The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,787
- 1,107
Je,umeokoka?Umeokoka mara ngapi bro?
Yesu ni Bwana na Mwokozi kwako?
Jibu swali,na Roho wa Mungu akuongoze.
Je,umeokoka?Umeokoka mara ngapi bro?
Salvation is personal.Je,umeokoka?
Yesu ni Bwana na Mwokozi kwako?
Jibu swali,na Roho wa Mungu akuongoze.
Hahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Huuuuuuuuu.....nani mtenda miujiza?Ayayaaa
Aya gani ya Biblia inasema tule keki za upako? Mwakasege ni mwalimu lazima afundishe kweli na hakiHahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Aposto kuna muujiza huku..!!
Anyway namkubali sana Mwalimu Mwakasege,masomo yake yamenivusha pakubwa. Hayo mengine sijui kwa kweli.
Imo kwenye biblia ila mpaka ufunuliwe bro!Aya gani ya Biblia inasema tule keki za upako? Mwakasege ni mwalimu lazima afundishe kweli na haki
Utakua msukule wa Mwamposa si bure...ndo nyie mnakanyaga mafuta nakujifia mnanuka dhiki hadi mnatia kinyaa.Hahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Mtume , kuna Baba huku kutoka matombo morogoro, anasema alikua hakuamini kabisa...anasema alikua anadhani wewe ni freemason....sasa ameanza kuaminiNini kimetokea??
Wewe muda si mrefu nakuona ukienda kwà MwamposaUtakua msukule wa Mwamposa si bure...ndo nyie mnakanyaga mafuta nakujifia mnanuka dhiki hadi mnatia kinyaa.
Mwakasege ana waumini? Ana Kanisa?Hahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Maisha yangu yote yaliyobaki siwezi kwenda kwa Tapeli!Wewe muda si mrefu nakuona ukienda kwà Mwamposa
Assignment bro.. hapa issue ni namna assignment inavyotendewa kaziMwakasege ana waumini? Ana Kanisa?
Ukiwa mjinga chutama
Ala...kumbe unachoangalia ni muda alioutumia kuhubiri Neno la Mungu? Bure kabisa!!!!Maisha yangu yote yaliyobaki siwezi kwenda kwa Tapeli!
Mwakasege kaanza kufundisha injili kipindi ambacho huyo tapeli wenu Mwamposa hajui atatoka lini huko sitimbi hata mswahi haujui.
Pelekeni dhiki zenu huko huku mkijifia kwa upumbavu wenu.
Mwakasege anafundisha habari za maisha ya kiroho na namna yanavyofanya kazi katika ulimwengu wa mwili...Ala...kumbe unachoangalia ni muda alioutumia kuhubiri Neno la Mungu? Bure kabisa!!!!
Ilikua semina ikiruka live via Upendo TV ,...note: aliongea mwishoni wakati watu wakitaka kutoa sadaka...kwà ufupi sana...kama kuwataadharisha wasijihusishe na mambo ya birthday cakes....
Sisi Mtume wetu anafundisha namna human spirit inavyoweza kufanya Kazi kwenye human soul.Mwakasege anafundisha habari za maisha ya kiroho na namna yanavyofanya kazi katika ulimwengu wa mwili...
Nyie endeleeni kukanyaga mafuta..kuyanywa na kulamba chumvi..
ACHA kumtetea jamaa...truth must be told!! Waache kumuonea wivu Mwamposa!Kwasababu Ni Ni kazi yake kama mtumishi kuonya na kukemea yale anayojua sio halali kwenye ulimwengu wa Roho.
Soma Biblia au la soma Quran hujui unachoongea.
Una mhemko!