ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,939
- 1,625
Habari za saa wanachama wote natumai ni njema .
Kama kichwa cha mada kisemavyo "Mwalimu nyerere kuhusu vyama vya upinzani”.
Ningependa kuwa karibisha wadau wote kutoa maoni na michango huru kutokana na mazungumzo mafupi katika video hii nilio weka hapa ikumuonesha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akizungumza kuhusu vyama vya upinzani na mienendo yake hapa nchini.
Maswali:
1. Je, maneno hayo ya Mwalimu yana akisi vyama vya upinzani vilivyopo sasa nchini?
2. Je, ushauri alio toa Mwalimu kwa vyama vya upinzani wakati huo pia unaweza kuwa bora au mbaya kwa vyama vya upinzani sasa?
3. Mwalimu ali kusudia nini kuita vyama vya upinzani ni vyama vya ruzuku?
4. Je, tuna kila sababu kupunguza utitiri wa vyama vingi vili vyopo hapa nchini?
5. Nini maoni yako ya jumla kuhusu yote aliyo zungumza mwalimu katika hiyo video fupi?
KARIBUNI.
Kama kichwa cha mada kisemavyo "Mwalimu nyerere kuhusu vyama vya upinzani”.
Ningependa kuwa karibisha wadau wote kutoa maoni na michango huru kutokana na mazungumzo mafupi katika video hii nilio weka hapa ikumuonesha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akizungumza kuhusu vyama vya upinzani na mienendo yake hapa nchini.
Maswali:
1. Je, maneno hayo ya Mwalimu yana akisi vyama vya upinzani vilivyopo sasa nchini?
2. Je, ushauri alio toa Mwalimu kwa vyama vya upinzani wakati huo pia unaweza kuwa bora au mbaya kwa vyama vya upinzani sasa?
3. Mwalimu ali kusudia nini kuita vyama vya upinzani ni vyama vya ruzuku?
4. Je, tuna kila sababu kupunguza utitiri wa vyama vingi vili vyopo hapa nchini?
5. Nini maoni yako ya jumla kuhusu yote aliyo zungumza mwalimu katika hiyo video fupi?
KARIBUNI.