My Best 5 Comedians

My Best 5 Comedians

mkuu niambie kuhusu jamaa anaitwa Max Amini. Jamaa ana punchline nzuri
Yupo vizuri ila anatumia sana refference za mizagamuo kwenye punchline zake yeye pamoja na russel peters na adrew schulz hicho ndo kinaboa muda mwingine
 
Yupo vizuri ila anatumia sana refference za mizagamuo kwenye punchline zake yeye pamoja na russel peters na adrew schulz hicho ndo kinaboa muda mwingine
Mtu kama Trevor utamsikiliza na mkeo, mama, baba na watoto wako and you're still comfortable.
 
Comedy Industry hasa stand-up comedy inakua kwa kasi saana duniani.
Hawa ni comedians 5 bora wangu wa muda wote. Hawa jamaa sio sense of humor sio punchlines hakuna wakuwashika.

1. Trevor Noah -huyu Msouth Africa anakipaji kikubwa saana. Binafsi naona sanaa yake imejielekeza saana kwenye siasa na masuala ya kijamii.

2. Steven Trevino- huyu jamaa ni hatari. Utamwelewa zaidi kama wewe ni mtu wa familia. My favorite ni I Speak Wife.

3. Steven Harvey- japo siku hizi hafanyi Stand-up comedy ila kama wewe unafuatilia Family feud utakubali Steve anakipaji cha hali ya juu.

4. George Carlin [Late] alifanya saana comedy ya siasa na dini. Aliweza kuyaeleza madhaifu ya dini katika hali ambayo ilikufanya ujifunze huku unacheka.

5. Mpho Pops - Huyu jamaa ni Msouth Africa....sio mkongwe ila kwa kipaji alichojaliwa hasa punchlines ni hatari saana. South Africa ina comedians wazuri saana.
Namba 6 Makongoro Nyerere .
 
Netanyau angefunga dimba,
markup_72817 (1).png
 
Back
Top Bottom