Ng'ongoampoku
Member
- Sep 18, 2012
- 47
- 9
Mwalimu katumia gari aina ya pickup 1998? Nahisi kama umeongeza chumvi.
tatizo la wabongo ndio hili hawaamini eti unahisi, amini bwana mbona kitu kipo directly wewe bado mbishi tu, haya kesho anakwenda muscati kutafuta nchi ya kukimbilia akiachia uraisi.