikua anachapa kazi sana ila angekua hai bado ningempigia Lissu kura kama nilivyofanya 2020 na hiyo ndio demokrasia
 
Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?

Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
wana mtandao sio wanamtambao.

wana nguvu,mamlaka na maamuzi hata kwa namna usiyoweza kuhisi.na walijua watu kama wewe mtakataa.

kama waliweza kuanzisha kampeni jamaa aonekane anataka kuongeza muda,hawawezi kishindwa kuendesha kampeni yoyote ionekane wanavyotaka.
 
Nani angewakamata? Yeye mwenyewe Magufuli?

Na kwa nini asishindwe kuwajua? Magufuli alikuwa anajua kila kitu?
Yaani Rais wa nchi mwenye usalama wa taifa wote ashindwe kujua nani alimuua Lissu au Saanane?? Seriously? Do you think he was that weak?

JPM angekamata hata Kheri James tu maana alikiri kuwa jaribio la pili hawatotumia SMG bali watatumia sindano ya sumu kumuuua lissu!!! Mtu kama huyo humkamati alafu unasingizia mtandao.

With all due respect, Sikujua kukaa nje ya nchi with all that exposure, you still afford to be as dumb as a commoner from itabagomba
 
Yaani Rais wa nchi mwenye usalama wa taifa wote ashindwe kujua nani alimuua Lissu au Saanane?? Seriously? Do you think he was that weak?

JPM angekamata hata Kheri James tu maana alikiri kuwa jaribio la pili hawatotumia SMG bali watatumia sindano ya sumu kumuuua lissu!!! Mtu kama huyo humkamati alafu unasingizia mtandao.

With all due respect, Sikujua kukaa nje ya nchi with all that exposure, you still afford to be as dumb as a commoner from itabagomba
Ndiyo!

Usalama wa taifa wa Tanzania wana ujuzi gani hao?

They are all dumb!

Hayo mambo mengine sijui ya kukaa nje na blah blah blah….

That’s too cliche!

Come up with something new [which I don’t think you can because you’re incapable of it].
 
Realistically lissu ni chadema na JPM ni CCM ulitaka Lissu amuunge mkono mwenyekiti wa chama pinzani na chake? Hell no hata CCM kuna mazuri iliiga chadema ila haijawahi pongeza hadharani kwa hofu ya kuwapa umaarufu wapinzani wao!! So I don't expect hata siku moja Kamala kumsifia Trump hata akitekeleza yote aliyotaka maana ni chama pinzani.


Angelambishwa asali angekua kinyume na Mbowe? Unadhani kwanini Mbowe alikua kipenzi cha watawala kuliko Lissu? Nani ni mtandao hapo? Lissu alikua na malengo ya urais na moja wapo ni kutompongeza mshindani wako period.

Kumbe kumpinga hasimu wako kidemokrasia ni kukosa akili? Tanzania hatuelewi demokrasia kabisa. Ni hivi ukienda USA, UK, Afrika Kusini, Kenya n.k kuna majimbo ambayo chama tawala haiwezi kushinda hata ingejenga lami mpaka sebuleni. Ndio maana hata Mandela licha ya umaarufu wote alishinda urais wa Afrika kusini kwa 62% pekee maana yake karibu nusu ya nchi haikumchagua!! Nao walikua hawana akili?


Amuombe radhi wa nini? Hata mimi namuona Samia hafai kuongoza hata kwa siku moja, na pia naamini JPM alikua anachapa kazi sana ila angekua hai bado ningempigia Lissu kura kama nilivyofanya 2020 na hiyo ndio demokrasia
1. Mimi ni Mtanzania, nitakutoa akili kama utaamua kupinga jambo sahihi kwa heshima ya chama chako, iwe CDM au CCM. Na hiyo akili kwamba ukiwa chama pinzani hupaswi kuunga mkono chochote kwa chama hasimu ndio mentality inayowafanya wanasiasa wawageuzi wananchi kuwa mazezeta. SIO MIMI.
2. Siasa hazina majibu ya moja kwa moja. Kuwa kinyume na Mbowe hakuhalalishi kwamba yeye si mwanamtandao, au kumuunga mkono Mbowe nako hakuhalalishi kwamba Lissu ni Mwanamtandao.
HOJA YANGU NI KWANINI LISSU ALIIMBA WIMBO MMOJA NA WANAMTANDAO? Hakutaka waguswe, na kila walipoguswa aliponda kwa kudanganyia sheria, nk... UPO UWEZEKANO MKUBWA KUWA ALITUMIKA, iwe kwa kujua ama bila kujua.

3. Hili la Demokrasia binafsi wala sipepesi macho, ni hivi... UKIONA MTU YEYOTE ANATAZAMA UHALALI WA MAMBO JUU YA USTAWI WA UMMA KWA KUZINGATIA MISINGI YA DEMOKRASIA, UJUE HUYO MTU NI TAPELI AU HAMNAZO KICHWANI. OVER.

4. Boksi la KURA ni Utapeli wa wenye nguvu dhidi ya wanyonge, halijawahi kutumika tofauti mahali popote.
 
Yaani Rais wa nchi mwenye usalama wa taifa wote ashindwe kujua nani alimuua Lissu au Saanane?? Seriously? Do you think he was that weak?

JPM angekamata hata Kheri James tu maana alikiri kuwa jaribio la pili hawatotumia SMG bali watatumia sindano ya sumu kumuuua lissu!!! Mtu kama huyo humkamati alafu unasingizia mtandao.

With all due respect, Sikujua kukaa nje ya nchi with all that exposure, you still afford to be as dumb as a commoner from itabagomba
Kujua ni Jambo jingine na kuchukulia hatua ni jambo jingine. Tambua hilo.


Lakini pia ikiwa bado una mentality hii ya sijui umekaa nje ya nchi au hujakaa, kama kipimo cha utimamu was Fikra sahihi, basi safari yako inakuwa ngumu mno kiutambuzi.
 
Back
Top Bottom