My crazy theory…..

My crazy theory…..

Nadharia dhaifu sana hii ukizingatia namna serikali ya Magu ilivyo respond baada ya Lissu kupigwa risasi.
 
Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?

Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
,Bonge moja la comment. Kila anayejaribu kumsafisha jiwe kwa kuwa tu Samia ameshindwa kuongoza nchi huwa simuelewi.

Wanamtandao wamepata nguvu hivi sasa kwa kuwa Samia anaingilika na kulubunika.

Jiwe alishindwa nini kukemea jaribio LA kumuua Lisu? Mbona alizuia hata viongozi kwenda kumuona kule Nairobi? Mbona alipiga marufuku kumchangia hata damu mbwa huyu jiwe? Mbona alimnyima hata fedha ya matibabu?

Jiwe hasifishiki.
 
,Bonge moja la comment. Kila anayejaribu kumsafisha jiwe kwa kuwa tu Samia ameshindwa kuongoza nchi huwa simuelewi.

Wanamtandao wamepata nguvu hivi sasa kwa kuwa Samia anaingilika na kulubunika.

Jiwe alishindwa nini kukemea jaribio LA kumuua Lisu? Mbona alizuia hata viongozi kwenda kumuona kule Nairobi? Mbona alipiga marufuku kumchangia hata damu mbwa huyu jiwe? Mbona alimnyima hata fedha ya matibabu?

Jiwe hasifishiki.
Magu hakukemea kabisa?
 
Magu alingizwa chaka kwamba huyo mtu aondolewe sababu ya( challenge aliokuwa anamletea Ila ilikuwa imeshapangwa na wanamtandao) sababu kila kitu kilikuwa kimewekwa sawa na bashite ambaye ni mwanamtandao mtiifu Ila kijana wa mzee kwenye macho ya watu (hata baba yake mwenyewe magu aliingizwa chaka) kwa kipindi hicho mama alikuwa hajaingizwa vizuri kwenye mfumo ndo akawa anatumiwa na wanamtandao partially sababu bado kwa magu alikuwa hana nguvu kiivo hapo pia ikatengeneza uhasama(alitumwa na wana mtandao kuhakikisha Hali ya lisu sababu ya clearance yake) naibu spika alipata taarifa hio sababu nae alikua mwanamtandao mtiiifu. Ndo maana surveillance ziliondolewa kwake ndugai alikuwa wa mzee na yeye alipewa taarifa kama wengine kama mzee wake magu .....wanamtandao ni deep state ya tz iliokomaa sio mchezo....hio ni nadharia yangu
 
Kwenye system kuna mambo mengi yanayoendelea, wewe ukiwa Rais huwezi ukatuma watu waende kuua kila siku wapinzani wako wakati unajua fika itakuchafua moja kwa moja, kwahiyo kuna uwezekano wa kikundi kisichokutakia mema kikatumia hilo gape kukuchafua kwa kuwaondoa wapinzani wako kwa kuwaua kikatili ili uyumbe maana pressure itakayokuja kwako kutoka kwa wananchi ni kubwa na utakua umechafuka sana.
Well said
 
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
It's obvious
 
Magufuli alikuwa Christian kwa sababu nilimuona Kanisani mara nyingi sijui sana khs Tundu Lisu lkn najua siyo muslim, hivyo ukiangalia patterns za matukio nchi hii tangia uhuru, utaona victims wote (karibia) ni Christians tu hakuna muslims hata mmoja ukiondoa labda Kibao ambaye ni mtu mdogo sana hata hivyo kuweza kumjumuisha, na nijuavyo muslims wako vitani against the so called "mfumo Kristo" tangia uhuru na wala hawafichi kama tu unaweza ku -read between the lines na ndiyo maana hata husema (muslim) kwamba uhuru wameleta wao na wao ndiyo waliomkaribisha Nyerere plus pendulum sasa hivi imelalia upande mmoja tu, power yote karibia 100% iko kwao (muslims), hivyo kuamini kwamba ni coincidence tu wanaofariki wote wametokea tu kuwa Christians kuwa naive.

war on Christianity is real ...
Mkuu kwa akili hizi za vijana wa mtume hawatokaa washinde the so called "mfumo Kristu".
 
..Jpm alikuwa na hit squad.

..Mrs.Hafiz naye kairithi hiyo hit squad.

..mtu msafi angeisambaratisha hit squad, au angeachana nayo kimyakimya.

..Rais wa Tz kama anataka jambo fulani hashindwi kulifanikisha, na kama hataki hashindwi kulizuia.
 
Ni maelekezo kutoka msoga mission ya kwnza target ni lissu
Mission ya pili target alikuwa Magu

Can't you see
Can you?

..kama ni mission ya Msoga basi Jpm alitakiwa ampe kila msaada TL ili apate ahueni na tukio lile baya.
 
Ni JPM na serikali yake walihusika 💯, na waliohusika wengi bado wapo, I guarantee kuna siku mmojawapo ataongea ukweli wote hadharani na kilichotokea siku hiyo from A to Z, Nina uhakika wengine wameshawaambia wake zao na ndugu zao, regime ya Magufuli imeshapita ni swala la muda tuu
 
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
Mkuu umechanganya mafaili.
Magufuli is on record kwa kusema, mtu anayetusaliti katika mapambano yetu ni fair game.
Na hardly 24hrs later risasi zilimmiminikia Lissu.
We dont forget!
Mtandao wana madhambi yao makubwa, lakini hili la kupigwa risasi Lissu, its in Magufuli’s court!
 
Ukabila unakusumbua, kama kweli hakuhusika kwanini hakuweka wapelelezi ili wapatikane wauaji?? Kwa jinsi alivyokuwa Magu unahisi angekubali kuchafuliwa Kama sio kweli?

Kwani Tundu Lissu si mwananchi wake na jukumu la kulinda amani ya nchi na raia ni la kwake rais..!!

Rais gani anakubali kupata kashfa kama ile na akatulia ikiwa hahusiki?
Huyo Magu hakuwa mtakatifu wa kila kitu acha taharuki..!!
Magufuli hakuwa MTU wa kuigiza wema kwa watu anaowachukia. Tuseme kwa vile alionekana kufurahishwa na mabaya yanayowakuta wapinzani wake, Mtandao ulitumia fursa hiyo kumgombanisha na RAIA wengine.
Hata Mimi binafsi ukiwa adui yangu siwezi kujihangaisha kukupa msaada pale unapofikwa na baya, nitaacha ujipambanie.

Hili linalosemwa lina uwezekano mkubwa sana!
 
Magufuli hakuwa MTU wa kuigiza wema kwa watu anaowachukia. Tuseme kwa vile alionekana kufurahishwa na mabaya yanayowakuta wapinzani wake, Mtandao ulitumia fursa hiyo kumgombanisha na RAIA wengine.
Hata Mimi binafsi ukiwa adui yangu siwezi kujihangaisha kukupa msaada pale unapofikwa na baya, nitaacha ujipambanie.

Hili linalosemwa lina uwezekano mkubwa sana!
Kwa hilo la Lissu ni mwenyewe alifanya, kwa jinsi Magu alivyokua anapenda sifa lazima angewaumbua hao wana mtandao..!!

Na Magu adui zake wakubwa walikuwa wahuni kuliko hata upinzani. Sasa ingetokea fursa kama hiyo sidhani angeiachia..!!

Sema wahuni walimjaza akajaa kisha wakamgeuka..!!
Na wahuni walifanikiwa kuchomeka watu wao ili kumuharibia kwa wananchi.
 
Kwenye system kuna mambo mengi yanayoendelea, wewe ukiwa Rais huwezi ukatuma watu waende kuua kila siku wapinzani wako wakati unajua fika itakuchafua moja kwa moja, kwahiyo kuna uwezekano wa kikundi kisichokutakia mema kikatumia hilo gape kukuchafua kwa kuwaondoa wapinzani wako kwa kuwaua kikatili ili uyumbe maana pressure itakayokuja kwako kutoka kwa wananchi ni kubwa na utakua umechafuka sana.

Haya yote yanafanyika na wewe unakua wapi? Hauna imtelligence? Na kama hauna unafikirir wewe upo salama kiasi gani, Kama lisu anaweza kushambuliwa mwenye makazi ya Serikali yenye ulinzi na Macamera na Rais aiwe na taarifa. Unazani yeye mwenyewe yuko salama kiasi gani?

Na kama kweli imefika hapo, Si bora ujiuzuru sasa maana kazi ya lutulinda imekushinda
 
Kwa hilo la Lissu ni mwenyewe alifanya, kwa jinsi Magu alivyokua anapenda sifa lazima angewaumbua hao wana mtandao..!!

Na Magu adui zake wakubwa walikuwa wahuni kuliko hata upinzani. Sasa ingetokea fursa kama hiyo sidhani angeiachia..!!

Sema wahuni walimjaza akajaa kisha wakamgeuka..!!
Na wahuni walifanikiwa kuchomeka watu wao ili kumuharibia kwa wananchi.

Alivujisha clip za kina Nape, Angeshindwa kunyetisha za hao wahuni. Tuache masihara bhana.

Awe aliwatuma au hakuwatuma ila alikua na taarifa ya kinachoendelea na akachagua kukaa kimya kama ataishi milele
 
Alivujisha clip za kina Nape, Angeshindwa kunyetisha za hao wahuni. Tuache masihara bhana.

Awe aliwatuma au hakuwatuma ila alikua na taarifa ya kinachoendelea na akachagua kukaa kimya kama ataishi milele
Shangaa na wewe..!!
Magu hiyo ndo ingekuwa kete nzuri kwake ya kuwamaliza wahuni kama ni kweli Lissu alipigwa risasi na mtandao..!!

Magu hatukatai kuna baadhi ya mambo alifanya vizuri ila kuhusu kuua upinzani hapo ndipo anguko lake lilipo.
 
Back
Top Bottom