Fanya tour kwa mwl.utaionaMwalimu katumia gari aina ya pickup 1998? Nahisi kama umeongeza chumvi.
Ilikuwa mida ya saa 9:30 alasiri,pale maeneo ya Musoma alliance,wakati huo nikiwa natoka ktk kiwanda cha Mara Oil(nilipokuwa nafanya kibarua ingawaje ilikuwa child labour kwani wakati huo nilikuwa na miaka 16) mwalimu alipita na gari yake aina ya Land rover akiwa na dereva wake,akamuona mama mmoja pembeni mwa barabara akiwa na ameshikwa na uchungu na hatua za mwisho za kujifungua,mume wake akiwa amesimama pembeni,kwani alikuwa akimsindikiza hospitalini kwa baiskeli,hali ilipokuwa mbaya akamshusha ili ijifungue.Mwalimu akamwamuru dereva kusimamisha gari,akasogea kwa karibu na kumwamuru dereva kumpakia yule mama na kumkimbiza hospitali mara moja. Akampa dereva pesa anunue unga wa ulezi ili utumike kumpikia uji yule mama atakapojifungua,Mwl yeye akabaki pale barabarani kwenye kona ya msm alliance.Magari yakaendelea kupita,yale ya serikali walipokuwa wakimwona mwalimu wanasimama na kutaka kujua kulikoni ikiwezekana aingie kwenye gari.Wote walipewa jibu hili" Nenda,kwani mama aliyekuwa anajifungua hapa hamkumwona?".
Katika siku hii ya leo ya kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha mwl.Nyerere,nimeamua kuwaletea ushuhuda huo juu ya moyo wa utu aliokuwa nao mwalimu.Lakini pia hali ya maisha aliyoishi mwl,nani leo hii rais mstaafu anaweza kutumia LandRover Pick up?
na wale walio kufa kagera je unakumbuka
Sikusoma alliance,ila niliwafahamu baadhi ya walimu akiwemo Wandiba-bookkeeping na commerce pamoja na yule mjaluo aliyekuwa headmaster baadae Afisa elimu mkoa(Otieno)Unamkumbuka mwalimu Malalika wa alliance miaka hiyo ya 90?
Mwalimu katumia gari aina ya pickup 1998? Nahisi kama umeongeza chumvi.
Watakuja mawakala wa radio Iman kukanusha hili!
Siwasifii wazazi wangu kwa sababu ni wajibu wao kunitunza,mwl kazi aliyoifanya haikuwa wajibu wake ni msaada na utu tu.Lakini pia nimesema mwl kwa sababu leo ni kumbukumbu yake na si ya wazazi wangu.Unapenda fujo au ulikuwepo juzi mbagala wakati ile text book inakojolewa.Mbona huwasifiiwazazi wako waliohangaika kukulea mpaka hapo ulipo? hilo la kumsaidia mtu ni la kawaida yeye kama binadamu. sio hoja ambayo inatufanya tumkumbuke.... wewe naye ni mateka miongonimwa mateka wa Nyerere legacy
Uko sahihi na waweza kuwa shuhuda mzuri,achana na huyu anaesema mwl hakuwahi kutumia landrover ya aina hiyo.kama kumbu kumbu zangu zipo sawa ilkuwa ni gari aina ya 110 station wagon , alipenda sana kuja na hiyo gari musoma , joseph butiku akiwa ndie RC Mara kabla ya bwana MMoja anitwa Balozi Lugoye, Mwalimu alikuwa simple sana Niliwahi kumuona pale Makoko seminary akiwa na Askofu marehemu Justine Samba, yeye akaingia shambani kuwasaidia wanafunzi kulima kitu ambacho hata askofu alishangaa.
Radio imaana wao wanajadili in a negative way tu
Kulikuwa kunauzwa samaki wengi sana wakati huo,sijui kwa sasa.Kulikuwa na mwl.mmoja mchina au mkolea,nilikuwa siwezi kutofautisha,sijui kama yupo au la?Pale kona Panaitwa Nyarusurya! Dah umenikumbusha mbali sana maeneo hayo.
Ilikuwa mida ya saa 9:30 alasiri,pale maeneo ya Musoma alliance,wakati huo nikiwa natoka ktk kiwanda cha Mara Oil(nilipokuwa nafanya kibarua ingawaje ilikuwa child labour kwani wakati huo nilikuwa na miaka 16) mwalimu alipita na gari yake aina ya Land rover akiwa na dereva wake,akamuona mama mmoja pembeni mwa barabara akiwa na ameshikwa na uchungu na hatua za mwisho za kujifungua,mume wake akiwa amesimama pembeni,kwani alikuwa akimsindikiza hospitalini kwa baiskeli,hali ilipokuwa mbaya akamshusha ili ijifungue.Mwalimu akamwamuru dereva kusimamisha gari,akasogea kwa karibu na kumwamuru dereva kumpakia yule mama na kumkimbiza hospitali mara moja. Akampa dereva pesa anunue unga wa ulezi ili utumike kumpikia uji yule mama atakapojifungua,Mwl yeye akabaki pale barabarani kwenye kona ya msm alliance.Magari yakaendelea kupita,yale ya serikali walipokuwa wakimwona mwalimu wanasimama na kutaka kujua kulikoni ikiwezekana aingie kwenye gari.Wote walipewa jibu hili" Nenda,kwani mama aliyekuwa anajifungua hapa hamkumwona?".
Katika siku hii ya leo ya kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha mwl.Nyerere,nimeamua kuwaletea ushuhuda huo juu ya moyo wa utu aliokuwa nao mwalimu.Lakini pia hali ya maisha aliyoishi mwl,nani leo hii rais mstaafu anaweza kutumia LandRover Pick up?
Ilikuwa mida ya saa 9:30 alasiri,pale maeneo ya Musoma alliance,wakati huo nikiwa natoka ktk kiwanda cha Mara Oil(nilipokuwa nafanya kibarua ingawaje ilikuwa child labour kwani wakati huo nilikuwa na miaka 16) mwalimu alipita na gari yake aina ya Land rover akiwa na dereva wake,akamuona mama mmoja pembeni mwa barabara akiwa na ameshikwa na uchungu na hatua za mwisho za kujifungua,mume wake akiwa amesimama pembeni,kwani alikuwa akimsindikiza hospitalini kwa baiskeli,hali ilipokuwa mbaya akamshusha ili ijifungue.Mwalimu akamwamuru dereva kusimamisha gari,akasogea kwa karibu na kumwamuru dereva kumpakia yule mama na kumkimbiza hospitali mara moja. Akampa dereva pesa anunue unga wa ulezi ili utumike kumpikia uji yule mama atakapojifungua,Mwl yeye akabaki pale barabarani kwenye kona ya msm alliance.Magari yakaendelea kupita,yale ya serikali walipokuwa wakimwona mwalimu wanasimama na kutaka kujua kulikoni ikiwezekana aingie kwenye gari.Wote walipewa jibu hili" Nenda,kwani mama aliyekuwa anajifungua hapa hamkumwona?".
Katika siku hii ya leo ya kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha mwl.Nyerere,nimeamua kuwaletea ushuhuda huo juu ya moyo wa utu aliokuwa nao mwalimu.Lakini pia hali ya maisha aliyoishi mwl,nani leo hii rais mstaafu anaweza kutumia LandRover Pick up?
nini kimekuliza? alivyomsaidia huyo mama au kuna kingine kinakuliza? Nyerere legacy na wewe mteja pia!Nimesom na machozi yakanitoka, kuna mabaya ya Mwalimu lakiini ukweli hatujapata kiongozi kama huyo. Mungu amlaze mahali pema.