Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 969
- 1,070
Habari wadau?
Naomba kufahamishwa wapi vinapatikana vifaa vya kujenga banda la greenhouse kwa bei nafuu. Pia nina hitaji la kuandaa project ya ukubwa wa robo acre.
Ninaomba kama naweza kusaidiwa kujua gharama za kuanzisha na kuendesha mradi. Lengo ni kufanya shughuli hii katika maeneo jirani na jiji la Dar es Salaam kwa sababu ya mahitaji na uhakika wa soko.
Natanguliza shukrani. Naomba michango yenu katika njia za kuendea wazo hili
Naomba kufahamishwa wapi vinapatikana vifaa vya kujenga banda la greenhouse kwa bei nafuu. Pia nina hitaji la kuandaa project ya ukubwa wa robo acre.
Ninaomba kama naweza kusaidiwa kujua gharama za kuanzisha na kuendesha mradi. Lengo ni kufanya shughuli hii katika maeneo jirani na jiji la Dar es Salaam kwa sababu ya mahitaji na uhakika wa soko.
Natanguliza shukrani. Naomba michango yenu katika njia za kuendea wazo hili