kimbisi mbisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 508
- 132
Mtu anae watetea hawa ujue hayajamkuta wesubiri siku yakukute ndio upime kama unaweza kuvumilia hawa wezi, mtu umejinyima umenunua usafiriwako than mtuanakuja kukupa shida for nothing.
Suala kubwa hapa ni kwamba mnauthibitisho kwa kiasi gani hadi muamue kuuwa??, ndio maana kuna police na mahakama, mnaweza kuwa mmeuwa mtu asiye!, hivi kusikia mtu anauwa hivi kwakuwa tu ana kisasi na aliyemuuwa? Acheni jamani, wanaweza kkuta hata wewe.