Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

Sisi Mtume wetu anafundisha namna human spirit inavyoweza kufanya Kazi kwenye human soul.

Tena anasema, haipendezi hata kidogo human soul KUSHINDWA kuwa connected na human spirit.

Ndio maana maneno yake yana nguvu sana na mamlaka ya kuponya, kutenda miujiza ....na tutaendelea kujazana kwake....sio wakristo tu au waislam ...yani ni watu wa dini zote....we ushaona wahi kitu ya namna hii?

Mwakasege mbona kashindwa kuwaconvise madhehebu mengine wamfuate?

Sema AYAYAYA
Hahahaha nimekutega kidogo umeshaingia kingi! Kima kweli wewe kumbe ni kondoo ya mwamposa to hell with you!

Wengi wenu mnanuka dhiki na ufukara mno...
 
Hahahaha nimekutega kidogo umeshaingia kingi! Kima kweli wewe kumbe ni kondoo ya mwamposa to hell with you!

Wengi wenu mnanuka dhiki na ufukara mno...
Nakutabiria siku si nyingi utaanza kwenda kuhudhuria ibada KAWE kwà Bulldozer Mwamposa.

Ukibisha ni kama umeenda na usipobisha ni kama umeenda tu!

Ebu sema AYAYAYA
 
Sisi Mtume wetu anafundisha namna human spirit inavyoweza kufanya Kazi kwenye human soul.

Tena anasema, haipendezi hata kidogo human soul KUSHINDWA kuwa connected na human spirit.

Ndio maana maneno yake yana nguvu sana na tena yana mamlaka ya kuponya, kutenda miujiza ....na tutaendelea kujazana kwake....sio wakristo tu au waislam ...yani ni watu wa dini zote....we ushaona wapi kitu ya namna hii?

Mwakasege mbona kashindwa kuwaconvise madhehebu mengine wamfuate?

Sema AYAYAYA

Mfano hai tu ni kati ya mfalme wa dunia shetani na alieumba Dunia Mungu.
Watu wanakimbilia kwa nani?
Wanadamu ni wavivu wa kwenda kwenye njia sahihi na wengi hupenda mteremko na miujiza na hiyo ndo sababu inayowaleta watu kwenye imani za viini macho.
 
Ukiona wachungaji sijui manabii wanasemana sababu kuu ni sadaka ila kila mtu na imani yake bwana mwakasege namkubali sanaa na mwamposa pia ila kusali kanisa langu kkkt siachi
You are sweet mrembo.....'kila mtu abaki na imani yake'.

Muhimu tu usiingilie malumbano yao.
 
ACHA kumtetea jamaa...truth must be told!! Waache kumuonea wivu Mwamposa!

Hamna wivu kwenye mafundisho ya Mungu.. mimi ni msikiliza neno na sio mtu wa mihemko na migongano ya dini.
Ila macho ya rohoni pia yanaona na neno linatenga ukweli na uongo.
Sikiliza neno na urudiwe kwa msaada wa roho mtakatifu.. lengo ni kufika mbinguni ndugu achana na mafuta
 
Mfano hai tu ni kati ya mfalme wa dunia shetani na alieumba Dunia Mungu.
Watu wanakimbilia kwa nani?
Wanadamu ni wavivu wa kwenda kwenye njia sahihi na wengi hupenda mteremko na miujiza na hiyo ndo sababu inayowaleta watu kwenye imani za viini macho.
Bro...mtu alikua hoi kitandani...akanywa maji na Mafuta , akapona.

Mtu alikua analima heka 8 na kupata gunia 2 za mahindi...kisha anaweka Udongo, Mafuta na Maji ya upako ,..mavuno yanakua kedekede....kiini macho kipo wapi hapo?
 
Hahahahahah Mwakasege bana.....

Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.


Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...

Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?

Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!


Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Hata siku moja hutamsikia shetani akimsema vibaya Mungu.
 
Nakushauri uokoke,acha dhambi,Yesu awe Bwana na Mwokozi kwako.
Akujaze Roho wake Mtakatifu,
Ndipo,utapata ufahamu
juu ya utumishi wa Mungu.
I have written what I know , and testified to what I have seen. That's it ! Period!
 
Kwani shetani hana miujiza?
Au hujui nguvu anazo pia?
Hana nguvu zozote zaidi ya kutia watu mihofu, miwoga, miwasiwasi na mimashaka ya hovyohovyo. Kiburi, jeuli , dharau...

Refer Wana wa Israel na farao
 
Hamna wivu kwenye mafundisho ya Mungu.. mimi ni msikiliza neno na sio mtu wa mihemko na migongano ya dini.
Ila macho ya rohoni pia yanaona na neno linatenga ukweli na uongo.
Sikiliza neno na urudiwe kwa msaada wa roho mtakatifu.. lengo ni kufika mbinguni ndugu achana na mafuta
Huwezi kufika mbinguni bila kuwa na Mafuta bro!

Upo Mwanza , na unataka ufike Dar, bila Mafuta?? Kah!!!
 
Ushoga upo wapi hapo ?...

Wewe utakuwa shoga ndio maana umeuingiza kwenye mjadala.

Acha hiyo tabia aisee...
Kaandika Neno Sweet....utamuandikiaje Mwanaume mwenzio Neno hilo bana? Na saa hii ni usiku? Unatafuta nini au unataka nini?
 
Back
Top Bottom